Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mzumbe yaendelea kuhuisha mtaala kuendana na mabadiliko nchini, Duniani

Chuo Kikuu Mzumbe kimeanza rasmi awamu ya pili ya mchakato wa kuhuisha mtaala unaotumika katika Skuli yake ya Biashara ili kuendana na hali hasi ya mabadiliko yanayotokea haraka nchini na duniani katika nyanja za siasa, uchumi, jamii na teknolojia. Inatarajiwa kuwa mabadiliko hayo yatasaidia pia kuwajengea zaidi uwezo wahitimu wa chuo hicho kujiajiri na kuajiriwa kwa urahisi zaidi. Kaimu Naibu Makamu mkuu wa Chuo hicho, Taaluma, Profesa George Shumbusho aliwaambia waandishi wa habari...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Wachimbaji madini watakiwa kuendana na mabadiliko ya teknolojia

Na Greyson Mwase, Handeni-Tanga
Wachimbaji wa madini nchini wametakiwa kuendana na teknolojia inayokua kila kukicha ili kuwezesha sekta ya madini kuwa na mchango zaidi katika pato la taifa.
Rai hiyo ilitolewa na Afisa Madini Mkazi kutoka Ofisi ya Madini- Handeni mkoani Tanga, Frank Makyao kwenye ufunguzi wa mafunzo juu ya matumizi ya huduma za leseni za madini kwa njia ya mtandao yaliyokutanisha wachimbaji wa madini katika kanda ya mashariki yanayoendelea mjini Handeni.
Lengo ...

 

10 years ago

Michuzi

BODI YA KAHAWA NCHINI(TCB) YAZINDUA MTAALA ENDELEVU WA KITAIFA JUU YA ZAO LA KAHAWA NCHINI

Mkurugenzi mkuu wa Bodi ya Kahawa Tanzania(TCB) Adolf Kumburu akitoa neno wakati wa uzinduzi wa mtaala endelevu wa kitaifa juu ya zao la Kahawa ,uzinduzi uliofanyika katika ukumbi wa mikutano ya Bodi ya TCB.Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya Bodi ya Kahawa Tanzania(TCB) Alhaj Dk Juma Ngasongwa akichangia wakati wa uzinduzi wa mtaala endelevu wa kitaifa juu ya zao la Kahawa.Mwakilishi wa Cafe Africa nchini Tanzania ,Catherine Mwangata akifafanua jambo wakati akiwasilisha mtaala endelevu wa...

 

10 years ago

Michuzi

MONDAY, DECEMBER 1, 2014 BODI YA KAHAWA NCHINI(TCB) YAZINDUA MTAALA ENDELEVU WA KITAIFA JUU YA ZAO LA KAHAWA NCHINI

Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya Bodi ya Kahawa Tanzania(TCB) Alhaj Dk Juma Ngasongwa akichangia wakati wa uzinduzi wa mtaala endelevu wa kitaifa juu ya zao la Kahawa.Mkurugenzi mkuu wa Bodi ya Kahawa Tanzania(TCB) Adolf Kumburu akitoa neno wakati wa uzinduzi wa mtaala endelevu wa kitaifa juu ya zao la Kahawa ,uzinduzi uliofanyika katika ukumbi wa mikutano ya Bodi ya TCB.Mwakilishi wa Cafe Africa nchini Tanzania ,Catherine Mwangata akifafanua jambo wakati akiwasilisha mtaala endelevu wa...

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHUTUBIA KATIKA MKUTANO WA 20 WA KIMATAIFA KUHUSU MABADILIKO YA TABIA NCHI DUNIANI (COP 20) UNAOENDELEA JIJI LIMA NCHINI PERU

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal jana Desemba 09, 2014 amemuwakilisha Rais Jakaya Mrisho Kikwete ambaye ni Mwenyekiti Kamati ya Wakuu wa Nchi na Serikali Barani Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabia Nchi, kwenye mkutano wa Kimataifa wa Mazingira Duniani (Cop20) unaofanyika jijini Lima, Peru.Pamoja na shughuli nyingine ambazo zimemuhusisha Mheshimiwa Makamu wa Rais Dkt. Bilal katika Mkutano huo ikiwa pamoja na kuwa eneo la Mazingira nchini liko chini ya...

 

10 years ago

Michuzi

MADEREVA NCHINI KUENDELEA NA UTARATIBU WA AWALI KUHUISHA LESENI ZAO

Mwenyekiti wa Madereva Tanzania Clement Masanja (kushoto) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari (hawapo katika picha) leo jijini Dar es salaam ili kuwajulisha madereva wote nchini kuwa mwaka huu wamekubaliana na Mamlaka husika kuwa hakutakuwa na mafunzo kama ilivyoelezwa hapo awali. Kulia ni Kamanda wa kikosi cha Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga. Picha na MAELEZO_DAR ESALAAM

Na Pius Yalula-MAELEZO-Dar es salaam

Serikali imesema hakutakuwa na mafunzo kwa madereva wa malori na mabasi na...

 

11 years ago

Dewji Blog

RC na RAS nchini kujengewa uwezo na kuhuisha uhai wa utekelezaji wa majukumu yao

01

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ally Idd akifungua mafunzo ya Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala Mikoa nchini leo jijini Dar es salaam.

02

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Hawa Ghasia akimpongeza Mgeni Rasmi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ally Idd na mara baada ya kufungua mkutano wa mafunzo ya Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala Mikoa nchini leo jijini Dar es salaam.

03

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ally Idd akiteta jambo na Waziri wa Nchi Ofisi...

 

11 years ago

Michuzi

Kampuni ya kuhuisha taka za plastiki ya kichina kutoa ajira zaidi nchini

 Mfanyakazi wa kampuni ya Fusun Investment Co. United akifanyakazi katika moja ya mashine zinazotumika katika usagaji wa chupa chakavu za plastiki kabla ya kusafirishwa nchi za nje. Kampuni hiyo imetoa ajira zaidi ya 300 tangu ilipoanzishwa mwaka 2010, na inampango wa kujitanua katika mikoa mingine Tanzania.  Mfanyakazi wa kampuni ya Fusun Investment Co. United Limited akikusanya chupa chakavu za plastiki kwa ajili ya kuzisaga. Zaidi ya watanzania 300 wanafanyakazi katika kampuni hiyo ya...

 

11 years ago

Michuzi

MAJADILIANO YA MKUTANO WA MABADILIKO YA TABIANCHI YAENDELEA UJERUMANI

Baadhi ya washiriki watumishi kutoka katika serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Toka kushoto Bw. Fred manyika,  Bi. Emelda Adam na Bw. Abdul Mhinte wakifuatilia mkutano wa kundi la Africa katika mkutano wa mabadiliko ya tabia nchi unaoendela mjini Bonn, Ujerumani. Picha na Evelyn Mkokoi

 

11 years ago

Michuzi

MAJADILIANO YA MKUTANO WA MABADILIKO YA TABIANCHI YAENDELEA MJINI BONN UJERUMANI

Baadhi ya washiriki watumishi kutoka katika serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kushoto Bw. Fred Manyika,katikati Bi. Emelda Adam na Bw. Abdul Mhinte wakifuatilia mazungumzo wakati wa  mkutano wa kundi la Africa katika mkutano wa mabadiliko ya tabianchi unaoendela mjini Bonn Ujerumani leo (Picha na Evelyn Mkokoi).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani