Askofu anusurika kwenda jela
ASKOFU wa Kanisa la Habari Njema mjini hapa, Tryphone John, amenusurika kwenda jela baada ya kulipa faini ya sh 30,000 baada ya kupatikana na hatia ya gari lake kumgonga mwendesha...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili19 Feb
Mwanamke wa Indonesia anusurika kifungo jela kwa kuingiza mbwa msikitini
10 years ago
Mwananchi17 Aug
Askofu: Kauli za kulazimisha kwenda Ikulu hatari
10 years ago
BBCSwahili06 May
Khan wa Bollywood kwenda jela miaka 5
11 years ago
CloudsFM14 Aug
ASKOFU ATUPWA JELA MIAKA 32 KWA UJAMBAZI BENKI
Askofu wa Kanisa la Christian Fellowship Assemblies of God la Arusha, Jumanne Kilongola amehukumiwa kifungo cha miaka 32 jela baada ya kupatikana na hatia ya kupora Sh5.3 bilioni ndani ya Benki ya NBC, Tawi la Moshi Mei 21, 2004.
Katika hukumu hiyo iliyotolewa jana na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kilimanjaro, Simon Kobelo, askofu huyo amehukumiwa kifungo hicho pamoja na raia watano wa Kenya baada ya kupatikana na hatia ya kufanya wizi huo kwa mtutu wa bunduki.
Kati ya...
11 years ago
Mwananchi12 Sep
Watanzania kwenda jela SA kwa jaribio la kuua
11 years ago
Tanzania Daima20 Jul
‘Wasiotoa chakula kwa wanafunzi kwenda jela’
HALMASHAURI ya Wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa, imetoa siku 14 kwa watendaji wa vijiji kuhakikisha shule zilizopo katika vijiji vyao zinatoa chakula cha mchana kwa wanafunzi, na atakayeshindwa awekwe ndani...
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Waziri mkuu wa zamani wa Israel ahukumiwa kwenda jela
Ehud Olmert
Jerusalem, Israel
Mahakama Kuu ya Israel, imemhukumu aliyekuwa waziri mkuu wa nchi hiyo kuanzia mwaka 2006-2009, Ehud Olmert kifungo cha miezi 18 jela baada ya kukutwa na hatia kwenye makosa ya kula rushwa yaliyokuwa yanamkabili.
Awali, Mei, 2014, Olmert alihukumiwa kifungo cha miaka 6 jela kufuatia kukutwa na hatia katika makosa ya kupokea rushwa katika kipindi cha 1993 hadi 2003 alipokuwa Meya wa Jiji la Jerusalem. Baada ya hukumu ya awali, Olmert alikata rufaa na baada ya...
11 years ago
GPL
CHARLES EKELEGE AHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA MITATU