Atakayefungasha bidhaa kwa majani sasa kukiona
Wafanyabiashara wa matunda na mbogamboga wa Soko la Mawenzi la Manispaa ya Morogoro mkoani hapa, wamepigwa marufuku kuingiza bidhaa hizo sokoni zikiwa na vifungashio vya majani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo525 Sep
Video: Pastor aliyewalisha majani waumini wake, sasa awanywesha petroli
Mchungaji wa Afrika Kusini aliyewahi kuwalisha waumini wake majani, sasa anawanywesha petrol. Pastor Lesego Daniel wa Rabboni Centre Ministries aliwahi kuandikwa sana na vyombo vya habari duniani kwa kuwaagiza wafuasi wake kula majani kama wanyama kwa madai kuwa binadamu wanaweza kula chochote kilichotoka kwa Mungu. Kitendo hicho kiliwaacha waumini wengi wakitapika na kuharisha. Na sasa […]
10 years ago
Mwananchi16 Dec
Tamisemi: Waliovuruga uchaguzi sasa kukiona
Ofisi ya Waziri Mkuu (Tamisemi), imeiagiza mikoa yote nchini kuwasilisha taarifa kuhusu kasoro zilizojitokea katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa juzi ili iwachukulie hatua watendaji watakaobainika kuhusika.
11 years ago
Mwananchi30 May
Wachimba mchanga Dar sasa kukiona
Operesheni ya kuwakamata watu wanaochimba mchanga katika mito na vyanzo vingine vya maji katika maeneo mbalimbali jijini, inatarajiwa kuanza wakati wowote kuanzia sasa, baada ya kumalizika kwa kikao baina ya ofisi ya mkuu wa mkoa, polisi na wakurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, hivi karibuni.
10 years ago
Mwananchi08 Nov
CAG: Wabadhirifu, mafisadi sasa kukiona
Naibu Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Jasper Nicholaus Mero amesema pamoja na pongezi ambazo Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi inapokea, wananchi wa kawaida wameonyesha kutoridhishwa na hatua zinazochukuliwa dhidi ya watu wanaobainika kufuja mali za umma, kutumia mamlaka yao vibaya kwa mujibu wa ripoti za CAG.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tI86ANTEaQA/XuDvGAa3OgI/AAAAAAALtYk/ZnyREOX6pRAEz0vI0WRcj1sx056E6rKrwCLcBGAsYHQ/s72-c/bodaboda.jpg)
WAENDESHA BODABODA KINONDONI WAHIMIZWA KUFUATA SHERIA, WAKWAPUAJI SASA KUKIONA
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
WAENDESHA wa usafiri Bodaboda wilayani Kinondoni jijini Dar es Salaam wametakiwa kufuata sheria katika kutoa huduma hiyo ya kubeba na kusafirisha abiria kutoka eneo moja kwenda jingine.
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Daniel Chongolo amesema hayo wakati akizungumza na Michuzi Blog, ambapo amefafanua kuwa kuna kila sababu ya kuhakikisha waendesha bodaboda wanazingatia sheria kwani wale ambao watabainika kukiuka watachukuliwa hatua.
Hata hivyo amesema kwa sasa hali ya...
WAENDESHA wa usafiri Bodaboda wilayani Kinondoni jijini Dar es Salaam wametakiwa kufuata sheria katika kutoa huduma hiyo ya kubeba na kusafirisha abiria kutoka eneo moja kwenda jingine.
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Daniel Chongolo amesema hayo wakati akizungumza na Michuzi Blog, ambapo amefafanua kuwa kuna kila sababu ya kuhakikisha waendesha bodaboda wanazingatia sheria kwani wale ambao watabainika kukiuka watachukuliwa hatua.
Hata hivyo amesema kwa sasa hali ya...
10 years ago
GPLFILIKUNJOMBE AKINYWA MAJI KWA MAJANI YA MGOMBA
Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe akizindua mradi wa maji kwa kunywa maji ya mto kwa majani ya mgomba maji ambayo wapiga kura wake  wa kijiji cha Madindo Mlangali wamekuwa wakiyatumia mbunge huyo mbali ya kuzindua pia alitoa msaada wa matenki makubwa ya maji mawili na vifaa mbali mbali juzi (Picha na Francis…
10 years ago
Tanzania Daima22 Nov
TFDA sasa shughulikieni wanaoingiza bidhaa feki
WATANZANIA kwa ujumla wamechoka kusikia kuteketezwa kwa chakula, vipodozi na dawa feki badala ya kukomesha na kuzuia njia za panya zinazotumika kuingiza bidhaa hizo, kwa kutoa adhabu kali kwa wahusika...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gWhc*8EYmk*5HEuTb6w*vGVvV6B9d5DHwZjInrKovgIkZYggBMK7-WDviwzMBjGZEzWn3hPu2PrkBJCn7ClD0l0IVuQ5i0IO/1972336_710398455647872_157203811_n.jpg?width=750)
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-5SvHKGQbExQ/VciqN5mQ4oI/AAAAAAAADPs/DCrdZtW6260/s72-c/CK-3y6HWoAANwgJ.png)
KIDOTI: JIPATIE SASA BIDHAA ZA KIDOTI KUPITIA KAYMU
![](http://2.bp.blogspot.com/-5SvHKGQbExQ/VciqN5mQ4oI/AAAAAAAADPs/DCrdZtW6260/s1600/CK-3y6HWoAANwgJ.png)
A fast growing hair and shoes company in Tanzania, Kidoti, is now getting closer to you. From now you can purchase Kidoti products more easier than before through Kaymu, Remember, your lookn is the first thing that introduces you to the society, maintain your good look with Kidoti.
Follow this link to purchase Kidoti products: bit.ly/1h1IAzU
Kampuni ya nywele inayokua kwa kasi nchini Tanzania ya Kidoti sasa imekusogelea zaidi pale ulipo na kukuwezesha kupata bidhaa unazitaka kwa urahisi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania