KENYA YAPIGA MARUFUKU USAFIRI KATIKA MIJI ILIYOATHIRIKA NA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-M3pc7gD2P4s/XowUthGzrOI/AAAAAAAC2mM/aycwgqd8uMEADkZtSyQ08fT0eEJRSvbggCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200407_084948.jpg)
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta jana ametangaza kusitishwa kwa safari zote katika maeneo yaliyoathirika na virusi vya corona nchini humo.
Katika hotuba aliyoitoa , Kenyatta ametaka kusitishwa kwa usafiri wote wa umma kwa njia ya barabara, reli na hata ndege katika kaunti ya Nairobi, Mombasa, Kilifi na Kwale kwa siku ishirini na moja ili kukabiliana na maambukizi ya virusi vya corona.
Marufuku hayo yameanza kutekelezwa jana saa moja jioni huko Nairobi na kuanzia siku ya Jumatano huko Mombasa,...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya Corona: Tanzania yatangaza marufuku mpya ya usafiri wa anga kukabiliana na virusi
5 years ago
BBCSwahili25 May
Virusi vya corona: Jinsi janga la virusi vya corona linavyobadili usafiri wa ndege duniani
5 years ago
BBCSwahili25 Apr
Virusi vya Corona: Marufuku ya kutotembelea mji mkuu wa Kenya yaongezwa
5 years ago
BBCSwahili08 May
Virusi vya corona: Wanafunzi Kenya watengeneza vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona
5 years ago
BBCSwahili02 Apr
Virusi vya Corona: Idadi ya wagonjwa wa virusi vya corona Kenya yapanda hadi 110
5 years ago
BBCSwahili27 Apr
Virusi vya Corona: Walioambukizwa virusi vya corona Kenya wafikia 363
5 years ago
BBCSwahili30 May
Virusi vya corona: Watu 143 wameambukizwa virusi vya corona Kenya
5 years ago
BBCSwahili16 Apr
Virusi vya Corona: Marufuku ya kutotoka nje ndio suluhu ya corona
5 years ago
BBCSwahili16 Apr
Virusi vya Corona: Je, marufuku ya kutotoka nje inaweza kudhibiti Corona Afrika?