Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Askofu Mtetemela alaani kauli ya Lipumba

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Askofu Mkuu mstaafu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Donald Mtetemela, amelaani kauli iliyotolewa na mjumbe mwenzake, Profesa Ibrahim Lipumba ya kulifananisha bunge hilo na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Askofu Mtetemelwa akemea kauli ya Profesa Lipumba

Askofu Mstaafu, Donald Mtetemela amesema kauli ya Profesa Ibrahimu Lipumba kuwaita Wajumbe wa Bunge la Katiba kuwa ni Intarahamwe inaweza kuamsha hisia za wananchi na kusababisha migogoro nchini na kusema inapaswa kupingwa na kulaaniwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Askofu Mtetemela awatuliza wananchi

Askofu Mkuu Mstaafu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Donald Mtetemela amewahakikishia Watanzania kuwa Katiba itapatikana kwa wakati.

 

11 years ago

Habarileo

Askofu Mtetemela atuliza Bunge

WAKATI dua inayosomwa kabla na baada ya kumalizika kwa vikao vya Bunge Maalum la Katiba inaonekana kutowaingia ipasavyo wajumbe na kujikuta wakitumia muda mwingi kwa malumbano na matumizi ya lugha mbaya, Askofu Mkuu mstaafu wa Kanisa la Anglikana, Donard Mtetemela juzi jioni alifanikiwa kulituliza Bunge hilo kwa mawaidha aliyoyatoa.

 

10 years ago

Mwananchi

Hoja ya Lipumba yajadiliwa Bungeni, Kauli ya ‘wapigwe tu’ yajirudia

Bunge la Jamhuri ya Muungano leo limejadili kitendo cha uvunjifu wa amani uliotokea kwenye maandamano ya CUF yaliyoongozwa na Profesa Ibrahimu Lipumba.

 

9 years ago

Mwananchi

Askofu: Kauli za kulazimisha kwenda Ikulu hatari

Askofu wa Kanisa  la Pentecostal Assemblies of God Tanzania (PAG), Mbeya Christian Centre (MCC), Damianus Kongoro  amesema kauli za wanasiasa kulazimisha kwenda Ikulu zinazotolewa kipindi hiki  zinatishia usalama na amani ya nchi.

 

10 years ago

Vijimambo

"Kuna Tatizo gani Lipumba Kupigwa Nawapongeza sana Polisi kwa Kumpiga"Hii ni kauli ya Lusinde Bungeni

Kulikuwa na mvutano mkali sana bungeni wakati wabunge wakijadili hoja ya Lipumba kupigwa. Hapo chini nimekuwekea michango ya Lusinde na Sadifa waliyoitoa Bungeni:Lusinde: Kwani kupigwa Lipumba ndiyo tatizo, wamepigwa viongozi wangapi hapa, Lipumba siyo wa kwanza kupigwaLusinde: Nawapongeza Polisi safari hii kapigwa muhusika mwenyewe, ndiyo nzuri hiyo, siyo wapigwe wengine, kupigwa kazini ndiyo sawa
Lusinde: Bunge linapokwenda mwishoni wabunge wenye hali mbaya majimboni...

 

11 years ago

TheCitizen

Msigwa lashes out at Bishop Mtetemela

A member of the Coalition of Defenders of the People’s Constitution, Ukawa, the Reverend Peter Msigwa, has faulted Archbishop Bishop Donald Mtetemela “for looking at only one side of the coin.”

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani