Prof. Mkumbo awatembelea Sekondari ya Msalato, agawa vitakasa mikono na eneo la kunawa
![](https://1.bp.blogspot.com/-eyIRNWL2OyI/XtqGp7rfpoI/AAAAAAALsxc/bUCv2id8Eegsq9BCga2qda5yIlM6Ij41ACLcBGAsYHQ/s72-c/14e5bce3-4ff6-4ad3-a5b3-dcdd00acb8b9.jpg)
Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Prof. Kitila Mkumbo akizindua rasmi eneo maalumu la kunawa mikono kwa wanafunzi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YuttQwCQN8s/XuPhjwBbYpI/AAAAAAALtpk/zKghxrHjirgAXwj-EkfdpA6xA96gZ3wygCLcBGAsYHQ/s72-c/4d81dcb5-8b7e-478a-887d-52f24ee133cc.jpg)
Katibu Mkuu Maji, Prof. Mkumbo awatoa hofu wanafunzi wanaojiandaa kwa mtihani shule ya Sekondari Tumaini, wapewa vitakasa mikono vya kutumia kwa siku 60
![](https://1.bp.blogspot.com/-YuttQwCQN8s/XuPhjwBbYpI/AAAAAAALtpk/zKghxrHjirgAXwj-EkfdpA6xA96gZ3wygCLcBGAsYHQ/s640/4d81dcb5-8b7e-478a-887d-52f24ee133cc.jpg)
Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Prof. Kitila Mkumbo akizindua eneo la kunawa mikono katika kukabiliana na maambukizi ya Virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID-19) katika shule ya sekondari ya Tumaini, mkoani Singida ambapo wanafunzi zaidi ya 100 wanajiandaa kwa mtihani wa kidato cha Sita. Kulia kwake anayeshuhudia ni Mkuu wa wilaya ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wRfSy0dtpjg/XsfTcU58iXI/AAAAAAALrSM/9EUDvky_hocM9lH7Xrk5dPMH2BzeqOdSwCLcBGAsYHQ/s72-c/039dc0be-9e79-4f0f-80a8-c3b91c103f6e.jpg)
Tunatengeneza vitakasa mikono kwa sababu tunawathamini wafanyakazi na wananchi ambao ndio wadau wetu wakuu katika huduma-Prof. Mkumbo
![](https://1.bp.blogspot.com/-wRfSy0dtpjg/XsfTcU58iXI/AAAAAAALrSM/9EUDvky_hocM9lH7Xrk5dPMH2BzeqOdSwCLcBGAsYHQ/s640/039dc0be-9e79-4f0f-80a8-c3b91c103f6e.jpg)
Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Prof. Kitila Mkumbo (kushoto) akionyeshwa utaratibu unaotumika katika kuchanganya Kemikali zinazotumika kuandaa vitakasa mikono katika maabara ya maji jijini Dodoma. Wizara ya Maji katika kuunga mkono juhudi za serikali katika kupambana na maambukizi ya Virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) wataalam wake wameweza kutengeza vitakasa mikono kwa ajili ya wafanyakazi na wateja wanaofika maofisini kupokea huduma mbalimbali.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/082fc3a7-096a-47f6-ae0b-a40eb45fb335.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima17 Nov
Jamii yahimizwa kunawa mikono
JAMII imeshauriwa kuchukua tahadhari kwa kunawa mikono kabla na baada ya kula sambamba na kutumia vyoo bora ili kujikinga na maambukizi ya maradhi ya kuharisha na kutapika. Ushauri huo umetolewa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LYefrqUvXwo/XmznHtr90kI/AAAAAAALjqY/54Z9jsyyVlob88_XL6F60N9RMlvbV3TDACLcBGAsYHQ/s72-c/_111254697_afp.jpg)
Uhaba wa kemikali za kunawa mikono washuhudiwa Kenya
![](https://1.bp.blogspot.com/-LYefrqUvXwo/XmznHtr90kI/AAAAAAALjqY/54Z9jsyyVlob88_XL6F60N9RMlvbV3TDACLcBGAsYHQ/s640/_111254697_afp.jpg)
Ijumaa, waziri wa Afya bwana Mutahi Kagwe alisema kwamba mtu mwenye maambukizi ya virusi vya Corona alithibitishwa kuwa na maambukizi hayo Alhamisi usiku.
Baada ya tangazo hilo, raia walionekana wakikimbilia kwenye maduka ya jumla kununua kemikali za kuua viini vya bakteria mikononi maarufu kwa kiingereza kama ''hand sanitisers'' pamoja na barakoa za kufunika uso.
Wateja...
10 years ago
BBCSwahili05 Feb
Kunawa mikono iwe hiari baada ya kutoka mawaliwato
5 years ago
BBCSwahili14 Mar
Coronavirus: Uhaba wa sabuni za kunawa mikono washuhudiwa Kenya
5 years ago
BBCSwahili18 Mar
Coronavirus: Kwanini kunawa mikono ni vigumu katika baadhi ya nchi zinazoendelea
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Hp3MBZpIeok/XncIGQOOIBI/AAAAAAALkrw/CFCMzGBKvR48UZr04I2uNvqwC-vYKVF2ACLcBGAsYHQ/s72-c/3ef5b5ac-7cd6-46ef-a632-819d025f2620.jpg)
Waziri Bashungwa awataka wanaouza vitakasa mikono kuwa wazalendo
*Atembelea viwanda vya vinavyozalisha vitakasa mikono
Na Chalila Kibuda ,Michuzi Globu.
Serikali kupitia Wizara ya Viwanda na Biashara imewaelekeza Shirika la Viwango Tanzania (TBS),kushirikiana kwa karibu na wazalishaji waliopo na wengine wapya wanaonesha nia ya kuzalisha bidhaa ya Vitakatisha Mikono kuona ni namna wananvyoweza kuongeza upatikanaji wa bidhaa hiyo sokoni.
Wizara kwa kushirikiana na taasisi zake za usimamizi wa soko,itaendelea kufanya ukaguzi na uchunguzi sokoni ili kubaini...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ANncbcJv8I8/XoYBBpXeJhI/AAAAAAAC84A/NEUK-uyypjsCrH0ZlD1OCXKmihgSmDPXgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
DC aagiza kufungwa biashara kwa yeyote atakayepandisha bei vitakasa mikono
Athari za mlipuko wa ugonjwa wa Corona maalufu Covid 19 tayari
zimeanza kuonekana kutokana na wanunuzi wa madini ya Almasi kutoka
vikundi vya wachimbaji wadogo vinavyoendelea na marudio ya makinikia
ya mchanga wa almasi kuanza kupungua kwa kasi na wachimbaji hao
kushindwa kuuza madini hayo kwa wakati kama ilivyotarajiwa.
Hayo yamesemwa jana na Katibu Mkuu wa Chama cha Wachimbaji Madini Mkoa wa Shinyanga SHIREMA Bw. Gregory Kibusi wakati akiongea na vyombo vya habari...