Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mambo matano yaliyompa kijiti Magufuli

Watanzania wengi na hata wagombea wa CCM walipigwa na butwaa kubwa baada ya kuona Dk John Magufuli anachaguliwa kuwa mgombea urais wa chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Mambo matano mazuri ya Magufuli akiwa rais


Chama cha Mapinduzi (CCM) kimempitisha Dk John Pombe Magufuli kuwa mgombea urais wa chama hicho kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Tanzania utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu.Kwanza kabisa napenda kumpongeza sana Magufuli kwa hatua aliyofikia na kumtakia kila la heri. Naomba kukiri kwa uwazi kwamba katika uchaguzi unaohusisha vyama vya siasa ni lazima mshindi atapatikana na kwa Tanzania ni lazima mshindi huyo atoke kwenye chama cha siasa.Tanzania ina vyama 22 vilivyosajiliwa na vinavyofanya kazi...

 

10 years ago

Mwananchi

UCHAGUZI CCM: Mambo matano ‘mabaya’ Magufuli akiwa rais

>Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimempitisha Dk John Pombe Magufuli kuwa mgombea urais wa chama hicho kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Tanzania utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu. Tanzania ina vyama 22 vilivyosajiliwa na vinavyofanya kazi sasa, tutake tusitake ni lazima rais wa nchi atatoka katika chama kimojawapo, na kwa sababu CCM imeshapitisha mgombea wake na yeye ana fursa ya kushinda uchaguzi kama ambavyo fursa hiyo ilivyo kwenye vyama vingine.

 

10 years ago

Mwananchi

UCHAGUZI CCM: Mambo matano mazuri ya Magufuli akiwa rais

>Chama cha Mapinduzi (CCM) kimempitisha Dk John Pombe Magufuli kuwa mgombea urais wa chama hicho kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Tanzania utakaofanyika Oktoba 25, mwaka huu.

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Tulia ajiangalie mambo matano

Dk Tulia Ackson amechaguliwa kuwa naibu spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hiyo ni baada ya kumshinda mpinzani wake kutoka chama cha CUF, Magdalena Sakaya.

 

10 years ago

Mwananchi

Sumaye: Sitasahau mambo matano

Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amesema katika kipindi cha miaka 10 alichoshikilia nafasi hiyo ya mtendaji mkuu wa Serikali, hatasahau mambo matano makubwa aliyokumbana nayo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mambo matano yanayompaisha Mboto

UNAPOZUNGUMZIA wachekeshaji wanaofanya vizuri hapa nchini, hakika mchekeshaji Salim Haji ‘Mboto’ kamwe huwezi kuacha kulitaja jina lake. Kwa wale wasiofahamu historia yake, wanaweza wakadhani msanii huyu alianza kazi hiyo miaka...

 

9 years ago

Mwananchi

Washauri mambo matano kuepusha vurugu

Zikiwa zimebakia siku sita kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu, Watanzania wameibua mambo matano yanayoweza kuliepusha Taifa na vurugu zinazoweza kutokea baada ya uchaguzi.

 

10 years ago

Mwananchi

Sitta: Mambo matano kwa Taifa

Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta ametangaza nia ya kugombea urais kwa tiketi ya CCM, akieleza kuwa anataka kulifanyia Taifa mambo matano, ikiwa ni pamoja na kutenganisha biashara na siasa na kusimamia maadili ya viongozi wa umma.

 

11 years ago

Mwananchi

Mambo muhimu matano yanayoiweka CCM pabaya

>Wiki mbili zilizopita Chama Cha Mapinduzi (CCM) kiliadhimisha sherehe za kutimiza miaka 37 tangua kuanzishwa, huku kikiwa na mambo matano yanayokikaba koo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani