Walichofanya kwenye stage Dar Koffi Olomide, WEUSI, Navy Kenzo, Young D, Belle 9, MwanaFA na wengine
Ni show ambazo zote zimefanyika Escape One Dar es salaam ndani ya wiki tatu zilizopita ambapo staa wa Afrika kutokea Congo DRC Koffi Olomide aliimiliki stage kwa zaidi ya dakika 60, zitazame show zenyewe hapa chini… KOFFI OLOMIDE LIVE IN DAR ES SALAAM… ON STAGE: WEUSI, MAUA, MwanaFA, BLUE, BELLE 9, DIMPOZ, MSAMI NA WENGINE […]
The post Walichofanya kwenye stage Dar Koffi Olomide, WEUSI, Navy Kenzo, Young D, Belle 9, MwanaFA na wengine appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo16 Dec
ON STAGE After School Bash: Tazama walichokifanya Navy Kenzo, Jux, Baraka, Young D, Mirror, Ruby na wengine
Ni kutoka kwenye After Skul Bash December 12 2015 Escape One Mikocheni Dar es salaam ambapo mastaa kibao wa muziki Tanzania walitokezea kwenye stage wakiwemo Navy Kenzo, Jux, Ruby, Baraka da Prince, Young D na wengine watazame kwenye hii video hapa chini. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na […]
The post ON STAGE After School Bash: Tazama walichokifanya Navy Kenzo, Jux, Baraka, Young D, Mirror, Ruby na wengine appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
TheCitizen11 Dec
Koffi Olomide owned the stage in Dar
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Tazama video ya Koffi Olomide on stage Dar es salaam akitumbuiza ‘selfie’ na nyingine
Video ya show yake ilishapanda kwenye channel ya millardayo Youtube lakini kukatokea tatizo kidogo, hii ni mpya nimeiweka saa kadhaa zilizopita kama hukuiona, full video ndio hii hapa chini. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio […]
The post Tazama video ya Koffi Olomide on stage Dar es salaam akitumbuiza ‘selfie’ na nyingine appeared first on...
9 years ago
MillardAyo16 Dec
ON STAGE: WEUSI, Maua, FA, AY, Blue, Belle 9, Dimpoz na Msami kwenye After School Bash 2015 (video)
Ni kutoka kwenye tamasha ‘After Skul Bash’ lililoandaliwa na XXL ya CloudsFM December 12 2015 Escape One Mikocheni Dar es salaam ambapo wakali wengi wa bongofleva walitokea kuonyesha uwezo wao kwenye jukwaa bonyeza play kwenye hii video ujionee.. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda […]
The post ON STAGE: WEUSI, Maua, FA, AY, Blue, Belle 9, Dimpoz na Msami kwenye After School Bash 2015 (video) appeared first on...
9 years ago
Bongo505 Oct
Umoja uliopo kati ya Weusi, Navy Kenzo, Vanessa na Jux haukupangwa — Nahreel
10 years ago
Bongo531 Mar
New Music: Navy Kenzo Ft Young Dee — Viza
5 years ago
Raia Mwema12 Mar
9 years ago
Bongo501 Dec
Christian Bella kuachia collabo yake na Koffi Olomide kabla Koffi hajatua Bongo
![Bella na Koffi](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Bella-na-Koffi-300x194.jpg)
Mwanamuziki mkongwe wa DRC, Koffi Olomide anatarajiwa kuja Tanzania kutumbuiza wiki Ijayo, na hiyo ndio sababu iliyomfanya Christian Bella kupanga kuachia collabo aliyofanya na mkali huyo mapema kabla hajatua Bongo.
Bella ameiambia Bongo5 kuwa wimbo tayari umekamilika na amepanga kuuachia mapema kabla Koffi hajaja ili aweze kutumbuiza naye wimbo huo ambao ni collabo inayosubiriwa kwa hamu na mashabiki wake.
“Ninajipanga wiki hii au next week ndio nitaachia, kwasababu Koffi anakuja Tanzania...
9 years ago
Bongo511 Nov
‘Selfie’ yamrudisha Koffi Olomide kwenye chati, azungumzia ndoto ya kuwa ‘Rais wa Afrika’
![11429493_1452487665073871_1410855431_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11429493_1452487665073871_1410855431_n-300x194.jpg)
Koffie Olomide amerudi tena kwenye chati za muziki barani Afrika tangu aachie wimbo wake mpya, Selfie katikati ya mwezi uliopita.
Kama unasikiliza redio na kutazama TV za Tanzania utakubaliana nasi kuwa wimbo huo ni miongoni mwa nyimbo zinazochezwa zaidi kwa sasa.
Selfie unafanya vizuri katika bara lote la Afrika na nchi za Ulaya zikiwemo Ufaransa, Ubelgiji na Canada na umeweza kuwavutia mashabiki wengi vijana tofauti na nyimbo zake za hivi karibuni.
Mastaa akiwemo Didier Drogba...