Dk. Slaa: Ing’oeni CCM
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amewataka wananchi mkoani Iringa kutumia sanduku la kura kuking’oa madarakani Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuanzia uchaguzi wa Serikali...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi31 Oct
Lipumba: Kwanza CCM ing’oke, ruzuku baadaye
10 years ago
Vijimambo11 Dec
KATIBU WA CHADEMA WILAYA YA DR.SLAA AHAMIA CCM,MWIGULU AMVUNA KWA MANUFAA YA CCM NA TANZANIA


Mkutano Karatu Mjini.




10 years ago
Michuzi
11 years ago
Habarileo28 Feb
Katibu CCM amlipua Dk Slaa
KATIBU wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Mufindi, Miraji Mtaturu amewataka wananchi wa Jimbo la Kalenga kujua kiasi cha fedha anazolipwa Dk Willbrod Slaa kila mwezi ili waoanishe na harakati zake anazodai zinalenga kupinga ufisadi. Dk Slaa ni Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema); yupo wilayani Iringa akiongoza kampeni za kumnadi Grace Tendega anayegombea ubunge katika jimbo hilo kupitia chama hicho.
11 years ago
IPPmedia09 Aug
CCM in Slaa, Mnyika murder plot
IPPmedia
IPPmedia
The major opposition party Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) yesterday accused the ruling party CCM of designing a plot to harm some of its members by blowing up a helicopter in Shinyanga municipality back on January 27. The party's ...
10 years ago
Tanzania Daima20 Nov
Dk. Slaa afichua mkakati mchafu wa CCM
CHAMA cha Mapinduzi (CCM), kinadaiwa kutumia sh bilioni 536 kwa ajili ya kununua helkopta 12. Madai hayo yametolewa jana na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia (CHADEMA), Dk. Wilbroad Slaa....
11 years ago
Uhuru Newspaper09 Jul
Dovutwa: Slaa, mkewe wote ni makapi ya CCM
Msomi ainanga CHADEMA
NA MOHAMMED ISSA
MWENYEKITI wa Chama cha UPDP, Fahmi Dovutwa amemvaa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Wilbord Slaa na kumtaka ajitokeze hadharani kufafanua tatizo la msingi la Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Pia, ameshangazwa na kauli iliyotolewa na Dk. Slaa kuwa, CHADEMA haitasubiri wanachama watakaoachwa na CCM, kwenye uteuzi wa wagombea katika uchaguzi mkuu ujao, wakati yeye na mkewe ni makapi ya CCM.
Dovutwa amesema Dk. Slaa alitokea CCM na kwamba, anatakiwa kuueleza umma ubaya...
10 years ago
GPL
CCM: KUJITOA SLAA, LIPUMBA UKAWA WATANYOOKA TU!
10 years ago
Tanzania Daima17 Nov
Dk. Slaa apokea kijiti Oparesheni Delete CCM
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Taifa, Freeman Mbowe, amehitimisha ngwe yake ya ziara ya Operesheni ‘Delete’ CCM, akikabidhi kijiti kwa Katibu Mkuu Dk. Willibrod Slaa, huku akiendelea...