Wachimba mchanga Dar sasa kukiona
Operesheni ya kuwakamata watu wanaochimba mchanga katika mito na vyanzo vingine vya maji katika maeneo mbalimbali jijini, inatarajiwa kuanza wakati wowote kuanzia sasa, baada ya kumalizika kwa kikao baina ya ofisi ya mkuu wa mkoa, polisi na wakurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, hivi karibuni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi07 Jun
Wachimba mchanga, ‘vigodoro’ wapigwa marufuku Dar es Salaam
Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Dar es Salaam imechukua uamuzi mgumu wa kupiga marufuku baadhi ya mambo yaliyozoeleka kwa wakazi wa jiji hili.
11 years ago
Mwananchi14 Mar
Wachimba mchanga wadaiwa kuleta ghasia
Magari ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar(SMZ), yameharibiwa kwa kuvunjwa vioo baada ya kundi linalodaiwa la wachimba mchanga kuyavamia wakipinga zoezi la uharibifu wa mazingira linalosimamiwa na vikosi vya Serikali visiwani hapa.
10 years ago
Mwananchi16 Dec
Tamisemi: Waliovuruga uchaguzi sasa kukiona
Ofisi ya Waziri Mkuu (Tamisemi), imeiagiza mikoa yote nchini kuwasilisha taarifa kuhusu kasoro zilizojitokea katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa juzi ili iwachukulie hatua watendaji watakaobainika kuhusika.
10 years ago
Mwananchi08 Nov
CAG: Wabadhirifu, mafisadi sasa kukiona
Naibu Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Jasper Nicholaus Mero amesema pamoja na pongezi ambazo Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi inapokea, wananchi wa kawaida wameonyesha kutoridhishwa na hatua zinazochukuliwa dhidi ya watu wanaobainika kufuja mali za umma, kutumia mamlaka yao vibaya kwa mujibu wa ripoti za CAG.
9 years ago
Mwananchi08 Dec
Atakayefungasha bidhaa kwa majani sasa kukiona
Wafanyabiashara wa matunda na mbogamboga wa Soko la Mawenzi la Manispaa ya Morogoro mkoani hapa, wamepigwa marufuku kuingiza bidhaa hizo sokoni zikiwa na vifungashio vya majani.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tI86ANTEaQA/XuDvGAa3OgI/AAAAAAALtYk/ZnyREOX6pRAEz0vI0WRcj1sx056E6rKrwCLcBGAsYHQ/s72-c/bodaboda.jpg)
WAENDESHA BODABODA KINONDONI WAHIMIZWA KUFUATA SHERIA, WAKWAPUAJI SASA KUKIONA
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
WAENDESHA wa usafiri Bodaboda wilayani Kinondoni jijini Dar es Salaam wametakiwa kufuata sheria katika kutoa huduma hiyo ya kubeba na kusafirisha abiria kutoka eneo moja kwenda jingine.
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Daniel Chongolo amesema hayo wakati akizungumza na Michuzi Blog, ambapo amefafanua kuwa kuna kila sababu ya kuhakikisha waendesha bodaboda wanazingatia sheria kwani wale ambao watabainika kukiuka watachukuliwa hatua.
Hata hivyo amesema kwa sasa hali ya...
WAENDESHA wa usafiri Bodaboda wilayani Kinondoni jijini Dar es Salaam wametakiwa kufuata sheria katika kutoa huduma hiyo ya kubeba na kusafirisha abiria kutoka eneo moja kwenda jingine.
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Daniel Chongolo amesema hayo wakati akizungumza na Michuzi Blog, ambapo amefafanua kuwa kuna kila sababu ya kuhakikisha waendesha bodaboda wanazingatia sheria kwani wale ambao watabainika kukiuka watachukuliwa hatua.
Hata hivyo amesema kwa sasa hali ya...
11 years ago
MichuziYaleyaleeee......uchimbaji mchanga mto mbezi jijini Dar es salaam waendelea kama kawa
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-715EAFKkA8k/VPGoA1A6PdI/AAAAAAAHGgc/BYlvJ6zvGCI/s72-c/Ardhi%2B-%2B1.jpg)
WAVAMIZI NA WAMILIKI WA ARDHI KINYUME CHA SHERIA JIJINI DAR KUKIONA, KUKUMBWA NA BOMOA BOMOA
![](http://4.bp.blogspot.com/-715EAFKkA8k/VPGoA1A6PdI/AAAAAAAHGgc/BYlvJ6zvGCI/s1600/Ardhi%2B-%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-k3if5dRok50/VPGoBXH9VgI/AAAAAAAHGgg/5Cvo9DB5iAs/s1600/Ardhi%2B-%2B2.jpg)
11 years ago
Mwananchi16 Mar
Wachimba madini waonywa
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu ameelezea kusikitishwa na uharibifu wa Barabara ya Songea-Mbinga unaofanywa na wachimbaji wadogo wa madini karibu na Gereza la Kitai, wilayani Mbinga.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania