Kunawa mikono iwe hiari baada ya kutoka mawaliwato
Seneta wa North Carolina amewataka wamiliki wa migahawa kuacha kuwashurtisha wafanyakazi wao kunawa mikono baada ya kutoka maliwatoni.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima17 Nov
Jamii yahimizwa kunawa mikono
JAMII imeshauriwa kuchukua tahadhari kwa kunawa mikono kabla na baada ya kula sambamba na kutumia vyoo bora ili kujikinga na maambukizi ya maradhi ya kuharisha na kutapika. Ushauri huo umetolewa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LYefrqUvXwo/XmznHtr90kI/AAAAAAALjqY/54Z9jsyyVlob88_XL6F60N9RMlvbV3TDACLcBGAsYHQ/s72-c/_111254697_afp.jpg)
Uhaba wa kemikali za kunawa mikono washuhudiwa Kenya
![](https://1.bp.blogspot.com/-LYefrqUvXwo/XmznHtr90kI/AAAAAAALjqY/54Z9jsyyVlob88_XL6F60N9RMlvbV3TDACLcBGAsYHQ/s640/_111254697_afp.jpg)
Ijumaa, waziri wa Afya bwana Mutahi Kagwe alisema kwamba mtu mwenye maambukizi ya virusi vya Corona alithibitishwa kuwa na maambukizi hayo Alhamisi usiku.
Baada ya tangazo hilo, raia walionekana wakikimbilia kwenye maduka ya jumla kununua kemikali za kuua viini vya bakteria mikononi maarufu kwa kiingereza kama ''hand sanitisers'' pamoja na barakoa za kufunika uso.
Wateja...
5 years ago
BBCSwahili14 Mar
Coronavirus: Uhaba wa sabuni za kunawa mikono washuhudiwa Kenya
Wakenya wamininika kwa wingi katika maduka ya jumla kununua bidhaa za kuua vijidudu vya kuua viini
5 years ago
BBCSwahili18 Mar
Coronavirus: Kwanini kunawa mikono ni vigumu katika baadhi ya nchi zinazoendelea
Ushauri wa WHO ni vigumu kuzingatiwa katika mataifa yanayoendelea.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eyIRNWL2OyI/XtqGp7rfpoI/AAAAAAALsxc/bUCv2id8Eegsq9BCga2qda5yIlM6Ij41ACLcBGAsYHQ/s72-c/14e5bce3-4ff6-4ad3-a5b3-dcdd00acb8b9.jpg)
Prof. Mkumbo awatembelea Sekondari ya Msalato, agawa vitakasa mikono na eneo la kunawa
![](https://1.bp.blogspot.com/-eyIRNWL2OyI/XtqGp7rfpoI/AAAAAAALsxc/bUCv2id8Eegsq9BCga2qda5yIlM6Ij41ACLcBGAsYHQ/s640/14e5bce3-4ff6-4ad3-a5b3-dcdd00acb8b9.jpg)
Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Prof. Kitila Mkumbo akizindua rasmi eneo maalumu la kunawa mikono kwa wanafunzi wa...
5 years ago
MichuziWAZIRI UMMY MWALIMU AMKABIDHI RC MAKONDA VIFAA VYA KUNAWA MIKONO KWA AJILI YA KUWAKINGA WANANCHI NA CORONA.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-e6mUnIiX2hU/XuNuXfOW41I/AAAAAAALtjU/dvonO9bd0PoL6PCGwdI13v0PtMiRp4OXgCLcBGAsYHQ/s72-c/CSR%2BSingida.png)
BENKI YA NMB YAKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA KUNAWA MIKONO MKOA WA SINGIDA KUJIKINGA MAAMBUKIZI YA UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-e6mUnIiX2hU/XuNuXfOW41I/AAAAAAALtjU/dvonO9bd0PoL6PCGwdI13v0PtMiRp4OXgCLcBGAsYHQ/s640/CSR%2BSingida.png)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DOYl7_-lIfE/Uvfgb5jOVLI/AAAAAAAAdg0/wm9n4z7rbnE/s72-c/unnamedG.jpg)
TAI YATOA MAFUNZO KWA VITENDO JUU YA KUNAWA MIKONO NA KUSAFISHA KINYWA KWA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI KILIMANI JIJINI DAR
Taasisi isiyo ya kiserikali ya TAI - Tanzania Aspiration Initiatives imefanya mafunzo ya kulinda afya kwa vitendo kwa wanafunzi Zaidi ya 200 wa Darasa la Kwanza, la pili na darasa la awali katika shule ya msingi Kilimani iliyopa Sinza Uzuri wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam ikiwa ni muendelezo wa miradi miwili inayojulikana kama Mikono Ming’avu (MiMi) na Kinywa Kisafi (KiKi).
Miradi yote ina lengo kuu la kupambana na magonjwa yanayoweza kuzuilika kama Magonjwa ya tumbo na...
Miradi yote ina lengo kuu la kupambana na magonjwa yanayoweza kuzuilika kama Magonjwa ya tumbo na...
11 years ago
MichuziTAI YATOA MAFUNZO KWA VITENDO JUU YA KUNAWA MIKONO NA KUSAFISHA KINYWA KWA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI KILIMANI JIJINI DAR ES SALAAM
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania