Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wachimba mchanga wadaiwa kuleta ghasia

Magari ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar(SMZ), yameharibiwa kwa kuvunjwa vioo baada ya kundi linalodaiwa la wachimba mchanga kuyavamia wakipinga zoezi la uharibifu wa mazingira linalosimamiwa na vikosi vya Serikali visiwani hapa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wachimba mchanga Dar sasa kukiona

Operesheni ya kuwakamata watu wanaochimba mchanga katika mito na vyanzo vingine vya maji katika maeneo mbalimbali jijini, inatarajiwa kuanza wakati wowote kuanzia sasa, baada ya kumalizika kwa kikao baina ya ofisi ya mkuu wa mkoa, polisi na wakurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, hivi karibuni.

 

11 years ago

Mwananchi

Wachimba mchanga, ‘vigodoro’ wapigwa marufuku Dar es Salaam

Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Dar es Salaam imechukua uamuzi mgumu wa kupiga marufuku baadhi ya mambo yaliyozoeleka kwa wakazi wa jiji hili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wachimba migodi wa Guinea

Mpiga picha Tommy Trenchard, anaonyesha wachimba migodi katika machimbo ya dhahabu katika mpaka wa Guinea na Mali.

 

11 years ago

Mwananchi

Wachimba madini waonywa

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu ameelezea kusikitishwa na uharibifu wa Barabara ya Songea-Mbinga unaofanywa na wachimbaji wadogo wa madini karibu na Gereza la Kitai, wilayani Mbinga.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wachimba migodi wakumbuka Marikana

Wachimba migodi wa Marikana Afrika Kusini wakumbuka wenzao waliouwawa

 

9 years ago

BBCSwahili

Je hali ya wachimba dhahabu TZ itaimarika ?

Mpango wa kuboresha hali ngumu ya Wachimbaji dhahabu Tanzania kwa ushirikiano na Fairtrade

 

11 years ago

BBCSwahili

Wachimba migodi SA wadai haki

Polisi nchini Afrika kusini wametumia risasi za mpira kutawanya takriban wafanyikazi elfu tatu wa migodi wanaogoma karibu na mji wa Rustenburg.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wachimba madini 15 haramu wauawa AK

Maafisa wa polisi nchini Afrika Kusini wanachunguza mauaji wa wachimba migodi 15 waliouawa wiki hii

 

11 years ago

BBCSwahili

Wachimba migodi haramu wasakwa A.K

Polisi wa Afrika Kusini wamesema watawasaka Wachimba madini wanaoendesha kazi zao kinyume na sheria, wakati miili zaidi ikigundulikana katika mgodi wa dhahabu uliokuwa hautumiki nje ya Johannesburg.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani