Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge: Jimbo kwanza, Chadema baadaye

SIKU moja baada ya Mbunge wa Mpanda Mjini, Said Amour Arfi (Chadema) kushangaza kambi ya upinzani kwa kupiga kura ya kuunga mkono Bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2014/2015, mwenyewe amesema amefanya hivyo kwa ajili ya jimbo lake na si kutanguliza maslahi ya Chama chake kama wafanyavyo wabunge wengine.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MBUNGE NA DIWANI CHADEMA WALALAMIKIWA NA WANANCHI KUKWAMISHA MAENDELEO YA JIMBO KWA MIAKA MINNE

Wanafunzi wa elimu ya awali, wakifundishwa na mwalimu Juliana Joseph huku wakiwa wamekaa sakafuni na juu ya paa kukiwa wazi katika moja ya vyumba vya madarasa ya Shule ya Msingi, Unyaghumpi vilivyozuiliwa kujengwa na Mbunge Tundu Lissu kwa kuwakataza wananchi kuchangia fedha na kuwaambia kuwa fedha zote zitatoka serikalini,imeelezwa na Wananchi wa jimbo hilo kuwa kufuatia na hali hiyo miradi mingi imekwama kwa miaka minne sasa,jambo ambalo limewarudisha nyuma kimaendeleo.  Katibu ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ngono kwanza, dawa baadaye

Makahaba wa Kenya wanafanya ngono bila kinga na kumeza tembe za kupunguza makali ya HIV ili kupunguza tisho la kuambukizwa na HIV

 

10 years ago

Mwananchi

Uzalendo kwanza mengine baadaye

Taifa letu litajengwa na uzalendo wetu na wala siyo porojo na propaganda za kijinga. Uzalendo ni pamoja na hekima na busara ya kusikiliza na kuvumilia maoni ya watu wengine.

 

10 years ago

GPL

AMANDA STAREHE KWANZA, MUNGU BAADAYE

Stori: Hamida Hassan
STAA mwenye shepu ya aina yake ndani ya Bongo Movies, Tamrina Poshi ‘Amanda’ ameibuka na kusema kuwa siku ikifika atarejea kwa Mwenyezi Mungu lakini kwa sasa bado anakula ujana. Staa mwenye shepu ya aina yake ndani ya Bongo Movies, Tamrina Poshi ‘Amanda’. Akipiga stori na Ijumaa Wikienda, Amanda alisema kwa sasa umri wake unamruhusu kula ujana kwa mambo ya starehe kama kuvaa...

 

10 years ago

Michuzi

MWENYEKITI WA CHADEMA NA MBUNGE WA HAI FREEMAN MBOWE AZINDUA KITABU CHA UTEKELEZAJI AHADI ZA JIMBO LA KAWE

 Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akisalimiana na Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima wakati wa mkutano wa hadhara uliokwenda sambamba na uzinduzi wa kitabu cha utekelezaji wa ahadi za jimbo la Kawe.Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe  akizindua kitabu cha ukekelezaji wa ahadi za jimbo la Kawe kulia ni Mbunge wa Kawe-Chadema Halima Mdee Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe akihutubia. Umati wa watu waliohudhuria mkutano huo.

 

10 years ago

Mwananchi

Shishi Baby: Muziki kwanza, Filamu baadaye

Tathmini iliyofanywa na gazeti hili ni kwamba tangu mwaka uanze, maonyesho aliyofanya mtoto huyu wa kike mwenye mvuto hayapungui 36 na bado yuko kwenye ziara ya Serengeti Fiesta akichanja Mbuga, jana katokea Musoma na leo anaelekea Shinyanga kupiga onyesho la 38 tangu kuanza kwa mwaka wa 2014.

 

10 years ago

Michuzi

PIGA KWANZA MASWALI BAADAYE-UMOJA WA MATAIFA

Bw. Martin Kobler, Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mkuu wa Misheni ya Kulinda amani katika DRC ( MONUSCO) akiwasilisha taarifa kuhusu MONUSCO mbele ya Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa hapo siku ya jumatatu. Katika maelezo yake Bw. Kobler amesema walinzi wa amani hawapaswi kukaa na kutochukua hatua au kuanza kuuliza maswali badala ya kuwakabili waasi wenye silaha ambao wanaonekana dhahiri kutishia usalama wa raia au hata usalama wao wenyewe. Na kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Katiba mpya kwanza, wasaka urais baadaye

MWAKA 1995 Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere alituasa Watanzania tumchague mtu ambaye anachukia rushwa kwa dhati. Kwa maneno ya Mwalimu, ukimtazama mtu huyo anapotamka neno rushwa uridhike kwamba anaichukia rushwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Lipumba: Kwanza CCM ing’oke, ruzuku baadaye

Wakati Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi akisema suala la ruzuku na viti maalumu ni changamoto kwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amesema hicho si kipaumbele.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani