Je hali ya wachimba dhahabu TZ itaimarika ?
Mpango wa kuboresha hali ngumu ya Wachimbaji dhahabu Tanzania kwa ushirikiano na Fairtrade
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMA) NA OFISI YA HALI YA HEWA YA UINGEREZA (UK MET OFFICE) WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO (MoU) YA USHIRIKIANO KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA HALI YA HEWA NCHINI

10 years ago
Michuzi.jpg)
MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMA) NA OFISI YA HALI YA HEWA YA UINGEREZA (UK MET OFFICE) WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO (MoU) YA USHIRIKIANO KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA HALI YA HEWA NCHINI
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Ofisi ya Hali ya Hewa ya Uingereza (UK Met Office) wamesaini mkataba wa makubaliano ya uboreshaji huduma za hali ya hewa hapa nchini. Mkataba huo umesainiwa tarehe 11 Novemba, 2014 wakati wa kikao cha masuala ya hali ya hewa (IBCS) kilichofanyika mjini Geneva Uswiss.
Akizungumzia makubaliano hayo Dkt Agnes Kijazi alisema Mamlaka ya Hali ya Hewa ililiomba Shirika la Hali ya Hewa Duniani kuisaidia TMA kuboresha huduma zake ili ziwe za kisasa...
Akizungumzia makubaliano hayo Dkt Agnes Kijazi alisema Mamlaka ya Hali ya Hewa ililiomba Shirika la Hali ya Hewa Duniani kuisaidia TMA kuboresha huduma zake ili ziwe za kisasa...
11 years ago
Mwananchi16 Mar
Wachimba madini waonywa
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu ameelezea kusikitishwa na uharibifu wa Barabara ya Songea-Mbinga unaofanywa na wachimbaji wadogo wa madini karibu na Gereza la Kitai, wilayani Mbinga.
11 years ago
BBCSwahili01 Oct
Wachimba migodi wa Guinea
Mpiga picha Tommy Trenchard, anaonyesha wachimba migodi katika machimbo ya dhahabu katika mpaka wa Guinea na Mali.
10 years ago
BBCSwahili10 Sep
Wachimba madini 15 haramu wauawa AK
Maafisa wa polisi nchini Afrika Kusini wanachunguza mauaji wa wachimba migodi 15 waliouawa wiki hii
11 years ago
BBCSwahili20 Feb
Wachimba migodi haramu wasakwa A.K
Polisi wa Afrika Kusini wamesema watawasaka Wachimba madini wanaoendesha kazi zao kinyume na sheria, wakati miili zaidi ikigundulikana katika mgodi wa dhahabu uliokuwa hautumiki nje ya Johannesburg.
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Wachimba madini Manyara kunufaika
Wadau wa Madini wa Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, wamejengewa uwezo katika ugatuaji wa madini, yaani kunufaika kupitia madini hayo na halmashauri husika kusimamia shughuli hizo.
10 years ago
BBCSwahili12 Oct
Matumaini ya wachimba mgodi yafifia TZ
Matumaini ya kuwaokoa wachimba madini 7 walionaswa chini ya ardhi yanazidi kufifia huko Shinyanga
11 years ago
BBCSwahili23 Aug
Wachimba migodi wafariki CAR
Watu kadha wafa ndani ya mgodi wa dhababu Afrika ya Kati katika eneo la ghasia
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania