Maximo ashikilia usajili wa nyota wanne Yanga
![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx9nB-7qVtYRAkD07e0nTNx4Azp*bULL588RM5iKYG6KhntvsSB1oAccSJcCM8-1bGmPvG1F5B2dJnW5ruJK555y/11.gif?width=600)
Kocha Mbrazili, Marcio Maximo. Na Wilbert Molandi UONGOZI wa Klabu ya Yanga umesema kuwa hatima ya wachezaji wao wanne ambao mikataba yao imemalizika, ipo chini ya kocha mpya, Mbrazili, Marcio Maximo. Mbrazili huyo hivi sasa yupo katika mazungumzo ya mwisho na klabu hiyo kwa ajili ya kutua kuja kukinoa kikosi hicho akimrithi Mholanzi, Hans van Der Pluijm. Nyota hao wanne ambao mikataba nayo imemalizika ni kipa Ali Mustapha...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/E9fEOxuVMyS4svDFnn55HFEHmTKcHlEBFL*JBLm5dicdimohx60sxiNIV20eSRVo*M3j1zFCXLeBa5pZTsGootx56Bw7l*G2/MAXI.jpg)
Maximo asimamisha usajili wote Yanga
10 years ago
Mwananchi23 Nov
Jaja ‘out’ Yanga, Maximo aleta nyota mwingine
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SRbpV0Al75pecdqB77AWyxEtfnTUfYXxEFIZe7bRJqIa1ih4MCrOTSrE*dRUNJ5aqZnYWvVef0TzWVEjLhjJv9JMWKa4Tvee/NYOTA.jpg?width=650)
Nyota Simba waomba usajili Yanga
10 years ago
Mwananchi26 May
USAJILI: ‘Simba, Yanga zinajengea nyumba nyota’
9 years ago
MillardAyo15 Dec
Saa kadhaa kabla ya dirisha dogo la usajili halijafungwa, Yanga wasajili nyota wawili …
Uongozi wa klabu ya Dar Es Salaam Young African usiku wa December 15 tukiwa tunaelekea kufunga dirisha la usajili imetangaza kukamilisha usajili wa nyota wawili. Yanga ambao walithibitisha kumtema mchezaji wa kimataifa wa Brazil aliyekuwa anakipiga katika klabu hiyo Andry Coutinho wametangaza kusajili wachezaji wawili. Yanga wamethibtisha kumsajili aliyekuwa mshambuliaji wa Mbeya City na baadae Mwadui FC Paul […]
The post Saa kadhaa kabla ya dirisha dogo la usajili halijafungwa, Yanga...
10 years ago
Mwananchi21 Nov
USAJILI: ‘Maximo sajili ‘Domayo’ mpya’
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Fifa yawatia kifungoni nyota wanne
10 years ago
Mwananchi01 Sep
Nyota waliovuna fedha nyingi usajili 2014/15
9 years ago
Bongo521 Aug
Manchester City imekamilisha usajili wa nyota wa Valencia, Nicolas Otamend