Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete, Kagame kujadili matatizo

MARAIS Jakaya Kikwete na Paul Kagame wa Rwanda, wamepanga kukutana mara kwa mara kujadili matatizo yanayoibuka na kuhatarisha amani baina ya nchi hizo. Pia Tanzania imechaguliwa kwa mara ya pili kuwa mjumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN) katika mkutano wa Umoja wa Afrika (AU) jijini Addis Ababa, Ethiopia.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA: Matatizo hayatakwisha kwa kujadili imani

NAIBU Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Zanzibar, Hamad Musa Yusuph, amesema matatizo ya Watanzania hayataweza kutatuliwa kama wananchi watajikita kujadili imani zao badala ya sababu ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Kikwete: Matatizo daraja Kigamboni yatatuliwe haraka

 Rais Jakaya Kikwete ametembelea daraja la Kigamboni, Dar es Salaam jana na kuagiza changamoto zilizoanishwa zitatuliwe haraka kabla mradi haujakamilika.

 

10 years ago

The Africa Report

Paul Kagame vs. Jakaya Kikwete


Paul Kagame vs. Jakaya Kikwete
The Africa Report
A handshake and smiles at Burundi crisis talks. Photo©Stringer Reuters The East African neighbours are starting to rebuild their friendship. Rwanda's President Paul Kagame and Tanzania's President Jakaya Kikwete are slowly and quietly trying to make up ...
Kikwete in 'Goodbye Africa' SpeechAllAfrica.com

all 7

 

10 years ago

Mwananchi

Kagame amfurahia Jakaya Kikwete

Rais Paul Kagame amemshukuru Rais Jakaya Kikwete kwa kuhudhuria mkutano wa tisa wa nchi zilizoungana kutekeleza Miradi ya Miundombinu Ukanda wa Kaskazini za Northern Corridor Projects uliofanyika jijini Kigali, Rwanda, akisema ni hatua muhimu katika kufungua utekelezaji wa miradi ya miundombinu katika kanda nyingine za EAC.

 

10 years ago

Vijimambo

Kagame ammwagia sifa Kikwete

Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Rwanda, Paul Kagame wakiteta jambo wakati wa mkutano uliowakutanisha viongozi wa nchi sita. Picha na Venance Nestory
Dar es Salaam. Rais wa Rwanda, Paul Kagame amemwagia sifa Rais Jakaya Kikwete kwa kuboresha huduma za Bandari ya Dar es Salaam na kuwezesha mizigo inayosafirishwa kwenda Rwanda kufika mapema zaidi kuliko ilivyokuwa miaka michache iliyopita.Akizungumza kwa furaha wakati marais hao walipotembelea kitengo cha kushusha na kupakia mizigo cha TICTS...

 

10 years ago

Habarileo

Kagame, Kenyatta wamsifu Kikwete

Rais wa Rwanda, Paul KagameRAIS wa Rwanda, Paul Kagame amesema hatua ya Mwenyekiti wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Rais Jakaya Kikwete kuhudhuria Mkutano wa Tisa wa Nchi zilizoungana Kutekeleza Miradi ya Miundombinu Ukanda wa Kaskazini ni hatua muhimu katika kufungua utekelezaji wa miradi ya miundombinu katika kanda nyingine za EAC.

 

10 years ago

Mwananchi

USHIRIKIANO: Kagame ammwagia sifa Kikwete

>Rais wa Rwanda, Paul Kagame amemwagia sifa Rais Jakaya Kikwete kwa kuboresha huduma za Bandari ya Dar es Salaam na kuwezesha mizigo inayosafirishwa kwenda Rwanda kufika mapema zaidi kuliko ilivyokuwa miaka michache iliyopita.

 

10 years ago

Habarileo

Lungu, Kikwete kujadili Tazara

RAIS Jakaya Kikwete ameondoka nchini jana kuelekea Lusaka nchini Zambia kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku mbili kutokana na mwaliko kutoka kwa Rais wa nchi hiyo, Edgar Chagwa Lungu pamoja na kujadili changamoto za reli inayounganisha Tanzania na Zambia (Tazara).

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete ammwagia sifa Rais Kagame kwa kujenga umoja

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete amemsifu kiongozi wa Rwanda, Rais Paul Kagame kwa mafanikio yake makubwa katika kuifanya nchi yake iwe mfano wa kuigwa katika kujenga umoja wa kitaifa pamoja na kupiga hatua kiuchumi na kimaendeleo muda mfupi tu baada ya nchi hiyo kuathirika vibaya kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivyosababisha mauaji ya kimbari.

“Ninampongeza Rais Kagame kwa jitihada zake zenye mafanikio makubwa katika kuijenga upya nchi ya Rwanda na kuweza kutengeneza taifa moja lililoweza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani