Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Selfie’ yamrudisha Koffi Olomide kwenye chati, azungumzia ndoto ya kuwa ‘Rais wa Afrika’

11429493_1452487665073871_1410855431_n

Koffie Olomide amerudi tena kwenye chati za muziki barani Afrika tangu aachie wimbo wake mpya, Selfie katikati ya mwezi uliopita.

Kama unasikiliza redio na kutazama TV za Tanzania utakubaliana nasi kuwa wimbo huo ni miongoni mwa nyimbo zinazochezwa zaidi kwa sasa.

Selfie unafanya vizuri katika bara lote la Afrika na nchi za Ulaya zikiwemo Ufaransa, Ubelgiji na Canada na umeweza kuwavutia mashabiki wengi vijana tofauti na nyimbo zake za hivi karibuni.

Mastaa akiwemo Didier Drogba...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Video: Koffi Olomide — Selfie

Video mpya ya mkongwe wa mziki wa Bolingo kutoka Konngo Koffi Olomide, Wimbo ambao unafanya vizuri saivi unaitwa “Selfie” Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Mtanzania

Koffi Olomide kufanya shoo ya Selfie leo Dar

4129894293_e64ddfb827_bNA CHRISTOPHER MSEKENA

WAKATI mwanamuziki mkongwe katika muziki wa dansi anayetokea Congo, Koffi Olomide akitarajiwa kufanya onyesho la nguvu leo usiku, mmiliki na mwanamuziki wa bendi ya Malaika, Christian Bella, amewataka wasanii wawe makini kufuatilia onyesho lake ili wajifunze kitu kutoka kwa mwanamuziki huyo.

Christian Bella alisema wasanii wanatakiwa kuiga na kujifunza namna ya utumbuizaji na siri ya kuendelea kudumu kwenye muziki kwa muda mrefu kwa mkongwe huyo anayetarajiwa kufanya...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Didier Drogba na wenzake wakicheza ‘Selfie’ ya Koffi Olomide

didier-drogba

Wimbo wa msanii mkongwe DR Congo, Koffi Olomide, Selfie unazidi kushika umaarufu kila kukicha na kupendwa na watu wa rika tofauti tofauti duniani.

Didier Drogba ambaye ni mshambuliaji wa klabu ya Montreal Impact ya nchini Canada, ni miongoni mwa watu waliovutiwa na wimbo huo.

Drogba na wenzake walionekana wakicheza wimbo huo katika vyumba vya kubadilishia nguo vya klabu ya Montreal baada ya kumalizika kwa mechi ya ligi ya Marekani ‘MLS’

Wimbo huo upo kwenye albamu mpya ya Koffi Olomide,...

 

9 years ago

Bongo5

Christian Bella kuachia collabo yake na Koffi Olomide kabla Koffi hajatua Bongo

Bella na Koffi

Mwanamuziki mkongwe wa DRC, Koffi Olomide anatarajiwa kuja Tanzania kutumbuiza wiki Ijayo, na hiyo ndio sababu iliyomfanya Christian Bella kupanga kuachia collabo aliyofanya na mkali huyo mapema kabla hajatua Bongo.

Bella na Koffi

Bella ameiambia Bongo5 kuwa wimbo tayari umekamilika na amepanga kuuachia mapema kabla Koffi hajaja ili aweze kutumbuiza naye wimbo huo ambao ni collabo inayosubiriwa kwa hamu na mashabiki wake.

“Ninajipanga wiki hii au next week ndio nitaachia, kwasababu Koffi anakuja Tanzania...

 

9 years ago

MillardAyo

Walichofanya kwenye stage Dar Koffi Olomide, WEUSI, Navy Kenzo, Young D, Belle 9, MwanaFA na wengine

Ni show ambazo zote zimefanyika Escape One Dar es salaam ndani ya wiki tatu zilizopita ambapo staa wa Afrika kutokea Congo DRC Koffi Olomide aliimiliki stage kwa zaidi ya dakika 60, zitazame show zenyewe hapa chini… KOFFI OLOMIDE LIVE IN DAR ES SALAAM… ON STAGE: WEUSI, MAUA, MwanaFA, BLUE, BELLE 9, DIMPOZ, MSAMI NA WENGINE […]

The post Walichofanya kwenye stage Dar Koffi Olomide, WEUSI, Navy Kenzo, Young D, Belle 9, MwanaFA na wengine appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Nilimpotezea koffi olomide

Miongoni mwa wanamuziki wa dansi wanaotamba hivi sasa hapa nchini bila shaka Christian Bella ni mmoja wa wasanii hao.

 

5 years ago

Raia Mwema

Koffi Olomide angefukuzwa Dar?

Koffi Olomide ameingia matatani wiki hii nchini Kenya.

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Dewji Blog

Koffi Olomide kutimiza miaka 58

Koffi_olomide_Abracadabra_album_20111200

Koffi Olomode ni msomi mwenye Shahada aliyeamua kuweka pembeni usomi wake na kupanda jukwaani akiimba na kunengua. Mungu ni mwingi wa rehma iwapo atamfikisha Julai 13, 2014,  Koffi Antonie Olomide atatimiza miaka 58 ya kuzaliwa kwake.

Olomide alizaliwa Julai 13, 1956  katika mji wa Kisangani, uliopo Kaskazini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Koffi mwenye asili ya  Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Sierra Leone. Akiwa amezaliwa na Mama raia wa  Kongo akitokea katika kabila la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani