WACHIMBAJI HARAMU WA MADINI WAVAMIA BARABARA YA MBINGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-fYLPG0I3Ycw/UyR4zQscLiI/AAAAAAAFTmU/r2JBKuDkV9M/s72-c/unnamed+(11).jpg)
Wananchi wa wilaya ya Mbinga wameonywa dhidi ya vitendo vya kuhujumu miundombinu ya barabara Peramiho Jct-Mbinga iliyojengwa kwa kiwango cha lami kwa kufanya shughuli ya uchimbaji madini kinyume cha sheria. Agizo hilo amelitoa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu wakati alipofanya ziara ya ghafla katika kambi ya wachimbaji wadogo wa madini kitongoji cha Ngendambili kijiji cha Mkako wilaya ya Mbinga Katika ziara hiyo Mkuu wa Mkoa amejionea jinsi wachimbaji hao walivyoharibu eneo la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wcHCV7woiU4/U8q29DUptEI/AAAAAAAF3xQ/iW45C5Ov51Q/s72-c/unnamed+(10).jpg)
JK azindua rasmi stendi ya Mabasi mjini Mbinga Mkoani Ruvuma, Barabara ya Peramiho -Mbinga
![](http://3.bp.blogspot.com/-wcHCV7woiU4/U8q29DUptEI/AAAAAAAF3xQ/iW45C5Ov51Q/s1600/unnamed+(10).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4bb-ZtqKLK8/U8q29P5ZOkI/AAAAAAAF3xU/-BJmBPb3-FM/s1600/unnamed+(11).jpg)
10 years ago
Michuzi15 Sep
BENKI YA DUNIA NA SERIKALI IKISHIRIKIANA NA WAWEKEZAJI WAKUBWA WA MADINI WAZINDUA MRADI WA UCHIMBAJI MADINI KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO MKOANI GEITA.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_abOajkhPjQ/VcfT2RA3IJI/AAAAAAAHvj0/AcubMiexSRk/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
MAFUNZO KWA WACHIMBAJI WA MADINI KUHUSU MATUMIZI YA HUDUMA ZA LESENI ZA MADINI KWA NJIA YA MTANDAO — KANDA YA ZIWA NYASA- SONGEA (7/8/2015) NA TUNDURU (9/8/2015)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_abOajkhPjQ/VcfT2RA3IJI/AAAAAAAHvj0/AcubMiexSRk/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
9 years ago
Mwananchi30 Nov
Sheria ya Madini yawaliza wachimbaji
11 years ago
Mwananchi03 Mar
Wachimbaji madini walia kusahauliwa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Hqt_cDr2iIw/XvMOGazSykI/AAAAAAALvMw/29B9SZImiX8b6B4pZjv6wENs33tiihACACLcBGAsYHQ/s72-c/788f92ae-4865-48a3-9e8a-aa753b862239.jpg)
WALINZI WATUHUMIWA KUHUJUMU MRADI WA UJENZI WA BARABARA MBINGA KWENDA MBAMBA BAY
![](https://1.bp.blogspot.com/-Hqt_cDr2iIw/XvMOGazSykI/AAAAAAALvMw/29B9SZImiX8b6B4pZjv6wENs33tiihACACLcBGAsYHQ/s640/788f92ae-4865-48a3-9e8a-aa753b862239.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme akiangalia baadhi ya makatapila ambayo yameng’olewa betri zake na kuibiwa mafunta zaidi ya lita 100 na walinzi wa Kampuni ya ulinzi ya Hamseki Ltd inayolinda vifaa vya kammpuni ya Chico inayojenga barabara ya lami kutoka Mbinga hadi Mbamba bay wilayani Nyasa ambapo ametoa agizo kwa jeshi la polisi mkoani Ruvuma kuwasaka watu walihusika na wizi huo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/b1a5887b-ce41-405d-adfb-82b23fad0c5d.jpg)
Msimamizi wa mradi wa ujenzi wa barabara ya lami wa kampuni ya Chico inayojenga barabara ya lami kutoka...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1h26wX9iTho/VdWCL5h56JI/AAAAAAAC9wg/PpynFA7aqDI/s72-c/Picha%2B1.jpg)
Wachimbaji madini wadogo waipongeza Serikali
![](http://3.bp.blogspot.com/-1h26wX9iTho/VdWCL5h56JI/AAAAAAAC9wg/PpynFA7aqDI/s640/Picha%2B1.jpg)
10 years ago
StarTV15 Apr
Wachimbaji Kyerwa wadaiwa kutorosha Madini.
Na Shaabani Alley,
Kagera.
Wachimbaji wa madini ya bati wasio waaminifu katika machimbo ya Kabingo wilayani Kyerwa mkoani Kagera wanadaiwa kushirikiana na wafanyabiashara wa nchi jirani ya Rwanda kutorosha madini na kuikosesha Serikali mapato.
Hali hiyo imebainishwa na mkuu wa wilaya ya Kyerwa Luteni Mstaafu Benedicto Kitenga wakati wa ziara ya Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mheshimiwa Charles Kitwanga wilayani humo kufanya ukaguzi wa shughuli za madini.
Ilikuwa ni wakati mgumu wa...
11 years ago
Habarileo27 Apr
Majambazi wavamia Wachina wanaojenga barabara, wajeruhi
WATU wanane wanaosadikiwa kuwa majambazi wakiwa na silaha za jadi yakiwemo mapanga na marungu, wamevamia kambi ya Kampuni ya Wachina.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10