Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Afueni kwa watuhumiwa wa Rwanda

Mahakama maalum ya Kimataifa ya Rwanda- ICTR imefutilia mbali kesi dhidi ya maafisa waandamizi wawili waliodaiwa kuhusika na mauaji ya kimbari

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Seneta wa zamani wa Rwanda apata afueni

Seneta wa zamani nchini Rwanda aliyeshitakiwa makosa ya mauaji ya kimbari Anastase Nzi-ra-sa-na-ho ameshinda kesi yake ya rufaa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Makao ya watuhumiwa wa mauaji Rwanda

Licha ya kuachiwa uhuru Je wajua kuna watu wameogopa kurejea Rwanda

 

11 years ago

BBCSwahili

Afueni kwa Raia wa S.Kusini UG

Huku mzozo wa Sudan Kusini ukizidi kutokota, na mazungumzo ya amani mjini Addis Ababa kwenda mwendo wa kobe, maelfu ya wakimbizi wanaendelea kuvuka kuingia Uganda

 

11 years ago

BBCSwahili

Afueni kwa wajakazi Brazil

Sheria mpya ambapo waajiri watatozwa faini iwapo watashindwa kuwasajili wafanyikazi wao wa nyumbani imeanza kutekelezwa Brazil.

 

11 years ago

BBCSwahili

Afueni kwa wafanyikazi wa Qatar 2022

Viongozi nchini qatar wametoa mustakabali mpya wa wafanyikazi walioajiriwa na wenye kandarasi za kombe la dunia la mwaka wa 2022

 

11 years ago

BBCSwahili

ICC: Afueni kwa William Ruto

Mahakama ya kimataifa ya ICC, imemruhusu Naibu Rais wa Kenya William Ruto kutohudhuria baadhi ya vikao vya kesi dhidi yake katika mahakama hiyo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Afueni kwa Wafanyikazi wa kigeni Saudia

Saudia imekubaliana na serikali ya Indonesia kulinda haki za wafanyikazi wa nyumbani kutoka Indonesia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Afueni kwa wapenzi wa jinsia moja Uganda

Mahakama ya kikatiba Uganda imefutilia mbali sheria inayoharamisha mapenzi ya jinsia moja

 

5 years ago

Michuzi

Stanbic Tanzania yatoa afueni ya madeni kwa wateja zaidi ya 265

Kufuatia athari za kiuchumi zilizosababishwa na mlipuko wa ugonjwa wa kirusi cha Corona (COVID-19) benki ya Stanbic Tanzania imetangaza kutoa unafuu wa malipo ya mikopo kwa wateja wake kwa muda wa miezi 3 hadi 6. Afueni hiyo ya malipo iliyoanza mwezi Aprili ikilenga sekta ya utalii pekee, hivi sasa imeongezwa na kulenga sekta zingine kama vile usafirishaji, nishati na wafanyabiashara wa kati na wadogo. 
Hatua hiyo ni sehemu ya mikakati endelevu yenye lengo la kuwawezesha wateja wa benki hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani