Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk. Slaa apokea kijiti Oparesheni Delete CCM

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Taifa, Freeman Mbowe, amehitimisha ngwe yake ya ziara ya Operesheni ‘Delete’ CCM, akikabidhi kijiti kwa Katibu Mkuu Dk. Willibrod Slaa, huku akiendelea...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

NAIBU KATIBU MKUU CHADEMA AKIWA ZIARANI MKOANI RUKWA KATIKA MKUTANO WA OPERESHENI DELETE CCM

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Zanzibar, Salum Mwalimu akiwahutubia wananchi wa Kijiji cha Muze, Sumbawanga Vijijini, mkoani Rukwa, katika mfululizo wa mikutano ya ziara ya Operesheni Delete CCM, (Jumamosi 29/11/2014.)

 

10 years ago

Vijimambo

KATIBU WA CHADEMA WILAYA YA DR.SLAA AHAMIA CCM,MWIGULU AMVUNA KWA MANUFAA YA CCM NA TANZANIA

Mh:Mwigulu Nchemba akiwaisli viwanja vya
Mkutano Karatu Mjini.Naibu Katibu Mkuu CCM Bara Mh:Mwigulu Nchemba akisalimiana na Wananchi wa karatu Mjini mapema hii leo asubuhi majira ya saa tatu wakati akisisitiza kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa Kufanyika tar.14.12.2014.Mwigulu akimtambulisha Mwanachama mpya wa CCM ambaye alikuwa katibu wa CHADEMA Wilaya ya karatu ndugu.Raulenti Bonta.Kadi na baadhi za Vifaa vya CHADEMA ambavyo vimerudishwa hii leo kwa mwigulu Nchemba...

 

11 years ago

Mwananchi

Unajikinga mvua kwa kijiti?

Maneno huumba, lakini mawazo huumba vizuri zaidi ya maneno. Uliwazalo ndilo ulipatalo na uliwazalo, ndilo ulitendalo. Kwa kawaida moto huanza kwenye njiti ya kiberiti au cheche mioja na kuunguza msitu mzima. Tena msitu uwezao kuzalisha matrilioni ya njiti hizo.

 

11 years ago

Habarileo

Katibu CCM amlipua Dk Slaa

KATIBU wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Mufindi, Miraji Mtaturu amewataka wananchi wa Jimbo la Kalenga kujua kiasi cha fedha anazolipwa Dk Willbrod Slaa kila mwezi ili waoanishe na harakati zake anazodai zinalenga kupinga ufisadi. Dk Slaa ni Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema); yupo wilayani Iringa akiongoza kampeni za kumnadi Grace Tendega anayegombea ubunge katika jimbo hilo kupitia chama hicho.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Dk. Slaa: Ing’oeni CCM

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amewataka wananchi mkoani Iringa kutumia sanduku la kura kuking’oa madarakani Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuanzia uchaguzi wa Serikali...

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo matano yaliyompa kijiti Magufuli

Watanzania wengi na hata wagombea wa CCM walipigwa na butwaa kubwa baada ya kuona Dk John Magufuli anachaguliwa kuwa mgombea urais wa chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.

 

11 years ago

IPPmedia

CCM in Slaa, Mnyika murder plot


IPPmedia
CCM in Slaa, Mnyika murder plot
IPPmedia
The major opposition party Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) yesterday accused the ruling party CCM of designing a plot to harm some of its members by blowing up a helicopter in Shinyanga municipality back on January 27. The party's ...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Dk. Slaa afichua mkakati mchafu wa CCM

CHAMA cha Mapinduzi (CCM), kinadaiwa kutumia sh bilioni 536 kwa ajili ya kununua helkopta 12. Madai hayo yametolewa jana na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia (CHADEMA), Dk. Wilbroad Slaa....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani