CCM: KUJITOA SLAA, LIPUMBA UKAWA WATANYOOKA TU!
![](http://api.ning.com:80/files/qUZbsOiEeqmu-hN-GmA821ZQBeoaPfyTBPHun2X88iXsHaoApcbAJavjHA--zktX2ZVURjoDoN2GoxVQwA*PmXCPf-kdTlGT/lipumba3.jpg?width=650)
Mwandishi wetu WATANYOOKA tu! Hiyo ndiyo kauli waliyoitoa wafuasi wa CCM jijini Dar baada ya Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Willibrod Slaa na Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (Cuf), Ibrahim Lipumba kujiweka pembeni katika shughuli za Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa). Slaa amedaiwa kujichimbia nyumbani kwake Mbweni jijini Dar na kukataa kuzungumzia hatma yake kisiasa na kuacha shughuli za Ukawa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Jul
CUF yakanusha kujitoa Ukawa
9 years ago
Mtanzania15 Aug
Nape awapongeza Dk. Slaa, Lipumba
NA EVANS MAGEGE
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Nape Nnauye, amewafananisha viongozi waliokihama chama hicho na oili chafu.
Pia aliwapongeza aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba na Katibu Mkuu ‘aliyepumzishwa’ wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, kuwa wamejitambua kisiasa kwa kujitenga na oili hiyo inayomiminwa ndani ya injini ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).
Akizungumza na waandishi wa...
10 years ago
Raia Tanzania13 Aug
Profesa Lipumba, Dk. Slaa hamjatutendea haki
WAKATI mwingine ni wanasiasa wenyewe wanaosababisha raia wa kawaida kuuamini msemo uliopo mitaani kuwa ‘siasa ni mchezo mchafu’.
Msemo huu wa kawaida kabisa mitaani umesababisha hata mtu akizungumza porojo tu watu hudai kwamba eti; ‘hizo ni siasa tu.’
Kwa hiyo sasa siasa kwa lugha nyingine ya mtaani ni ‘usanii’ tu, kitu ambacho si kweli hata kidogo.
Wasomi wa ‘sayansi ya siasa’ (sina hakika kama ndio tafsiri halisi ya ‘political science’), hudai kuwa siasa ni sayansi ya jamii...
10 years ago
Raia Mwema12 Aug
Kiujiuzulu kwa Prof. Lipumba na sintofahamu ya Dk. Slaa
MAKALA hii ni mwendelezo wa ile iliyochapishwa katika gazeti hili katika toleo la wiki iliyopita.
Evarist Chahali
10 years ago
Mwananchi17 Jun
Prof Lipumba, Zitto DK Slaa, kuvaana kwenye mdahalo
10 years ago
Raia Mwema12 Aug
Slaa na sasa Lipumba, nani wengine dhamira zitawasuta?
“KWANGU mimi kuingia Ikulu ni tunda la lengo kuu ambalo ni kurudisha maadili ndani ya nchi hii.
Johnson Mbwambo
10 years ago
KwanzaJamii18 Aug
Lipumba: Moyo wa Ukawa ni Wajumbe 14
10 years ago
Mtanzania15 Jun
Profesa Lipumba: Nitaibeba Ukawa
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa Chama Cha Wananchi (CUF) Profesa Ibrahimu Lipumba amesema anatosha kugombea urais kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) iwapo atapewa nafasi hiyo na vyama washirika.
Amesema anawania nafasi hiyo huku kujiona ni mgombea pekee anayeweza kuwaunganisha Watanzania na kwamba ndiye aliasisi jina la Ukawa wakati wa Bunge Maalumu la Katiba.
Akizungumza Dar es Salaam jana baada ya kuchukua fomu ya kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...