Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wachimba madini 15 haramu wauawa AK

Maafisa wa polisi nchini Afrika Kusini wanachunguza mauaji wa wachimba migodi 15 waliouawa wiki hii

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wachimba migodi haramu wasakwa A.K

Polisi wa Afrika Kusini wamesema watawasaka Wachimba madini wanaoendesha kazi zao kinyume na sheria, wakati miili zaidi ikigundulikana katika mgodi wa dhahabu uliokuwa hautumiki nje ya Johannesburg.

 

11 years ago

Mwananchi

Wachimba madini waonywa

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu ameelezea kusikitishwa na uharibifu wa Barabara ya Songea-Mbinga unaofanywa na wachimbaji wadogo wa madini karibu na Gereza la Kitai, wilayani Mbinga.

 

11 years ago

Mwananchi

Wachimba madini Manyara kunufaika

Wadau wa Madini wa Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, wamejengewa uwezo katika ugatuaji wa madini, yaani kunufaika kupitia madini hayo na halmashauri husika kusimamia shughuli hizo.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yatishia kufuta leseni za wachimba madini

Serikali kupitia Wizara ya Nishati na Madini inakusudia kufuta leseni 10 za uchimbaji wa madini katika Mkoa wa Geita kutokana na wamiliki wake kushindwa kutekeleza taratibu na sheria za leseni za uchimbaji kwa mujibu wa Sheria ya Madini ya mwaka 2010.

 

11 years ago

Dewji Blog

Rais wa wachimba Madini John Bina awapa wasanii changamoto, wasikate tamaa

JOHN

Rais wa shirikisho la wachimba madini Tanzania John Bina akizungumza na wapenzi na washabiki wa msanii wa kizazi kipya wa mkoa wa Singida Small Jobiso, kwenye Pub ya Serengeti wakati wa utambilisho wa kikundi cha Watoto wa Chui.

Na Hillary Shoo, SINGIDA.

Wasanii wa vikundi mbalimbali wametakiwa kutokata tamaa pindi wanapoanzisha vikundi vyao kwa kukosa wadhamini wa kuwaendeleza, bali wakaze buti iko siku watatoka tu.

Changamoto hiyo imetolewa jana mjini hapa na Rais wa Shirikisho la...

 

10 years ago

Mwananchi

Biashara haramu ya madini kudhibitiwa

Wanachama wa nchi za maziwa makuu wameanza utekelezaji kwa kuweka mikakati ya kupambana na uchimbaji haramu wa madini pamoja na biashara haramu za maliasili zinazofanywa katika ukanda huo, ili kutokomeza hali hiyo ambayo imekuwa chachu kwa matukio ya uvunjifu wa amani.

 

11 years ago

Michuzi

NSSF YAPANUA WIGO WA HUDUMA ZAKE KWA KUANZISHA MPANGO MAALUMU KWA WAKULIMA NA WACHIMBA MADINI WADOGO

Kaimu Mkurugenzi Mkuu, Crescesius Magori (kulia) wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF akipata maelezo kutoka kwa Meneja Kiongozi, Uhusiano na  Huduma kwa Wateja, Eunice Chiume (katikati) wa Shirika hilo alipotembelea banda hilo katika Maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba). Wa pili kulia ni Mkurugenzi wa Mawasiliano na  Teknohama, Idi Khalfani, Kushoto ni Afisa Uhusiano Mwandamizi, Teopista Muheta.Kwa sasa Wakulima na wachimba madini Wadogo wanaweza kujichangia na...

 

11 years ago

Michuzi

WACHIMBAJI HARAMU WA MADINI WAVAMIA BARABARA YA MBINGA

Wananchi wa wilaya ya Mbinga wameonywa dhidi ya vitendo vya kuhujumu miundombinu ya barabara Peramiho Jct-Mbinga iliyojengwa kwa kiwango cha lami kwa kufanya shughuli ya uchimbaji madini kinyume cha sheria.  Agizo hilo amelitoa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu wakati alipofanya ziara ya ghafla katika kambi ya wachimbaji wadogo wa madini kitongoji cha Ngendambili kijiji cha Mkako wilaya ya Mbinga Katika ziara hiyo Mkuu wa Mkoa amejionea jinsi wachimbaji hao walivyoharibu eneo la...

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI KUKOMESHA UCHIMBAJI NA UUZAJI HARAMU WA MADINI

 Kamishna Msaidizi wa Madini, Sehemu ya Leseni, Mhandisi John Nayopa akifungua rasmi warsha kuhusu utekelezaji wa mpango wa kupambana na uchimbaji haramu wa rasilimali kwa nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR)  ujulikanao kama ICGLR Regional Initiative Against Illegal Exploitation of Natural Resources (RINR).
Washiriki wa warsha wakifuatilia uwasilishaji mada kuhusu utekelezaji wa mpango wa kupambana na uchimbaji haramu wa rasilimali kwa nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR)  ujulikanao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani