Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Phiri awafungia kazi kina Sserunkuma

Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri

Kocha mpya wa Simba, Patrick Phiri

 

 

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM,
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Patrick Phiri amewafungia kazi wachezaji wake wapya hasa wale wa kigeni ili kuangalia kwa umakini viwango vyao, ikiwa ni sehemu ya mikakati yake kuona anaweza kuwatumia vipi na kwa mfumo gani katika kikosi chake.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Phiri alisema baada ya usajili wa dirisha dogo angependa kufahamu kwa kina uwezo wa kila mchezaji mpya ili mwisho wa siku aweze kujua jinsi ya...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Phiri amtetea Sserunkuma

Kocha mkuu wa Simba, Patrick Phiri amesema mshambuliaji wake raia wa Uganda, Danny Sserunkuma alicheza chini ya kiwango katika mechi ya Ligi Kuu dhidi ya Kagera Sugar kwa sababu anahitaji muda zaidi wa kuzoeana na wenzake.

 

9 years ago

BBCSwahili

DC awafungia maafisa waliochelewa kazini TZ

Wafanyikazi 20 wa uma nchini Tanzania walifungiwa kwa hadi saa sita kwa kuchelewa kazini.

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Kigwangalla awafungia geti wafanyakazi wachelewaji

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Hamisi Kigwangalla ametoa adhabu kwa wafanyakazi wote waliofika ofisini baada ya 1:30 asubuhi na kwa kufungiwa geti.     

 

10 years ago

GPL

MAMA AWAFUNGIA NDANI WANAYE 3 KWA MIAKA 10

Na Haruni Sanchawa, Mafia
NI mambo ya kushangaza sana ambayo yamenaswa na Gazeti la Uwazi  katika Kisiwa cha Mafia Mkoa wa Pwani ambapo mwanamke mmoja aitwaye Mwasiti Ally wa Kijiji cha Kanga, amewafungia wanaye watatu kwa miaka kumi ndani ya chumba kimoja kwa madai kuwa ni wagonjwa wa akili. Mtoto Ally Juma ni mmoja kati ya watoto wa wanodaiwa kufungiwa ndani kwa miaka 10 na mama yao mzazi Mwasiti Ally (pichani). Uwazi...

 

10 years ago

Mwananchi

Emerson, Sserunkuma watingisha

Usajili wa nyota wapya wa kigeni umegeuka kete ya ushindi kwenye mechi ya Nani Mtani Jembe 2 baina ya Simba na Yanga inayotarajiwa kuchezwa Desemba 13 jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

GPL

Sserunkuma: Yanga nawajua

Mshambuliaji wa Simba, Mganda, Danny Sserunkuma. Omary Mdose na Ibrahim Mussa
MSHAMBULIAJI wa Simba, Mganda, Danny Sserunkuma, amewatoa wasiwasi wapenzi wa timu hiyo kwa kuwaambia wawe na imani na timu yao kwani sasa hivi ipo kamili. Sserunkuma aliyesajiliwa na Simba akitokea Gor Mahia inayoshiriki Ligi Kuu ya Kenya, alitua nchini Jumapili ya wiki iliyopita na ameanza mazoezi na kikosi hicho juzi Jumatatu, wakiwa visiwani...

 

10 years ago

Mwananchi

Sserunkuma amfurahia Okwi

Mshambuliaji wa kimataifa wa Uganda, Daniel Sserunkuma amesema amefurahi kujiunga Simba ambako atacheza pamoja na Mganda mwenzake, Emmanuel Okwi

 

10 years ago

Mwananchi

Sserunkuma asaini Simba

Simba imempa mkataba wa miaka miwili mshambuliaji wa Gor Mahia ya Kenya, Dan Sserunkuma, imethibitika rasmi.

 

10 years ago

Mwananchi

Sserunkuma atuliza mizuka Simba SC

Simba imewapoza roho mashabiki wake waliokuwa na hasira baada ya jana kuibuka na ushindi wa mabao 2- 1 dhidi ya JKT Ruvu katika mchezo mkali wa Ligi Kuu Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani