Wachimba mchanga wadaiwa kuleta ghasia
Magari ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar(SMZ), yameharibiwa kwa kuvunjwa vioo baada ya kundi linalodaiwa la wachimba mchanga kuyavamia wakipinga zoezi la uharibifu wa mazingira linalosimamiwa na vikosi vya Serikali visiwani hapa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi30 May
Wachimba mchanga Dar sasa kukiona
Operesheni ya kuwakamata watu wanaochimba mchanga katika mito na vyanzo vingine vya maji katika maeneo mbalimbali jijini, inatarajiwa kuanza wakati wowote kuanzia sasa, baada ya kumalizika kwa kikao baina ya ofisi ya mkuu wa mkoa, polisi na wakurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, hivi karibuni.
11 years ago
Mwananchi07 Jun
Wachimba mchanga, ‘vigodoro’ wapigwa marufuku Dar es Salaam
Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Dar es Salaam imechukua uamuzi mgumu wa kupiga marufuku baadhi ya mambo yaliyozoeleka kwa wakazi wa jiji hili.
10 years ago
BBCSwahili01 Oct
Wachimba migodi wa Guinea
Mpiga picha Tommy Trenchard, anaonyesha wachimba migodi katika machimbo ya dhahabu katika mpaka wa Guinea na Mali.
11 years ago
Mwananchi16 Mar
Wachimba madini waonywa
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu ameelezea kusikitishwa na uharibifu wa Barabara ya Songea-Mbinga unaofanywa na wachimbaji wadogo wa madini karibu na Gereza la Kitai, wilayani Mbinga.
10 years ago
BBCSwahili16 Aug
Wachimba migodi wakumbuka Marikana
Wachimba migodi wa Marikana Afrika Kusini wakumbuka wenzao waliouwawa
9 years ago
BBCSwahili18 Aug
Je hali ya wachimba dhahabu TZ itaimarika ?
Mpango wa kuboresha hali ngumu ya Wachimbaji dhahabu Tanzania kwa ushirikiano na Fairtrade
11 years ago
BBCSwahili04 Feb
Wachimba migodi SA wadai haki
Polisi nchini Afrika kusini wametumia risasi za mpira kutawanya takriban wafanyikazi elfu tatu wa migodi wanaogoma karibu na mji wa Rustenburg.
9 years ago
BBCSwahili10 Sep
Wachimba madini 15 haramu wauawa AK
Maafisa wa polisi nchini Afrika Kusini wanachunguza mauaji wa wachimba migodi 15 waliouawa wiki hii
11 years ago
BBCSwahili20 Feb
Wachimba migodi haramu wasakwa A.K
Polisi wa Afrika Kusini wamesema watawasaka Wachimba madini wanaoendesha kazi zao kinyume na sheria, wakati miili zaidi ikigundulikana katika mgodi wa dhahabu uliokuwa hautumiki nje ya Johannesburg.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania