Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sserunkuma amfurahia Okwi

Mshambuliaji wa kimataifa wa Uganda, Daniel Sserunkuma amesema amefurahi kujiunga Simba ambako atacheza pamoja na Mganda mwenzake, Emmanuel Okwi

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kagame amfurahia Jakaya Kikwete

Rais Paul Kagame amemshukuru Rais Jakaya Kikwete kwa kuhudhuria mkutano wa tisa wa nchi zilizoungana kutekeleza Miradi ya Miundombinu Ukanda wa Kaskazini za Northern Corridor Projects uliofanyika jijini Kigali, Rwanda, akisema ni hatua muhimu katika kufungua utekelezaji wa miradi ya miundombinu katika kanda nyingine za EAC.

 

10 years ago

Mwananchi

Phiri amtetea Sserunkuma

Kocha mkuu wa Simba, Patrick Phiri amesema mshambuliaji wake raia wa Uganda, Danny Sserunkuma alicheza chini ya kiwango katika mechi ya Ligi Kuu dhidi ya Kagera Sugar kwa sababu anahitaji muda zaidi wa kuzoeana na wenzake.

 

10 years ago

GPL

Sserunkuma: Yanga nawajua

Mshambuliaji wa Simba, Mganda, Danny Sserunkuma. Omary Mdose na Ibrahim Mussa
MSHAMBULIAJI wa Simba, Mganda, Danny Sserunkuma, amewatoa wasiwasi wapenzi wa timu hiyo kwa kuwaambia wawe na imani na timu yao kwani sasa hivi ipo kamili. Sserunkuma aliyesajiliwa na Simba akitokea Gor Mahia inayoshiriki Ligi Kuu ya Kenya, alitua nchini Jumapili ya wiki iliyopita na ameanza mazoezi na kikosi hicho juzi Jumatatu, wakiwa visiwani...

 

10 years ago

Mwananchi

Emerson, Sserunkuma watingisha

Usajili wa nyota wapya wa kigeni umegeuka kete ya ushindi kwenye mechi ya Nani Mtani Jembe 2 baina ya Simba na Yanga inayotarajiwa kuchezwa Desemba 13 jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Sserunkuma asaini Simba

Simba imempa mkataba wa miaka miwili mshambuliaji wa Gor Mahia ya Kenya, Dan Sserunkuma, imethibitika rasmi.

 

10 years ago

Mwananchi

Sserunkuma atuliza mizuka Simba SC

Simba imewapoza roho mashabiki wake waliokuwa na hasira baada ya jana kuibuka na ushindi wa mabao 2- 1 dhidi ya JKT Ruvu katika mchezo mkali wa Ligi Kuu Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

TheCitizen

Gor accepts Sserunkuma fate

 Gor Mahia have made the first explicit revelation, confirming talismanic striker Dan Sserunkuma’s departure after reports suggested he had ditched the club for Mainland giants Simba SC at the end of his contract with the Kenyan champions.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Mkataba Sserunkuma umeghushiwa saini’

Mwenyekiti wa Express ya Uganda, Francis Ntalazi amedai Simba ilitumia saini ya kughushi kupata mkataba wa Simon Sserunkuma kama mchezaji huru.

 

10 years ago

Mtanzania

Phiri awafungia kazi kina Sserunkuma

Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri

Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri

 

 

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM,
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Patrick Phiri amewafungia kazi wachezaji wake wapya hasa wale wa kigeni ili kuangalia kwa umakini viwango vyao, ikiwa ni sehemu ya mikakati yake kuona anaweza kuwatumia vipi na kwa mfumo gani katika kikosi chake.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Phiri alisema baada ya usajili wa dirisha dogo angependa kufahamu kwa kina uwezo wa kila mchezaji mpya ili mwisho wa siku aweze kujua jinsi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani