Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lipumba: Kwanza CCM ing’oke, ruzuku baadaye

Wakati Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi akisema suala la ruzuku na viti maalumu ni changamoto kwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amesema hicho si kipaumbele.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Dk. Slaa: Ing’oeni CCM

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amewataka wananchi mkoani Iringa kutumia sanduku la kura kuking’oa madarakani Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuanzia uchaguzi wa Serikali...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ngono kwanza, dawa baadaye

Makahaba wa Kenya wanafanya ngono bila kinga na kumeza tembe za kupunguza makali ya HIV ili kupunguza tisho la kuambukizwa na HIV

 

10 years ago

Mwananchi

Uzalendo kwanza mengine baadaye

Taifa letu litajengwa na uzalendo wetu na wala siyo porojo na propaganda za kijinga. Uzalendo ni pamoja na hekima na busara ya kusikiliza na kuvumilia maoni ya watu wengine.

 

11 years ago

Habarileo

Mbunge: Jimbo kwanza, Chadema baadaye

SIKU moja baada ya Mbunge wa Mpanda Mjini, Said Amour Arfi (Chadema) kushangaza kambi ya upinzani kwa kupiga kura ya kuunga mkono Bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2014/2015, mwenyewe amesema amefanya hivyo kwa ajili ya jimbo lake na si kutanguliza maslahi ya Chama chake kama wafanyavyo wabunge wengine.

 

10 years ago

GPL

AMANDA STAREHE KWANZA, MUNGU BAADAYE

Stori: Hamida Hassan
STAA mwenye shepu ya aina yake ndani ya Bongo Movies, Tamrina Poshi ‘Amanda’ ameibuka na kusema kuwa siku ikifika atarejea kwa Mwenyezi Mungu lakini kwa sasa bado anakula ujana. Staa mwenye shepu ya aina yake ndani ya Bongo Movies, Tamrina Poshi ‘Amanda’. Akipiga stori na Ijumaa Wikienda, Amanda alisema kwa sasa umri wake unamruhusu kula ujana kwa mambo ya starehe kama kuvaa...

 

10 years ago

Michuzi

PIGA KWANZA MASWALI BAADAYE-UMOJA WA MATAIFA

Bw. Martin Kobler, Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mkuu wa Misheni ya Kulinda amani katika DRC ( MONUSCO) akiwasilisha taarifa kuhusu MONUSCO mbele ya Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa hapo siku ya jumatatu. Katika maelezo yake Bw. Kobler amesema walinzi wa amani hawapaswi kukaa na kutochukua hatua au kuanza kuuliza maswali badala ya kuwakabili waasi wenye silaha ambao wanaonekana dhahiri kutishia usalama wa raia au hata usalama wao wenyewe. Na kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Katiba mpya kwanza, wasaka urais baadaye

MWAKA 1995 Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere alituasa Watanzania tumchague mtu ambaye anachukia rushwa kwa dhati. Kwa maneno ya Mwalimu, ukimtazama mtu huyo anapotamka neno rushwa uridhike kwamba anaichukia rushwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Shishi Baby: Muziki kwanza, Filamu baadaye

Tathmini iliyofanywa na gazeti hili ni kwamba tangu mwaka uanze, maonyesho aliyofanya mtoto huyu wa kike mwenye mvuto hayapungui 36 na bado yuko kwenye ziara ya Serengeti Fiesta akichanja Mbuga, jana katokea Musoma na leo anaelekea Shinyanga kupiga onyesho la 38 tangu kuanza kwa mwaka wa 2014.

 

5 years ago

Michuzi

RIPOTI YA CAG YAWAIBUA CUF, PROFESA LIPUMBA AAMUA KUTOA UFAFANUZI WA FEDHA ZA RUZUKU MILIONI 300 ZILIZOHAMISHIWA AKAUNTI BINAFSI

Na  Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamii

SIKU moja ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere kukabidhi ripoti ya ukaguzi wake ya 2018/19 kwa Rais John Magufuli , Chama cha Wananchi( CUF) kimeamua kujitetea baada ya ripoti hiyo kubaibainisha Chama hicho kilihamisha kwa fedha kutoka akaunti ya Chama hicho kwenda akaunti binafsi.

Akizungumza leo Machi 27,2020 ,Mwenyekiti wa Chama hicho Profesa Ibrahim Lipumba ametumia nafasi hiyo kuwaeleza waandishi wa habari hatua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani