Sheria ya Madini yawaliza wachimbaji
Wachimbaji wadogo wa Tanzanite katika Mji mdogo wa Mirerani uliyopo wilayani Simanjiro Mkoa wa Manyara, wamelalamikia sheria zinazowaba na kutowaruhusu kumiliki madini hayo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMakampuni, Wachimbaji madini watakiwa kuzingatia Sheria za Mazingira
Kampuni za uchimbaji madini, utafutaji mafuta na gesi wakiwemo wachimbaji wadogo nchini, wametakiwa kuzingatia sheria na kanuni za uhifadhi wa mazingira wakati wanapotekeleza shughuli zao, ili kuwezesha rasilimali zinazopatikana ardhini ziweze kuwa endelevu kwa manufaa ya vizazi vijavyo.
Rai hiyo imetolewa na na Mhandisi wa Mazingira kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Ephraim Mushi wakati wa Maadhimisho ya siku ya Mazingira duniani yanayoendelea...
10 years ago
Michuzi15 Sep
BENKI YA DUNIA NA SERIKALI IKISHIRIKIANA NA WAWEKEZAJI WAKUBWA WA MADINI WAZINDUA MRADI WA UCHIMBAJI MADINI KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO MKOANI GEITA.
10 years ago
MichuziMAFUNZO KWA WACHIMBAJI WA MADINI KUHUSU MATUMIZI YA HUDUMA ZA LESENI ZA MADINI KWA NJIA YA MTANDAO — KANDA YA ZIWA NYASA- SONGEA (7/8/2015) NA TUNDURU (9/8/2015)
11 years ago
Mwananchi03 Mar
Wachimbaji madini walia kusahauliwa
10 years ago
StarTV15 Apr
Wachimbaji Kyerwa wadaiwa kutorosha Madini.
Na Shaabani Alley,
Kagera.
Wachimbaji wa madini ya bati wasio waaminifu katika machimbo ya Kabingo wilayani Kyerwa mkoani Kagera wanadaiwa kushirikiana na wafanyabiashara wa nchi jirani ya Rwanda kutorosha madini na kuikosesha Serikali mapato.
Hali hiyo imebainishwa na mkuu wa wilaya ya Kyerwa Luteni Mstaafu Benedicto Kitenga wakati wa ziara ya Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mheshimiwa Charles Kitwanga wilayani humo kufanya ukaguzi wa shughuli za madini.
Ilikuwa ni wakati mgumu wa...
9 years ago
MichuziWachimbaji madini wadogo waipongeza Serikali
10 years ago
MichuziWachimbaji madini watakiwa kuendana na mabadiliko ya teknolojia
Wachimbaji wa madini nchini wametakiwa kuendana na teknolojia inayokua kila kukicha ili kuwezesha sekta ya madini kuwa na mchango zaidi katika pato la taifa.
Rai hiyo ilitolewa na Afisa Madini Mkazi kutoka Ofisi ya Madini- Handeni mkoani Tanga, Frank Makyao kwenye ufunguzi wa mafunzo juu ya matumizi ya huduma za leseni za madini kwa njia ya mtandao yaliyokutanisha wachimbaji wa madini katika kanda ya mashariki yanayoendelea mjini Handeni.
Lengo ...
11 years ago
GPLKINANA AKUTANA NA WACHIMBAJI WADOGOWADOGO WA MADINI, MERERANI
11 years ago
Habarileo20 Jul
Madini wakabidhi leseni kwa wachimbaji wadogo
SERIKALI kupitia Wizara ya Nishati na Madini imekabidhi leseni mbili zenye namba 1268 na 1269 kwa wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu katika Kijiji cha Ishokelahela, wilayani Misungwi mkoani Mwanza.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10