Virusi vya corona: Marufuku ya mirungi yawaacha matatani watafunaji Somalia
Ndege zinazobeba kichocheo cha mirungi au miraa zimezuiwa kuingia nchini Somalia, na kuwaacha watafunaji wa majani hayo katika kitoweo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya Corona: Tanzania yatangaza marufuku mpya ya usafiri wa anga kukabiliana na virusi
Ndege za mizigo pekee ndizo ambazo zitaruhusiwa kuingia nchini humo.
5 years ago
BBCSwahili16 Apr
Virusi vya Corona: Marufuku ya kutotoka nje ndio suluhu ya corona
Mataifa mengi barani Afrika wameweka marufuku ya watu kutoka nje, shule kufungwa na shughuli mbalimbali kusimama.
5 years ago
BBCSwahili16 Apr
Virusi vya Corona: Je, marufuku ya kutotoka nje inaweza kudhibiti Corona Afrika?
Ni muhimu kwa wananchi kuhusishwa katka maamuzi ya marufuku ya kutoka nje, Alex de Waal na Paul Richards wamejadili.
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya Corona: Jinsi marufuku ya misongamano inavyokumbana na vikwazo Afrika
Nchi kadhaa barani Afrika zimetangaza marufuku ya misongamano je, utekelezaji upoje?
5 years ago
BBCSwahili25 Apr
Virusi vya Corona: Marufuku ya kutotembelea mji mkuu wa Kenya yaongezwa
Marufuku ya kutotembelea mji mkuu wa Kenya Nairobi pamoja na miji mingine minne yaendelea
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku
Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.
5 years ago
BBCSwahili16 May
Virusi vya corona: Kenya yafunga mipaka yake Tanzania na Somalia kwa siku 30
Rais Uhuru Kenyatta ametangaza kufungwa kwa mipaka ya nchi yake kwa kipindi cha muda wa siku 30
5 years ago
BBCSwahili14 Apr
Virusi vya Corona: Marufuku ya kutoka nje yaongezwa kwa siku 21 Uganda
Marufuku ya kutoka nje yaongezwa kwa wiki tatu Uganda
5 years ago
CCM BlogKENYA YAPIGA MARUFUKU USAFIRI KATIKA MIJI ILIYOATHIRIKA NA VIRUSI VYA CORONA
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta jana ametangaza kusitishwa kwa safari zote katika maeneo yaliyoathirika na virusi vya corona nchini humo.
Katika hotuba aliyoitoa , Kenyatta ametaka kusitishwa kwa usafiri wote wa umma kwa njia ya barabara, reli na hata ndege katika kaunti ya Nairobi, Mombasa, Kilifi na Kwale kwa siku ishirini na moja ili kukabiliana na maambukizi ya virusi vya corona.
Marufuku hayo yameanza kutekelezwa jana saa moja jioni huko Nairobi na kuanzia siku ya Jumatano huko Mombasa,...
Katika hotuba aliyoitoa , Kenyatta ametaka kusitishwa kwa usafiri wote wa umma kwa njia ya barabara, reli na hata ndege katika kaunti ya Nairobi, Mombasa, Kilifi na Kwale kwa siku ishirini na moja ili kukabiliana na maambukizi ya virusi vya corona.
Marufuku hayo yameanza kutekelezwa jana saa moja jioni huko Nairobi na kuanzia siku ya Jumatano huko Mombasa,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania