Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Askofu: Kauli za kulazimisha kwenda Ikulu hatari

Askofu wa Kanisa  la Pentecostal Assemblies of God Tanzania (PAG), Mbeya Christian Centre (MCC), Damianus Kongoro  amesema kauli za wanasiasa kulazimisha kwenda Ikulu zinazotolewa kipindi hiki  zinatishia usalama na amani ya nchi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Kauli ya LOWASSA Yaleta Gumzo 'Maskini Akienda IKULU Ataiba si Ndio? Tajiri Akienda Ikulu Atawapa watu Mbinu za Utajiri'


Kweli au si kweli? Maskini akienda IKULU ataiba si ndio? Tajiri akienda Ikulu atawapa watu mbinu za utajiri....ama, maskini akienda ataongoza kwa kuelewa matatizo ya wananchi wake na kuwapa kipaumbele...na tajiri yeye hatajali kundi la maskini wanahitaji nini maana hajui umaskini unafananaje?? Vyovyote vile!! Bado tunasikiliza na kupima sera za wagombea wote...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Askofu Mtetemela alaani kauli ya Lipumba

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Askofu Mkuu mstaafu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Donald Mtetemela, amelaani kauli iliyotolewa na mjumbe mwenzake, Profesa Ibrahim Lipumba ya kulifananisha bunge hilo na...

 

11 years ago

Mwananchi

Askofu Mtetemelwa akemea kauli ya Profesa Lipumba

Askofu Mstaafu, Donald Mtetemela amesema kauli ya Profesa Ibrahimu Lipumba kuwaita Wajumbe wa Bunge la Katiba kuwa ni Intarahamwe inaweza kuamsha hisia za wananchi na kusababisha migogoro nchini na kusema inapaswa kupingwa na kulaaniwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Askofu anusurika kwenda jela

ASKOFU wa Kanisa la Habari Njema mjini hapa, Tryphone John, amenusurika kwenda jela baada ya  kulipa faini ya sh 30,000 baada ya kupatikana na hatia ya gari lake kumgonga mwendesha...

 

9 years ago

Mwananchi

Kwenda Ikulu ni kazi

Kama ukubwa ni huu, wa kupelekeshwa mbiyo, Na kuwekwa roho juu, kila saa jakamoyo, Nawaacheni tuu, siukalifishi moyo, Ikulu nendeni nyinyi, mpendao uraisi.

 

10 years ago

Mtanzania

Waliotembea km 1, 200 kwenda Ikulu wakamatwa

Pg 1

 

Na Elias Msuya
ILE safari ya zaidi ya kilometa 1,200 ya makada watatu wa Chadema kutoka mkoani Geita waliotaka kwenda Ikulu ya Dar es Salaam kumwona Rais Jakaya Kikwete, imeishia mikononi mwa polisi baada ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana, kuwazuia kuendelea na safari yao hadi watakapopata maelekezo.
Vijana hao, Khalid Selemani, Athanas Michael na Juma Maganga, walisema wameamua kutembea kwa miguu kwa siku 37 ili kumfikishia Rais Kikwete ujumbe wao kuhusu kupinga ufisadi,...

 

10 years ago

Mwananchi

Safari ya Ukawa kwenda Ikulu 2015

Fukuto la kumpata mgombea wa kiti cha urais kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka 2015 kwa tiketi ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), linazidi kupamba moto huku ikielezwa kuwa jina la mgombea litatajwa kabla ya Mei mwakani.

 

10 years ago

Mtanzania

Monica Mbega ajihakikishia kwenda Ikulu

Na Francis Godwin, Iringa

WAKATI mbio za makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaowania nafasi ya kuteuliwa kugombea urais kupitia chama hicho zikiendelea kushika kasi, aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini, Monica Mbega, jana ameingia mkoani hapa na kupata wadhamini 33.

Mwanamama huyo aliwataka Watanzania kutoaminishwa na mbwembwe za wagombea wenzake wanazofanya mikoani na kusema kuwa yeye ndiye rais wa awamu ya tano, huku akiwaomba Watanzania wamuunge mkono.

Mbega, ambaye alilazimika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani