Somalia Lugha za kigeni marufuku,ofisini
Rais wa Somalia amepiga marufuku ya matumizi ya lugha za kigeni katika ofisi za serikali ,lugha pekee ya mawasiliano ni kisomali.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Mwema22 Jul
Tufundishe na tujifunze lugha za kigeni
HAKUNA ubishi kwamba kuna tofauti kati ya mwanadamu aliyeishi maisha yake yote akifahamu lugha mo
Mwandishi Wetu
10 years ago
Habarileo11 Jun
‘Ni marufuku kulazimisha malipo kwa fedha za kigeni’
WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya amesema, kwa mujibu wa tamko la Serikali la mwaka 2007, Mtanzania yeyote hapaswi kulazimishwa kufanya malipo kwa fedha za kigeni.
5 years ago
BBCSwahili25 May
Virusi vya corona: Marekani yawapiga marufuku wasafiri wa kigeni kutoka Brazil
Brazil hivi karibuni imekuwa ngome mpya ya maambukizi ya virusi vya corona huku watu 300,000 wakitibitishwa kuwa na virusi huvyo.
9 years ago
BBCSwahili23 Dec
Somalia yapiga marufuku Krismasi
Serikali ya Somalia imepiga marufuku sherehe za kuadhimisha sikukuu ya Krismasi katika mji mkuu wa Mogadishu.
5 years ago
BBCSwahili14 May
Virusi vya corona: Marufuku ya mirungi yawaacha matatani watafunaji Somalia
Ndege zinazobeba kichocheo cha mirungi au miraa zimezuiwa kuingia nchini Somalia, na kuwaacha watafunaji wa majani hayo katika kitoweo
10 years ago
Mwananchi06 Jun
Kuthamini lugha lugha ya Kiswahili
makala zangu kwa muda mrefu uliopita, nilieleza juu makosa mbalimbali yanayotokea katika magazeti ya Kiswahili hapa nchini. Nilieleza kuwa kipimo cha kujitathmini kwetu kama kweli tunathamini utamaduni wetu ni jinsi tunavyoenzi mila na desturi zetu na hasa lugha yetu ya Kiswahili ambayo ni urithi tuliopata kutoka kwa wazee wetu waliotutangulia. Wazee wetu walijitoa muhanga kuilinda lugha yetu kwa kutunga tenzi, mashairi, hadithi, tambo za aina mbalimbali na hasa nyimbo, misemo, nahau na...
10 years ago
Mwananchi22 Jun
Saba wa kigeni hawatoshi
Licha ya Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kubadili kanuni ya usajili wa wachezaji wa kigeni kwa kuongeza idadi kutoka watano mpaka saba, Yanga na Azam zimeonyesha kutofurahishwa na uamuzi huo.
10 years ago
BBCSwahili09 Oct
EU kuzuia wapiganaji wa kigeni
Mawaziri wa mambo ya ndani wa EU wanajadili njia za kusitisha raia wa Ulaya waliopigana Syria kurejea nyumbani
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania