Askofu Mtetemela atuliza Bunge
WAKATI dua inayosomwa kabla na baada ya kumalizika kwa vikao vya Bunge Maalum la Katiba inaonekana kutowaingia ipasavyo wajumbe na kujikuta wakitumia muda mwingi kwa malumbano na matumizi ya lugha mbaya, Askofu Mkuu mstaafu wa Kanisa la Anglikana, Donard Mtetemela juzi jioni alifanikiwa kulituliza Bunge hilo kwa mawaidha aliyoyatoa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi11 Mar
Askofu Mtetemela awatuliza wananchi
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
Askofu Mtetemela alaani kauli ya Lipumba
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Askofu Mkuu mstaafu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Donald Mtetemela, amelaani kauli iliyotolewa na mjumbe mwenzake, Profesa Ibrahim Lipumba ya kulifananisha bunge hilo na...
10 years ago
Tanzania Daima27 Sep
Askofu asikitishwa kuendelea bunge la katiba
ASKOFU wa kanisa katoliki jimbo la Lindi, Bruno Ngonyani amesikitika kuhusu kuendelea kwa vikao vya Bunge maalumu la katiba mjini Dodoma. Pia ameshangazwa na uamuzi wa wajumbe wa bunge hilo...
10 years ago
Mwananchi20 Aug
Askofu: Kikwete, Sitta wahairishe Bunge
11 years ago
Tanzania Daima06 Mar
Askofu awafunda wajumbe Bunge la Katiba
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wametakiwa kujikita zaidi katika mijadala yenye manufaa kwa jamii badala ya kutetea na kulinda masilahi ya vyama vyao. Kauli hiyo ilitolewa jana na Askofu...
11 years ago
Mwananchi22 Apr
Vita ya Mchungaji na Askofu ndani ya Bunge la Katiba
10 years ago
Tanzania Daima08 Sep
Askofu awaponda viongozi wa dini bunge maalum
ASKOFU wa Kanisa la Hossana Life Mission, Ephraim Mwansasu, amesema asilimia 85 ya viongozi wa dini waliyoko ndani ya Bunge Maalum la Katiba wameshindwa kupigania maoni ya wananchi, badala yake...
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Askofu KKAM alipa ushauri Bunge la Katiba
11 years ago
TheCitizen21 Apr
Msigwa lashes out at Bishop Mtetemela