USAJILI SIMBA : Hatuwataki
Wakati Simba ikishindwa kusajili wachezaji nyota kwa madai ya kutokuwa kwenye hesabu zao za mwanzo, nyota hao wameibuka na kusema usajili wao ulikwamishwa na maneno matupu ya uongozi wa klabu hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 Jun
Usajili Simba shaka
10 years ago
Mwananchi25 May
USAJILI: Yanga, Simba yametimia
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZNt8FIknlRPDiKmkEeVARn6qDXBIGepcMeEpBMKZd6DWUj4jEP*ukbvz3il2wuWg16fjcU0uiCRQbVrqrR8YR0kkpZecawhT/1.gif)
usajili wa Okwi waivuruga simba
9 years ago
Mtanzania01 Sep
N’daw afunga usajili Simba
MWALI IBRAHIM NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
MSHAMBULIAJI raia wa Senegal, Pape N’daw, ameifungia usajili klabu ya Simba baada ya juzi kufuzu majaribio yake na kupewa mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia timu hiyo kwenye Ligi Kuu msimu huu unaotarajia kuanza Septemba 12.
Sambamba na mchezaji huyo pia Simba imempa mkataba wa miaka miwili Boniface Maganga kutoka kituo cha soka cha Marsh Athletes Academy kilichokua kinasimamiwa na aliyekuwa kocha msaidizi wa timu ya Taifa, Sylvster Marsh,...
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Usajili wa Okwi: Yanga 4, Simba 3
11 years ago
Mwananchi02 Jan
Simba yasafisha usajili wake
9 years ago
Mwananchi09 Dec
Simba yafunga rasmi usajili
10 years ago
Mwananchi19 Nov
USAJILI: ‘First Eleven’ mpya Simba!
10 years ago
Mwananchi03 Jun
USAJILI : Simba yaweweseka kwa Messi