Phiri awafungia kazi kina Sserunkuma
Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM,
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Patrick Phiri amewafungia kazi wachezaji wake wapya hasa wale wa kigeni ili kuangalia kwa umakini viwango vyao, ikiwa ni sehemu ya mikakati yake kuona anaweza kuwatumia vipi na kwa mfumo gani katika kikosi chake.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Phiri alisema baada ya usajili wa dirisha dogo angependa kufahamu kwa kina uwezo wa kila mchezaji mpya ili mwisho wa siku aweze kujua jinsi ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Dec
Phiri amtetea Sserunkuma
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
DC awafungia maafisa waliochelewa kazini TZ
9 years ago
Mwananchi19 Dec
Dk Kigwangalla awafungia geti wafanyakazi wachelewaji
10 years ago
GPLMAMA AWAFUNGIA NDANI WANAYE 3 KWA MIAKA 10
10 years ago
Mwananchi05 Dec
Emerson, Sserunkuma watingisha
10 years ago
GPLSserunkuma: Yanga nawajua
10 years ago
Mwananchi02 Dec
Sserunkuma amfurahia Okwi
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Sserunkuma asaini Simba
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Sserunkuma atuliza mizuka Simba SC