Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WACHIMBAJI HARAMU WA MADINI WAVAMIA BARABARA YA MBINGA

Wananchi wa wilaya ya Mbinga wameonywa dhidi ya vitendo vya kuhujumu miundombinu ya barabara Peramiho Jct-Mbinga iliyojengwa kwa kiwango cha lami kwa kufanya shughuli ya uchimbaji madini kinyume cha sheria.  Agizo hilo amelitoa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu wakati alipofanya ziara ya ghafla katika kambi ya wachimbaji wadogo wa madini kitongoji cha Ngendambili kijiji cha Mkako wilaya ya Mbinga Katika ziara hiyo Mkuu wa Mkoa amejionea jinsi wachimbaji hao walivyoharibu eneo la...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

JK azindua rasmi stendi ya Mabasi mjini Mbinga Mkoani Ruvuma, Barabara ya Peramiho -Mbinga

 Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akifunua kitambaa jiwe la Msingi kuzindua rasmi stendi ya Mabasi mjini Mbinga Mkoani Ruvuma leo.Rais Kikwete yupo mkoani Ruvuma Katika ziara ya Kikazi kukagua miradi ya maendeleo.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifunua jiwe la msingi kufungua rasmi Barabara ya kilometa 78 ya Peramiho –Mbinga mjini  Julai 19,2014.Wengine katika picha kutoka kushoto ni Mke wa Rais Mama Salma Kikwete,Wairi wa Ujenzi Dkt.John Pombe Magufuli, katibu Mkuu Wizara ya Fedha Bwana...

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA DUNIA NA SERIKALI IKISHIRIKIANA NA WAWEKEZAJI WAKUBWA WA MADINI WAZINDUA MRADI WA UCHIMBAJI MADINI KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO MKOANI GEITA.

Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mh,Stephen Masele akizungumza kwenye uzinduzi huo uliovuta hisia za wanakijiji wengi.Naibu Waziri wa Nishati na Madini akizungumza na Wananchi Mkurugenzi Mtendaji wa Geita Gold Mine,Michael Van Anen Mwakilishi Mwandamizi kutoka Benki ya Dunia ambaye pia ni mtaalamu wa madini kutoka idara ya nishati endelevu nchini Marekani,Bwa.Mamadou Barry akizungumza wakati wa uzinduzi wa mradi mkubwa wa uchimbaji madini kwa wachimbaji wadogo wadogo katika kijiji cha...

 

10 years ago

Michuzi

MAFUNZO KWA WACHIMBAJI WA MADINI KUHUSU MATUMIZI YA HUDUMA ZA LESENI ZA MADINI KWA NJIA YA MTANDAO — KANDA YA ZIWA NYASA- SONGEA (7/8/2015) NA TUNDURU (9/8/2015)

Wizara ya Nishati na Madini inaendelea na mpango wake wa Mafunzo kwa Wachimbaji Madini Nchini kuhusu matumizi ya Mfumo wa Huduma za Leseni kwa njia ya Mtandao yaani Online Mining Cadastre Transactional Portal (OMCTP). Pamoja na malengo mengine, Mfumo huo umeanzishwa ili kutekeleza agizo la Serikali la kutaka Wizara na taasisi za Serikali ziwe zinapokea malipo ya Serikali kwa njia za kielektroniki. Mafunzo hayo yanatarajiwa kutolewa kwa wachimbaji wadogo nchi nzima ili kuwajengea uwezo.

 

9 years ago

Mwananchi

Sheria ya Madini yawaliza wachimbaji

Wachimbaji wadogo wa Tanzanite katika Mji mdogo wa Mirerani uliyopo wilayani Simanjiro Mkoa wa Manyara, wamelalamikia sheria zinazowaba na kutowaruhusu kumiliki madini hayo.

 

11 years ago

Mwananchi

Wachimbaji madini walia kusahauliwa

Shirikisho la Wachimba Madini Wadogo (Femata) limeazimia kwenda kuonana na Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo kutokana na kundi hilo kutoshirikishwa katika Bunge Maalumu.

 

5 years ago

Michuzi

WALINZI WATUHUMIWA KUHUJUMU MRADI WA UJENZI WA BARABARA MBINGA KWENDA MBAMBA BAY


Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme akiangalia baadhi ya makatapila ambayo yameng’olewa betri zake na kuibiwa mafunta zaidi ya lita 100 na walinzi wa Kampuni ya ulinzi ya Hamseki Ltd inayolinda vifaa vya kammpuni ya Chico inayojenga barabara ya lami kutoka Mbinga hadi Mbamba bay wilayani Nyasa ambapo ametoa agizo kwa jeshi la polisi mkoani Ruvuma kuwasaka watu walihusika na wizi huo.

Msimamizi wa mradi wa ujenzi wa barabara ya lami wa kampuni ya Chico inayojenga barabara ya lami kutoka...

 

9 years ago

Michuzi

Wachimbaji madini wadogo waipongeza Serikali

 Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Wachimbaji Madini Tanzania (FEMATA), Gregory Kibusi akiwasilisha mada kuhusu wachimbaji wadogo wa madini katika Semina ya Wathamini Madini ya Vito na Almasi nchini, iliyofanyika hivi karibuni (Agosti 12 na 13, 2015) katika Hoteli ya Gold Crest jijini Mwanza.  Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu, Mrimia Mchomvu, akitoa hotuba ya kufunga Semina ya Wathamini Madini ya Vito na Almasi nchini iliyofanyika hivi karibuni (Agosti 12 na 13, 2015) katika...

 

10 years ago

StarTV

Wachimbaji Kyerwa wadaiwa kutorosha Madini.

Na Shaabani Alley,

Kagera.

 

Wachimbaji wa madini ya bati wasio waaminifu katika machimbo ya Kabingo wilayani Kyerwa mkoani Kagera wanadaiwa kushirikiana na wafanyabiashara wa nchi jirani ya Rwanda kutorosha madini na kuikosesha Serikali mapato.

 

Hali hiyo imebainishwa na mkuu wa wilaya ya Kyerwa Luteni Mstaafu Benedicto Kitenga wakati wa ziara ya Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mheshimiwa Charles Kitwanga wilayani humo kufanya ukaguzi wa shughuli za madini.

 

Ilikuwa ni wakati mgumu wa...

 

11 years ago

Habarileo

Majambazi wavamia Wachina wanaojenga barabara, wajeruhi

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Katavi, Dhahiri KidavashariWATU wanane wanaosadikiwa kuwa majambazi wakiwa na silaha za jadi yakiwemo mapanga na marungu, wamevamia kambi ya Kampuni ya Wachina.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani