Kagame amfurahia Jakaya Kikwete
Rais Paul Kagame amemshukuru Rais Jakaya Kikwete kwa kuhudhuria mkutano wa tisa wa nchi zilizoungana kutekeleza Miradi ya Miundombinu Ukanda wa Kaskazini za Northern Corridor Projects uliofanyika jijini Kigali, Rwanda, akisema ni hatua muhimu katika kufungua utekelezaji wa miradi ya miundombinu katika kanda nyingine za EAC.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
The Africa Report16 Jun
Paul Kagame vs. Jakaya Kikwete
The Africa Report
A handshake and smiles at Burundi crisis talks. Photo©Stringer Reuters The East African neighbours are starting to rebuild their friendship. Rwanda's President Paul Kagame and Tanzania's President Jakaya Kikwete are slowly and quietly trying to make up ...
Kikwete in 'Goodbye Africa' SpeechAllAfrica.com
all 7
10 years ago
Mwananchi02 Dec
Sserunkuma amfurahia Okwi
10 years ago
Michuzi15 Jan
RAIS JAKAYA KIKWETE NA MAMA SALMA KIKWETE WAMJULIA HALI MBUNGE WA NAMTUMBO MHE VITA KAWAWA ALIYELAZWA HOSPITALI YA AMI JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://3.bp.blogspot.com/-K7yg0TzVKWA/VLaG7bGGS4I/AAAAAAADL7U/WG_llP0IAnQ/s1600/aa4.jpg)
11 years ago
Habarileo21 Feb
Kikwete, Kagame kujadili matatizo
MARAIS Jakaya Kikwete na Paul Kagame wa Rwanda, wamepanga kukutana mara kwa mara kujadili matatizo yanayoibuka na kuhatarisha amani baina ya nchi hizo. Pia Tanzania imechaguliwa kwa mara ya pili kuwa mjumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN) katika mkutano wa Umoja wa Afrika (AU) jijini Addis Ababa, Ethiopia.
10 years ago
Vijimambo27 Mar
Kagame ammwagia sifa Kikwete
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2667114/highRes/978092/-/maxw/600/-/136rpgrz/-/JK_Kagame.jpg)
Dar es Salaam. Rais wa Rwanda, Paul Kagame amemwagia sifa Rais Jakaya Kikwete kwa kuboresha huduma za Bandari ya Dar es Salaam na kuwezesha mizigo inayosafirishwa kwenda Rwanda kufika mapema zaidi kuliko ilivyokuwa miaka michache iliyopita.Akizungumza kwa furaha wakati marais hao walipotembelea kitengo cha kushusha na kupakia mizigo cha TICTS...
10 years ago
Habarileo09 Mar
Kagame, Kenyatta wamsifu Kikwete
RAIS wa Rwanda, Paul Kagame amesema hatua ya Mwenyekiti wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Rais Jakaya Kikwete kuhudhuria Mkutano wa Tisa wa Nchi zilizoungana Kutekeleza Miradi ya Miundombinu Ukanda wa Kaskazini ni hatua muhimu katika kufungua utekelezaji wa miradi ya miundombinu katika kanda nyingine za EAC.
10 years ago
Mwananchi27 Mar
USHIRIKIANO: Kagame ammwagia sifa Kikwete
11 years ago
IPPmedia15 Jan
President Jakaya Kikwete
IPPmedia
IPPmedia
President Jakaya Kikwete has requested China to extend its expertise, materials and financial muscle to Tanzania in the area of urban planning. According to a statement issued by the State House in Zanzibar where Kikwete held talks with Chinese Minister ...
Zanzibar President of Tanzania Meets with Jiang Weixin, Special Envoy of ...MFA China
all 3
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/l4W8jVdh3X*1SMsI6xD4S8k3w-GYwTdTSllRi7SKI7YCkkr0r6nvNWomX0BeS0g3BAQtYo2bQaj6Nll3I53ZW*5XCxVxkWNg/RAISKIKWETE.png?width=650)
HERI YA KUZALIWA MH. JAKAYA KIKWETE