Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uzalendo kwanza mengine baadaye

Taifa letu litajengwa na uzalendo wetu na wala siyo porojo na propaganda za kijinga. Uzalendo ni pamoja na hekima na busara ya kusikiliza na kuvumilia maoni ya watu wengine.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Ngono kwanza, dawa baadaye

Makahaba wa Kenya wanafanya ngono bila kinga na kumeza tembe za kupunguza makali ya HIV ili kupunguza tisho la kuambukizwa na HIV

 

11 years ago

Habarileo

Mbunge: Jimbo kwanza, Chadema baadaye

SIKU moja baada ya Mbunge wa Mpanda Mjini, Said Amour Arfi (Chadema) kushangaza kambi ya upinzani kwa kupiga kura ya kuunga mkono Bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2014/2015, mwenyewe amesema amefanya hivyo kwa ajili ya jimbo lake na si kutanguliza maslahi ya Chama chake kama wafanyavyo wabunge wengine.

 

10 years ago

GPL

AMANDA STAREHE KWANZA, MUNGU BAADAYE

Stori: Hamida Hassan
STAA mwenye shepu ya aina yake ndani ya Bongo Movies, Tamrina Poshi ‘Amanda’ ameibuka na kusema kuwa siku ikifika atarejea kwa Mwenyezi Mungu lakini kwa sasa bado anakula ujana. Staa mwenye shepu ya aina yake ndani ya Bongo Movies, Tamrina Poshi ‘Amanda’. Akipiga stori na Ijumaa Wikienda, Amanda alisema kwa sasa umri wake unamruhusu kula ujana kwa mambo ya starehe kama kuvaa...

 

10 years ago

Mwananchi

Shishi Baby: Muziki kwanza, Filamu baadaye

Tathmini iliyofanywa na gazeti hili ni kwamba tangu mwaka uanze, maonyesho aliyofanya mtoto huyu wa kike mwenye mvuto hayapungui 36 na bado yuko kwenye ziara ya Serengeti Fiesta akichanja Mbuga, jana katokea Musoma na leo anaelekea Shinyanga kupiga onyesho la 38 tangu kuanza kwa mwaka wa 2014.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Katiba mpya kwanza, wasaka urais baadaye

MWAKA 1995 Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere alituasa Watanzania tumchague mtu ambaye anachukia rushwa kwa dhati. Kwa maneno ya Mwalimu, ukimtazama mtu huyo anapotamka neno rushwa uridhike kwamba anaichukia rushwa...

 

10 years ago

Michuzi

PIGA KWANZA MASWALI BAADAYE-UMOJA WA MATAIFA

Bw. Martin Kobler, Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mkuu wa Misheni ya Kulinda amani katika DRC ( MONUSCO) akiwasilisha taarifa kuhusu MONUSCO mbele ya Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa hapo siku ya jumatatu. Katika maelezo yake Bw. Kobler amesema walinzi wa amani hawapaswi kukaa na kutochukua hatua au kuanza kuuliza maswali badala ya kuwakabili waasi wenye silaha ambao wanaonekana dhahiri kutishia usalama wa raia au hata usalama wao wenyewe. Na kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Lipumba: Kwanza CCM ing’oke, ruzuku baadaye

Wakati Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi akisema suala la ruzuku na viti maalumu ni changamoto kwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amesema hicho si kipaumbele.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tamasha la Uzalendo Kwanza sasa Agosti 9

TAMASHA la kuombea amani na kuwa na moyo wa uzalendo kwa Watanzania liitwalo ‘Uzalendo Kwanza’ limesogezwa mbele kutoka Agosti 5 hadi 9 mwaka huu katika ukumbi wa kanisa la The...

 

10 years ago

Dewji Blog

Uzalendo kwanza: Piga kura uboreshe maisha ya watu wenye ulemavu wa ngozi

Untitled

Shirika linalojibidisha na kutetea na kulinda watu wenye ulemavu wa ngozi nchini Under the Same Sun, (UTSS) limeteuliwa kushindania  Tuzo ya Haki za Binadamu ijulikanayo kama “Tulip” itolewayo  nchini Uholanzi.  Iwapo UTSS watashinda tuzo hiyo, ni dhahiri kwamba kutakuwa na mapinduzi makubwa  katika uboreshaji wa maisha ya watu  wenye ulemavu wa ngozi.  Shiriki kwa kupiga kura ili UTSS washinde Tuzo hii na kulinda ndugu zetu wenye Ulemavu wa Ngozi Tanzania kwa kupiga kura hapa chini na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani