Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wachimbaji madini watakiwa kuendana na mabadiliko ya teknolojia

Na Greyson Mwase, Handeni-Tanga
Wachimbaji wa madini nchini wametakiwa kuendana na teknolojia inayokua kila kukicha ili kuwezesha sekta ya madini kuwa na mchango zaidi katika pato la taifa.
Rai hiyo ilitolewa na Afisa Madini Mkazi kutoka Ofisi ya Madini- Handeni mkoani Tanga, Frank Makyao kwenye ufunguzi wa mafunzo juu ya matumizi ya huduma za leseni za madini kwa njia ya mtandao yaliyokutanisha wachimbaji wa madini katika kanda ya mashariki yanayoendelea mjini Handeni.
Lengo ...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Makampuni, Wachimbaji madini watakiwa kuzingatia Sheria za Mazingira

Na Asteria Muhozya, Tanga.
Kampuni za uchimbaji madini, utafutaji mafuta na gesi wakiwemo wachimbaji wadogo nchini, wametakiwa kuzingatia sheria na kanuni za uhifadhi wa mazingira wakati wanapotekeleza shughuli zao, ili kuwezesha rasilimali zinazopatikana  ardhini ziweze kuwa endelevu  kwa manufaa ya vizazi vijavyo.
Rai hiyo imetolewa na   na Mhandisi wa Mazingira kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Ephraim Mushi wakati wa Maadhimisho ya siku ya Mazingira duniani yanayoendelea...

 

10 years ago

Michuzi

Mzumbe yaendelea kuhuisha mtaala kuendana na mabadiliko nchini, Duniani

Chuo Kikuu Mzumbe kimeanza rasmi awamu ya pili ya mchakato wa kuhuisha mtaala unaotumika katika Skuli yake ya Biashara ili kuendana na hali hasi ya mabadiliko yanayotokea haraka nchini na duniani katika nyanja za siasa, uchumi, jamii na teknolojia. Inatarajiwa kuwa mabadiliko hayo yatasaidia pia kuwajengea zaidi uwezo wahitimu wa chuo hicho kujiajiri na kuajiriwa kwa urahisi zaidi. Kaimu Naibu Makamu mkuu wa Chuo hicho, Taaluma, Profesa George Shumbusho aliwaambia waandishi wa habari...

 

9 years ago

StarTV

Watumishi wa umma watakiwa kujitathmini ili kuendana na Kasi Ya Dokta Magufuli

Watumishi wa umma wametakiwa kujitafakari na kujipima kama wanatosha kufanyakazi, itakayoendana na kasi ya uongozi uliopo madarakani chini ya Rais Magufuli, na wanapogundua kuwa hawana uwezo huo wameshauriwa kujiondoa wenyewe ili kupisha watu wenye uwezo wa kufanya kazi.

Nguvu ya utendaji kazi wa Dokta Magufuli kwa muda usiozidi miezi miwili, umekonga  nyoyo za watanzania ambapo wananchi wengi wameweka bayana mambo wanayoyatarajia kuyaona katika Tanzania mpya wanayodhani itawajengea imani ...

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA DUNIA NA SERIKALI IKISHIRIKIANA NA WAWEKEZAJI WAKUBWA WA MADINI WAZINDUA MRADI WA UCHIMBAJI MADINI KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO MKOANI GEITA.

Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mh,Stephen Masele akizungumza kwenye uzinduzi huo uliovuta hisia za wanakijiji wengi.Naibu Waziri wa Nishati na Madini akizungumza na Wananchi Mkurugenzi Mtendaji wa Geita Gold Mine,Michael Van Anen Mwakilishi Mwandamizi kutoka Benki ya Dunia ambaye pia ni mtaalamu wa madini kutoka idara ya nishati endelevu nchini Marekani,Bwa.Mamadou Barry akizungumza wakati wa uzinduzi wa mradi mkubwa wa uchimbaji madini kwa wachimbaji wadogo wadogo katika kijiji cha...

 

5 years ago

Michuzi

MASAWE AGUSIA BAJETI 2020/2021 NA KUSISITIZA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA KILIMO ILI KUENDANA NA TEKNOLOJIA YA KILIMO CHA KIDIGITAL

 Na Mwinyi Mvua PwaniBAADHI wataalamu wa kilimo na mifugo Kibaha, Pwani wamesema bajeti iliyopendekezwa imegusa maslahi ya Mtanzania licha ya kutoa maoni yao kuwa yapo maeneo hayajaguswa kumnufaisha mkulima wa kisasa ikiwemo wataalamu wa ugani wasajiliwe ili kwenda sambamba teknolojia ya kisasa katika kilimo pamoja na kujenga viwanda vingi vya mbolea ndani ya nchi .
Aidha upande wa suala la uboreshaji wa kilimo kwa kuweka mazingira ya upatikanaji wa vifaa vya kilimo kwa gharama nafuu ikiwa ni...

 

9 years ago

Habarileo

Teknolojia yakwamisha wachimbaji wadogo

WACHIMBAJI wadogo mkoani hapa wamesema ukosefu wa teknolojia ya uchimbaji imesababisha kuchimbachimba hovyo bila kujua kama eneo husika linaweza kuwa na madini wanayotafuta, jambo ambalo linaweza kuwa na athari ya kimazingira.

 

10 years ago

Michuzi

MAFUNZO KWA WACHIMBAJI WA MADINI KUHUSU MATUMIZI YA HUDUMA ZA LESENI ZA MADINI KWA NJIA YA MTANDAO — KANDA YA ZIWA NYASA- SONGEA (7/8/2015) NA TUNDURU (9/8/2015)

Wizara ya Nishati na Madini inaendelea na mpango wake wa Mafunzo kwa Wachimbaji Madini Nchini kuhusu matumizi ya Mfumo wa Huduma za Leseni kwa njia ya Mtandao yaani Online Mining Cadastre Transactional Portal (OMCTP). Pamoja na malengo mengine, Mfumo huo umeanzishwa ili kutekeleza agizo la Serikali la kutaka Wizara na taasisi za Serikali ziwe zinapokea malipo ya Serikali kwa njia za kielektroniki. Mafunzo hayo yanatarajiwa kutolewa kwa wachimbaji wadogo nchi nzima ili kuwajengea uwezo.

 

9 years ago

Mwananchi

Sheria ya Madini yawaliza wachimbaji

Wachimbaji wadogo wa Tanzanite katika Mji mdogo wa Mirerani uliyopo wilayani Simanjiro Mkoa wa Manyara, wamelalamikia sheria zinazowaba na kutowaruhusu kumiliki madini hayo.

 

11 years ago

Mwananchi

Wachimbaji madini walia kusahauliwa

Shirikisho la Wachimba Madini Wadogo (Femata) limeazimia kwenda kuonana na Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo kutokana na kundi hilo kutoshirikishwa katika Bunge Maalumu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani