‘Wasiotoa chakula kwa wanafunzi kwenda jela’
HALMASHAURI ya Wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa, imetoa siku 14 kwa watendaji wa vijiji kuhakikisha shule zilizopo katika vijiji vyao zinatoa chakula cha mchana kwa wanafunzi, na atakayeshindwa awekwe ndani...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Sep
Watanzania kwenda jela SA kwa jaribio la kuua
Mahakama nchini Afrika Kusini imewahukumu kwenda jela miaka minane watu wanne wakiwamo Watanzania wawili kwa kosa la kutaka kumuua aliyekuwa mkuu wa majeshi wa Rwanda, Faustin Nyamwasa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhnVftMkqyjtUlp2oOi8bC8eKM5uoNzfF3ZfOt0FbstVJ7ezGJj20BbqOoDuoGKKPvo155Kl6F*-PoDYOgu-pTJQ/ulihoeness_uzqg74l0gmyrzsky6qgbfvto.jpg?width=650)
RAIS WA BAYERN MUNICH AHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA 3 KWA KUKWEPA KODI
Rais wa Bayern Munich, Uli Hoeness. Rais wa Bayern Munich amehukumiwa kwenda jela kwa kifungo cha miaka mitatu na miezi sita kutokana na kosa la kukwepa kodi. Uli Hoeness, 62, alikiri kukwepa kodi inayofikia kiasi cha €18.5 million kupitia akaunti zake za benki za siri lakini utetezi wake wa kukiri kosa akidhania ungemsaidia kuepukana na adhabu ya kifungo ulishindwa kumsaidia. Mwendesha mashtaka alitaka Hoeness afungwe...
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Mwalimu jela kwa ‘kufuga’ wanafunzi watoro
Mahakama ya Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga imemhukumu mwalimu wa Shule ya Msingi Nonwe, Raphael Matima kifungo cha miaka mitano jela kwa kosa la kuomba na kupokea rushwa ya Sh600,000 ili afiche wanafunzi watoro.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dGjuJOOhO2o/VUoX9J38qjI/AAAAAAABNpE/HEg8BSzkoyw/s72-c/1.jpg)
SALMAN KHAN KWENDA JELA MIAKA 5 BAADA YA KUMGONGA NA KUMUUA MTU KWA GARI
![](http://3.bp.blogspot.com/-dGjuJOOhO2o/VUoX9J38qjI/AAAAAAABNpE/HEg8BSzkoyw/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1wb8tUFhTak/VUoX9IL6qyI/AAAAAAABNpI/2NGrKfWeagc/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4kZqidDmWDk/VUoZIgkESFI/AAAAAAABNpc/5qPtVAAi2L0/s1600/1cf81f294920b114750f6a7067004433.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OQTtdIkCPU0/XmlLdJ-mH2I/AAAAAAALisY/gHE2hLfecf8kyHCZ5Uc1gYGxhn9q3BRuwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200309-WA0029.jpg)
MAHAKAMA YAMHUKUMU MENEJA WA UKODI KWENDA JELA MIAKA MITANO KWA NJAMA ZA WIZI WA MIL.45.2
![](https://1.bp.blogspot.com/-OQTtdIkCPU0/XmlLdJ-mH2I/AAAAAAALisY/gHE2hLfecf8kyHCZ5Uc1gYGxhn9q3BRuwCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200309-WA0029.jpg)
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kibaha Mkoa wa Pwani, imemuhukumu aliyekuwa meneja wa kituo cha kuuza mafuta cha UKODI INTERNATIONAL COM LIMITED, Malima Charles miaka 40 mkazi wa Maili moja Kibaha, kwenda jela miaka mitano baada ya kumkuta na hatia katika makosa mawili yaliyokuwa yakimkabili ikiwemo kuvunja ofisi na wizi.
Akisoma hukumu hiyo iliyodumu kwa muda wa saa moja ambayo ilivuta hisia za wakazi wa Kibaha, Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo Joyce Mushi, alieleza ...
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Askofu anusurika kwenda jela
ASKOFU wa Kanisa la Habari Njema mjini hapa, Tryphone John, amenusurika kwenda jela baada ya kulipa faini ya sh 30,000 baada ya kupatikana na hatia ya gari lake kumgonga mwendesha...
9 years ago
MichuziWANAFUNZI 70 WA UHANDISI NA UDAKTARI KUONDOKA NCHINI SEPTEMBA 22, 2015 KWENDA KWA MASOMO NCHINI CHINA
10 years ago
BBCSwahili06 May
Khan wa Bollywood kwenda jela miaka 5
Mwigizaji maarufu wa filamu za Bollywood nchini India Salman Khan amekuhumiwa kifungo cha miaka mitano jela baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mtu mmoja asiye na makazi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania