Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Paul Kagame vs. Jakaya Kikwete


Paul Kagame vs. Jakaya Kikwete
The Africa Report
A handshake and smiles at Burundi crisis talks. Photo©Stringer Reuters The East African neighbours are starting to rebuild their friendship. Rwanda's President Paul Kagame and Tanzania's President Jakaya Kikwete are slowly and quietly trying to make up ...
Kikwete in 'Goodbye Africa' SpeechAllAfrica.com

all 7

The Africa Report

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kagame amfurahia Jakaya Kikwete

Rais Paul Kagame amemshukuru Rais Jakaya Kikwete kwa kuhudhuria mkutano wa tisa wa nchi zilizoungana kutekeleza Miradi ya Miundombinu Ukanda wa Kaskazini za Northern Corridor Projects uliofanyika jijini Kigali, Rwanda, akisema ni hatua muhimu katika kufungua utekelezaji wa miradi ya miundombinu katika kanda nyingine za EAC.

 

11 years ago

Michuzi

KINANA AKUTANA NA RAIS PAUL KAGAME WA RWANDA MJINI KIGALI

Rais Paul Kagame wa Rwanda akimkaribisha Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana katika mazungumzo yaliyofanyika katika Hoteli ya Serena, Mjini Kigali Rwanda, juzi. 
Picha na Edward J. Mpogolo, 
wa ofisi ya Katibu Mkuu wa CCM

 

9 years ago

MillardAyo

Sababu zaidi ya 3 zinazofanya Rwanda wamkubali Rais Paul Kagame

Rwanda ni nchi ambayo ina watu zaidi ya milioni kumi ambapo moja kati ya sababu zilizofanya Rwanda wamkubali zaidi na hata kumpa kura nyingi za ndio kwenye mchakato wa kubadili utaratibu wa Rais kugombea Mihula zaidi ya miwili. Rais Kagame aliwahi kugawa Ng’ombe kwa Wananchi mbalimbali ili wajikwamue kwenye umasikini, bonyeza play hapa chini kuzipata sababu […]

The post Sababu zaidi ya 3 zinazofanya Rwanda wamkubali Rais Paul Kagame appeared first on TZA_MillardAyo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Rais wa Rwanda Paul Kagame avishutumu vikosi vya Burundi kushambulia DRC

Rais wa Rwanda Paul Kagame amevishutumu vikosi vya Burundi kuendesha mapigano mashariki mawa Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, huku akipinga madai kuwa wanajeshi wa Rwanda wako katika eneo hilo pia.

 

9 years ago

Michuzi

RAIS MAGUFULI AONANA NA MJUMBE MAALUMU WA RAIS PAUL KAGAME WA RWANDA NA MABALOZI WA USWISI NA KUWAIT

Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na balozi wa Kuwait hapa nchini Mhe. Jasem Al Najem Ikulu jijini Dar es salaam leo Disemba 23, 2015.Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akizungumza na Mjumbe Maalum wa Rais Paul Kagame wa Rwanda ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Mhe. Louise Mushikwabo Ikulu jijini Dar es salaam leo Disemba 23, 2015.Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiongea na balozi wa Uswisi hapa nchini Mhe. Florence Tinguely Ikulu jijini Dar es salaam leo...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS JAKAYA KIKWETE NA MAMA SALMA KIKWETE WAMJULIA HALI MBUNGE WA NAMTUMBO MHE VITA KAWAWA ALIYELAZWA HOSPITALI YA AMI JIJINI DAR ES SALAAM

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakimjulia hali Mbunge wa Namtumbo Mhe. Vita Kawawa aliyelazwa katika hospitali ya AMI jijini Dar es salaam Jumatano,  Januari 14, 2015  akipatiwa matibabu ya tumbo. Katikati yao ni Mhe Adam Malima, nai bu Waziri wa Fedha na kushoto ni Daktari katika wodi hiyo.

 

11 years ago

Habarileo

Kikwete, Kagame kujadili matatizo

MARAIS Jakaya Kikwete na Paul Kagame wa Rwanda, wamepanga kukutana mara kwa mara kujadili matatizo yanayoibuka na kuhatarisha amani baina ya nchi hizo. Pia Tanzania imechaguliwa kwa mara ya pili kuwa mjumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN) katika mkutano wa Umoja wa Afrika (AU) jijini Addis Ababa, Ethiopia.

 

10 years ago

Vijimambo

Kagame ammwagia sifa Kikwete

Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Rwanda, Paul Kagame wakiteta jambo wakati wa mkutano uliowakutanisha viongozi wa nchi sita. Picha na Venance Nestory
Dar es Salaam. Rais wa Rwanda, Paul Kagame amemwagia sifa Rais Jakaya Kikwete kwa kuboresha huduma za Bandari ya Dar es Salaam na kuwezesha mizigo inayosafirishwa kwenda Rwanda kufika mapema zaidi kuliko ilivyokuwa miaka michache iliyopita.Akizungumza kwa furaha wakati marais hao walipotembelea kitengo cha kushusha na kupakia mizigo cha TICTS...

 

10 years ago

Habarileo

Kagame, Kenyatta wamsifu Kikwete

Rais wa Rwanda, Paul KagameRAIS wa Rwanda, Paul Kagame amesema hatua ya Mwenyekiti wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Rais Jakaya Kikwete kuhudhuria Mkutano wa Tisa wa Nchi zilizoungana Kutekeleza Miradi ya Miundombinu Ukanda wa Kaskazini ni hatua muhimu katika kufungua utekelezaji wa miradi ya miundombinu katika kanda nyingine za EAC.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani