Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kauli ya kwanza ya UKAWA toka Professor Lipumba aondoke

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

Police ‘snub’ Professor Lipumba’s rally

The Civic United Front (CUF) national chairman, Prof Ibrahim Lipumba, yesterday addressed hundreds of supporters at Sisi kwa Sisi Street, Manzese, Dar es Salaam, in the absence of police.

 

10 years ago

IPPmedia

CUF National Chairman Professor Ibrahim Lipumba


IPPmedia
CUF National Chairman Professor Ibrahim Lipumba
IPPmedia
Both the ruling party and major opposition Civic United Front (CUF) are calling on all officials implicated in the Tegeta 306bn/- escrow account scandal to voluntarily resign before they are publicly kicked out of office. Additionally, CUF wants all accounts that ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Askofu Mtetemela alaani kauli ya Lipumba

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Askofu Mkuu mstaafu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Donald Mtetemela, amelaani kauli iliyotolewa na mjumbe mwenzake, Profesa Ibrahim Lipumba ya kulifananisha bunge hilo na...

 

11 years ago

Mwananchi

Askofu Mtetemelwa akemea kauli ya Profesa Lipumba

Askofu Mstaafu, Donald Mtetemela amesema kauli ya Profesa Ibrahimu Lipumba kuwaita Wajumbe wa Bunge la Katiba kuwa ni Intarahamwe inaweza kuamsha hisia za wananchi na kusababisha migogoro nchini na kusema inapaswa kupingwa na kulaaniwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Hoja ya Lipumba yajadiliwa Bungeni, Kauli ya ‘wapigwe tu’ yajirudia

Bunge la Jamhuri ya Muungano leo limejadili kitendo cha uvunjifu wa amani uliotokea kwenye maandamano ya CUF yaliyoongozwa na Profesa Ibrahimu Lipumba.

 

10 years ago

Vijimambo

"Kuna Tatizo gani Lipumba Kupigwa Nawapongeza sana Polisi kwa Kumpiga"Hii ni kauli ya Lusinde Bungeni

Kulikuwa na mvutano mkali sana bungeni wakati wabunge wakijadili hoja ya Lipumba kupigwa. Hapo chini nimekuwekea michango ya Lusinde na Sadifa waliyoitoa Bungeni:Lusinde: Kwani kupigwa Lipumba ndiyo tatizo, wamepigwa viongozi wangapi hapa, Lipumba siyo wa kwanza kupigwaLusinde: Nawapongeza Polisi safari hii kapigwa muhusika mwenyewe, ndiyo nzuri hiyo, siyo wapigwe wengine, kupigwa kazini ndiyo sawa
Lusinde: Bunge linapokwenda mwishoni wabunge wenye hali mbaya majimboni...

 

10 years ago

Mwananchi

Lipumba: Kwanza CCM ing’oke, ruzuku baadaye

Wakati Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi akisema suala la ruzuku na viti maalumu ni changamoto kwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amesema hicho si kipaumbele.

 

11 years ago

Tanzania Daima

UKAWA: Puuzeni kauli za CCM 

UMOJA wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) umewataka Watanzania kupuuza kauli za viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwakuwa hazina lengo la kuwasaidia katika mchakato wa uundwaji wa katiba mpya. Mmoja...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Kauli ya Lowassa Ukawa izingatiwe

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Mendeleo (Chadema) ambaye pia ndiye mwakilishi wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), jana alizungumza na wanachama wa vyama hivyo na kutoa kauli inayostahili kuungwa mkono na wapenda amani wote nchini.

Mgombea huyo, Waziri Mkuu wa zamani aliyejiuzulu kwa kashfa ya ufisadi ya mkataba wa kufua umeme wa kampuni tata ya Richmond, Edward Lowassa, jana alikuwa Makao Makuu ya Chama cha Wananchi (CUF), Buguruni jijini Dar...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani