Mzumbe yaendelea kuhuisha mtaala kuendana na mabadiliko nchini, Duniani
![](http://4.bp.blogspot.com/-ukmJ38Qg6hk/VYZ533AaC8I/AAAAAAAHiHA/93QwjNCbSek/s72-c/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
Chuo Kikuu Mzumbe kimeanza rasmi awamu ya pili ya mchakato wa kuhuisha mtaala unaotumika katika Skuli yake ya Biashara ili kuendana na hali hasi ya mabadiliko yanayotokea haraka nchini na duniani katika nyanja za siasa, uchumi, jamii na teknolojia. Inatarajiwa kuwa mabadiliko hayo yatasaidia pia kuwajengea zaidi uwezo wahitimu wa chuo hicho kujiajiri na kuajiriwa kwa urahisi zaidi. Kaimu Naibu Makamu mkuu wa Chuo hicho, Taaluma, Profesa George Shumbusho aliwaambia waandishi wa habari...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mSo-k6PoeCE/VbjB6Lx9XfI/AAAAAAAHsdQ/1BmsptPw0jo/s72-c/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
Wachimbaji madini watakiwa kuendana na mabadiliko ya teknolojia
Wachimbaji wa madini nchini wametakiwa kuendana na teknolojia inayokua kila kukicha ili kuwezesha sekta ya madini kuwa na mchango zaidi katika pato la taifa.
Rai hiyo ilitolewa na Afisa Madini Mkazi kutoka Ofisi ya Madini- Handeni mkoani Tanga, Frank Makyao kwenye ufunguzi wa mafunzo juu ya matumizi ya huduma za leseni za madini kwa njia ya mtandao yaliyokutanisha wachimbaji wa madini katika kanda ya mashariki yanayoendelea mjini Handeni.
Lengo ...
10 years ago
MichuziBODI YA KAHAWA NCHINI(TCB) YAZINDUA MTAALA ENDELEVU WA KITAIFA JUU YA ZAO LA KAHAWA NCHINI
10 years ago
MichuziMONDAY, DECEMBER 1, 2014 BODI YA KAHAWA NCHINI(TCB) YAZINDUA MTAALA ENDELEVU WA KITAIFA JUU YA ZAO LA KAHAWA NCHINI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zlW8cMMTuzo/VIflvKpGskI/AAAAAAAG2Ts/prU2wEwQqXY/s72-c/3.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHUTUBIA KATIKA MKUTANO WA 20 WA KIMATAIFA KUHUSU MABADILIKO YA TABIA NCHI DUNIANI (COP 20) UNAOENDELEA JIJI LIMA NCHINI PERU
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rc15gsfjFDM/VVNNKlDuF7I/AAAAAAAHXCc/I12FhZRVlAA/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
MADEREVA NCHINI KUENDELEA NA UTARATIBU WA AWALI KUHUISHA LESENI ZAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-rc15gsfjFDM/VVNNKlDuF7I/AAAAAAAHXCc/I12FhZRVlAA/s640/unnamed%2B(59).jpg)
Na Pius Yalula-MAELEZO-Dar es salaam
Serikali imesema hakutakuwa na mafunzo kwa madereva wa malori na mabasi na...
11 years ago
Dewji Blog21 Jul
RC na RAS nchini kujengewa uwezo na kuhuisha uhai wa utekelezaji wa majukumu yao
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ally Idd akifungua mafunzo ya Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala Mikoa nchini leo jijini Dar es salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Hawa Ghasia akimpongeza Mgeni Rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ally Idd na mara baada ya kufungua mkutano wa mafunzo ya Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala Mikoa nchini leo jijini Dar es salaam.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ally Idd akiteta jambo na Waziri wa Nchi Ofisi...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bxpT9ozCxic/U2clyoFJi-I/AAAAAAACgRM/LS9tbeNv-UM/s72-c/1.jpg)
Kampuni ya kuhuisha taka za plastiki ya kichina kutoa ajira zaidi nchini
![](http://4.bp.blogspot.com/-bxpT9ozCxic/U2clyoFJi-I/AAAAAAACgRM/LS9tbeNv-UM/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-w6ekISbRIGk/U2cly68jnqI/AAAAAAACgRQ/-uM9yoXzK14/s1600/3.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NbhR4nNS1WI/U5pYUh2RFHI/AAAAAAAFqOs/oOjcmUtLeQI/s72-c/unnamed+(58).jpg)
MAJADILIANO YA MKUTANO WA MABADILIKO YA TABIANCHI YAENDELEA UJERUMANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-NbhR4nNS1WI/U5pYUh2RFHI/AAAAAAAFqOs/oOjcmUtLeQI/s1600/unnamed+(58).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HB_ntQUKe8c/U5l7LyJ_P7I/AAAAAAACjSs/7ZvH9-ROdJo/s72-c/DSC01538.jpg)
MAJADILIANO YA MKUTANO WA MABADILIKO YA TABIANCHI YAENDELEA MJINI BONN UJERUMANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-HB_ntQUKe8c/U5l7LyJ_P7I/AAAAAAACjSs/7ZvH9-ROdJo/s1600/DSC01538.jpg)