Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Matumaini ya wachimba mgodi yafifia TZ

Matumaini ya kuwaokoa wachimba madini 7 walionaswa chini ya ardhi yanazidi kufifia huko Shinyanga

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Matumaini yafifia baada dawa ya remdesivir kugonga mwamba

Kumekuwa na matumaini makubwa kwamba dawa ya remdesivir ingeweza kutibu ugonjwa wa virusi vya corona, Covid-19.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wachimba mgodi 157 wafa Uturuki

Mlipuko katika mgodi wa makaa ya mawe magharibi mwa Uturuki umesababisha vifo vya 157 na kujeruhi wengine 70 .

 

9 years ago

BBCSwahili

Wachimba mgodi 5 wafariki Geita Tanzania

Wachimbaji dhahabu 5 wamefariki baada ya kufukiwa na kifusi katika machimbo ya Mgusu mkoani Geita, Kusini Kaskazini mwa Tanzania.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wachimba migodi wa Guinea

Mpiga picha Tommy Trenchard, anaonyesha wachimba migodi katika machimbo ya dhahabu katika mpaka wa Guinea na Mali.

 

11 years ago

Mwananchi

Wachimba madini waonywa

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu ameelezea kusikitishwa na uharibifu wa Barabara ya Songea-Mbinga unaofanywa na wachimbaji wadogo wa madini karibu na Gereza la Kitai, wilayani Mbinga.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wachimba migodi haramu wasakwa A.K

Polisi wa Afrika Kusini wamesema watawasaka Wachimba madini wanaoendesha kazi zao kinyume na sheria, wakati miili zaidi ikigundulikana katika mgodi wa dhahabu uliokuwa hautumiki nje ya Johannesburg.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wachimba madini 15 haramu wauawa AK

Maafisa wa polisi nchini Afrika Kusini wanachunguza mauaji wa wachimba migodi 15 waliouawa wiki hii

 

9 years ago

BBCSwahili

Je hali ya wachimba dhahabu TZ itaimarika ?

Mpango wa kuboresha hali ngumu ya Wachimbaji dhahabu Tanzania kwa ushirikiano na Fairtrade

 

11 years ago

Mwananchi

Wachimba madini Manyara kunufaika

Wadau wa Madini wa Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, wamejengewa uwezo katika ugatuaji wa madini, yaani kunufaika kupitia madini hayo na halmashauri husika kusimamia shughuli hizo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani