DC NDEJEMBI APIGA MARUFUKU BIASHARA ZISIZO NA VITAKASA MIKONO NDANI YA WILAYA YA KONGWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-22FUJ78-rm0/XpiIiI81IQI/AAAAAAALnM4/NJ9OraBbri0etYozD0G29NhdJLNRjIJSQCLcBGAsYHQ/s72-c/26e61741-1fe8-43eb-aca4-fc9391eaf25a.jpg)
Charles James, Michuzi TV
MKUU wa Wilaya ya Kongwa, Deo Ndejembi amepiga marufuku biashara zozote ndani ya wilaya hiyo ambazo hazina vifaa vya kujikinga na corona.
DC Ndejembi amewataka wafanyabiashara wote kuhakikisha wanaweka maji ya kunawa yanayotiririka, sabuni au vitakasa mikono ikiwa ni jitihada za kupambana na maambukizi ya ugonjwa wa homa ya mapafu maarufu Corona.
Akizungumza katika mkutano wake na watendaji wa kata zote za wilaya hiyo, DC Ndejembi pia amewataka watendaji hao...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VvZMwQfmOS4/XodNgV3J42I/AAAAAAALl9c/m1mPGdLfFj0obGowH0j2QttG24oDQGg3QCLcBGAsYHQ/s72-c/8dff9b8b-c092-4dc9-9df4-184ec723fd26.jpg)
SERIKALI YATOA MABATI 324 KWA WILAYA YA KONGWA, DC NDEJEMBI AMSHUKURU RAIS MAGUFULI
Charles James, Globu ya Jamii
KATIKA kukuza elimu na kuendana na sera ya elimu bila malipo, serikali imetoa mabati 324 kwa Shule ya Msingi Manungu iliyopo wilayani Kongwa mkoani Dodoma.
Akizungumza katika ziara yake ya kukagua miundombinu ya elimu wilayani humo, Naibu Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mwita Waitara amesema mabati hayo yatatumika kuezeka madarasa matano yaliyojengwa kwa nguvu za wananachi.
Waitara amesema serikali imefurahishwa na nguvu iliyotumika na wananchi hao chini ya Mkuu wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ANncbcJv8I8/XoYBBpXeJhI/AAAAAAAC84A/NEUK-uyypjsCrH0ZlD1OCXKmihgSmDPXgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
DC aagiza kufungwa biashara kwa yeyote atakayepandisha bei vitakasa mikono
Athari za mlipuko wa ugonjwa wa Corona maalufu Covid 19 tayari
zimeanza kuonekana kutokana na wanunuzi wa madini ya Almasi kutoka
vikundi vya wachimbaji wadogo vinavyoendelea na marudio ya makinikia
ya mchanga wa almasi kuanza kupungua kwa kasi na wachimbaji hao
kushindwa kuuza madini hayo kwa wakati kama ilivyotarajiwa.
Hayo yamesemwa jana na Katibu Mkuu wa Chama cha Wachimbaji Madini Mkoa wa Shinyanga SHIREMA Bw. Gregory Kibusi wakati akiongea na vyombo vya habari...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KPucvek-SBQ/XoJDftBK65I/AAAAAAALloE/XOTv2kKRVcQz8lgeaF2sRSIsLiJlstGVACLcBGAsYHQ/s72-c/a146cae1-59a5-4c64-8e04-3ac8ab04f5fc.jpg)
MKUU WA MKOA WA KIGOMA APIGA MARUFUKU WATOTO KUUZA BIASHARA MAENEO MBALIMBALI
Na Editha Karlo-Michuzi Blog,Kigoma.
MKUU wa mkoa Kigoma Emanuel Maganga amepiga marufuku kwa wanafunzi na watoto kutumika kuuza bidhaa kwenye masoko na maeneo ya biashara na badala yake wazazi watekeleze agizo la serikali la watoto na wanafunzi hao kukaa nyumbani.
Akizungumza leo wakati akifanya Ziara kwenye masoko ya Buzebazeba Ujiji, Mwanga na Kibirizi kukagua utekelezaji wa agizo la serikali kujilinda dhidi ya virus vya Corona alisema kuwa watoto watakaokuwepo wakiuza kwenye masoko wazazi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Lt1VO7H_vh0/Xr18u9b6LfI/AAAAAAALqQI/XVZzWq9QHDc5WGUHbiiAYKP1tP0xd-r4ACLcBGAsYHQ/s72-c/1215be02-f0c6-4e64-b659-0a6642cf4873.jpg)
DC NDEJEMBI APOKEA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA WILAYANI KONGWA
Charles James, Michuzi TV
KATIKA kuendeleza mapambano dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa Corona Mkuu wa Wilaya ya Kongwa, Deo Ndejembi amepokea vifaa vya kujikinga na ugonjwa huo kutoka Taasisi ya Glaring Future Foundation (GFF).
Vifaa hivyo ambavyo ni Ndoo za kunawia na sabuni zake vimekabidhiwa kwa DC Ndejembi na Mkurugenzi wa taasisi hiyo, Aisha Msantu.
Akizungumza baada ya kukabidhiwa vifaa hivyo, DC Ndejembi ameipongeza taasisi ya GFF kwa moyo wao wa uzalendo wa kuiunga mkono serikali dhidi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-l5Zn9TNjz0g/VXkVYIWseWI/AAAAAAAAQzY/-kMHAdr6vWA/s72-c/1.jpg)
MKUU WA WILAYA YA KINONDONI PAUL MAKONDA APIGA MARUFUKU UCHIMBAJI MCHANGA MTO MBEZI NA KAWE
![](http://1.bp.blogspot.com/-l5Zn9TNjz0g/VXkVYIWseWI/AAAAAAAAQzY/-kMHAdr6vWA/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LjCf9sd3oW4/VXkVY_nZppI/AAAAAAAAQzg/YDqOYaYS77Y/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7LaPsJXjmjY/VXkVZVTjbSI/AAAAAAAAQzk/9OQw9osZvsQ/s640/3.jpg)
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-l5Zn9TNjz0g/VXkVYIWseWI/AAAAAAAAQzY/-kMHAdr6vWA/s640/1.jpg)
MKUU WA WILAYA YA KINONDONI PAUL MAKONDA APIGA MARUFUKU UCHIMBAJI MCHANGA MTO MBEZI NA KAWE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Hp3MBZpIeok/XncIGQOOIBI/AAAAAAALkrw/CFCMzGBKvR48UZr04I2uNvqwC-vYKVF2ACLcBGAsYHQ/s72-c/3ef5b5ac-7cd6-46ef-a632-819d025f2620.jpg)
Waziri Bashungwa awataka wanaouza vitakasa mikono kuwa wazalendo
*Atembelea viwanda vya vinavyozalisha vitakasa mikono
Na Chalila Kibuda ,Michuzi Globu.
Serikali kupitia Wizara ya Viwanda na Biashara imewaelekeza Shirika la Viwango Tanzania (TBS),kushirikiana kwa karibu na wazalishaji waliopo na wengine wapya wanaonesha nia ya kuzalisha bidhaa ya Vitakatisha Mikono kuona ni namna wananvyoweza kuongeza upatikanaji wa bidhaa hiyo sokoni.
Wizara kwa kushirikiana na taasisi zake za usimamizi wa soko,itaendelea kufanya ukaguzi na uchunguzi sokoni ili kubaini...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8LeaBgu4vnM/XqvuGGyaDYI/AAAAAAALov4/09x_B3L3zpA4rAfMgX_6DG2OeQ9JKT-UwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200430-WA0234.jpg)
DIWANI KATA YA BOMAMBUZI ATOA MSAADA WA BARAKOA,VITAKASA MIKONO KWA WAFANYABIASHARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-8LeaBgu4vnM/XqvuGGyaDYI/AAAAAAALov4/09x_B3L3zpA4rAfMgX_6DG2OeQ9JKT-UwCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200430-WA0234.jpg)
DIWANI wa Kata ya Bomambuzi na Mjumbe wa Kamati ya Fedha na Uongozi Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro Juma Raibu amekabidhi barakoa 100,vitakasa mikono pamoja na ndoo kwa wafanyabiashara wa Soko la Pasua ili kujikinga na virusi vya Corona ambavyo vinaendelea kutikisa Dunia.
Akizungumza wakati akikabidhi vifaa hivyo, Diwani huyo amesema kuwa ameamua kutoa vifaa vya kujikinga na Corona kwa wananchi hao ,ili kuendelea kuchukuwa taathari
Amesemambali na kutoa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eyIRNWL2OyI/XtqGp7rfpoI/AAAAAAALsxc/bUCv2id8Eegsq9BCga2qda5yIlM6Ij41ACLcBGAsYHQ/s72-c/14e5bce3-4ff6-4ad3-a5b3-dcdd00acb8b9.jpg)
Prof. Mkumbo awatembelea Sekondari ya Msalato, agawa vitakasa mikono na eneo la kunawa
![](https://1.bp.blogspot.com/-eyIRNWL2OyI/XtqGp7rfpoI/AAAAAAALsxc/bUCv2id8Eegsq9BCga2qda5yIlM6Ij41ACLcBGAsYHQ/s640/14e5bce3-4ff6-4ad3-a5b3-dcdd00acb8b9.jpg)
Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Prof. Kitila Mkumbo akizindua rasmi eneo maalumu la kunawa mikono kwa wanafunzi wa...