Paul Kagame vs. Jakaya Kikwete
Paul Kagame vs. Jakaya Kikwete
The Africa Report
A handshake and smiles at Burundi crisis talks. Photo©Stringer Reuters The East African neighbours are starting to rebuild their friendship. Rwanda's President Paul Kagame and Tanzania's President Jakaya Kikwete are slowly and quietly trying to make up ...
Kikwete in 'Goodbye Africa' SpeechAllAfrica.com
all 7
The Africa Report
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Mar
Kagame amfurahia Jakaya Kikwete
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eU7F0ZEACgM/U0YqTvDRcoI/AAAAAAACehU/iCIbfdBM4LA/s72-c/Attachment-1.jpeg)
KINANA AKUTANA NA RAIS PAUL KAGAME WA RWANDA MJINI KIGALI
![](http://1.bp.blogspot.com/-eU7F0ZEACgM/U0YqTvDRcoI/AAAAAAACehU/iCIbfdBM4LA/s1600/Attachment-1.jpeg)
Picha na Edward J. Mpogolo,
wa ofisi ya Katibu Mkuu wa CCM
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Sababu zaidi ya 3 zinazofanya Rwanda wamkubali Rais Paul Kagame
Rwanda ni nchi ambayo ina watu zaidi ya milioni kumi ambapo moja kati ya sababu zilizofanya Rwanda wamkubali zaidi na hata kumpa kura nyingi za ndio kwenye mchakato wa kubadili utaratibu wa Rais kugombea Mihula zaidi ya miwili. Rais Kagame aliwahi kugawa Ng’ombe kwa Wananchi mbalimbali ili wajikwamue kwenye umasikini, bonyeza play hapa chini kuzipata sababu […]
The post Sababu zaidi ya 3 zinazofanya Rwanda wamkubali Rais Paul Kagame appeared first on TZA_MillardAyo.
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Rais wa Rwanda Paul Kagame avishutumu vikosi vya Burundi kushambulia DRC
9 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI AONANA NA MJUMBE MAALUMU WA RAIS PAUL KAGAME WA RWANDA NA MABALOZI WA USWISI NA KUWAIT
10 years ago
Michuzi15 Jan
RAIS JAKAYA KIKWETE NA MAMA SALMA KIKWETE WAMJULIA HALI MBUNGE WA NAMTUMBO MHE VITA KAWAWA ALIYELAZWA HOSPITALI YA AMI JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://3.bp.blogspot.com/-K7yg0TzVKWA/VLaG7bGGS4I/AAAAAAADL7U/WG_llP0IAnQ/s1600/aa4.jpg)
11 years ago
Habarileo21 Feb
Kikwete, Kagame kujadili matatizo
MARAIS Jakaya Kikwete na Paul Kagame wa Rwanda, wamepanga kukutana mara kwa mara kujadili matatizo yanayoibuka na kuhatarisha amani baina ya nchi hizo. Pia Tanzania imechaguliwa kwa mara ya pili kuwa mjumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN) katika mkutano wa Umoja wa Afrika (AU) jijini Addis Ababa, Ethiopia.
10 years ago
Vijimambo27 Mar
Kagame ammwagia sifa Kikwete
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2667114/highRes/978092/-/maxw/600/-/136rpgrz/-/JK_Kagame.jpg)
Dar es Salaam. Rais wa Rwanda, Paul Kagame amemwagia sifa Rais Jakaya Kikwete kwa kuboresha huduma za Bandari ya Dar es Salaam na kuwezesha mizigo inayosafirishwa kwenda Rwanda kufika mapema zaidi kuliko ilivyokuwa miaka michache iliyopita.Akizungumza kwa furaha wakati marais hao walipotembelea kitengo cha kushusha na kupakia mizigo cha TICTS...
10 years ago
Habarileo09 Mar
Kagame, Kenyatta wamsifu Kikwete
RAIS wa Rwanda, Paul Kagame amesema hatua ya Mwenyekiti wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Rais Jakaya Kikwete kuhudhuria Mkutano wa Tisa wa Nchi zilizoungana Kutekeleza Miradi ya Miundombinu Ukanda wa Kaskazini ni hatua muhimu katika kufungua utekelezaji wa miradi ya miundombinu katika kanda nyingine za EAC.