Koffi Olomide angefukuzwa Dar?
Koffi Olomide ameingia matatani wiki hii nchini Kenya.
Mwandishi Wetu
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo501 Dec
Christian Bella kuachia collabo yake na Koffi Olomide kabla Koffi hajatua Bongo
![Bella na Koffi](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Bella-na-Koffi-300x194.jpg)
Mwanamuziki mkongwe wa DRC, Koffi Olomide anatarajiwa kuja Tanzania kutumbuiza wiki Ijayo, na hiyo ndio sababu iliyomfanya Christian Bella kupanga kuachia collabo aliyofanya na mkali huyo mapema kabla hajatua Bongo.
Bella ameiambia Bongo5 kuwa wimbo tayari umekamilika na amepanga kuuachia mapema kabla Koffi hajaja ili aweze kutumbuiza naye wimbo huo ambao ni collabo inayosubiriwa kwa hamu na mashabiki wake.
“Ninajipanga wiki hii au next week ndio nitaachia, kwasababu Koffi anakuja Tanzania...
9 years ago
TheCitizen11 Dec
Koffi Olomide owned the stage in Dar
9 years ago
Mtanzania08 Dec
Koffi Olomide kufanya shoo ya Selfie leo Dar
NA CHRISTOPHER MSEKENA
WAKATI mwanamuziki mkongwe katika muziki wa dansi anayetokea Congo, Koffi Olomide akitarajiwa kufanya onyesho la nguvu leo usiku, mmiliki na mwanamuziki wa bendi ya Malaika, Christian Bella, amewataka wasanii wawe makini kufuatilia onyesho lake ili wajifunze kitu kutoka kwa mwanamuziki huyo.
Christian Bella alisema wasanii wanatakiwa kuiga na kujifunza namna ya utumbuizaji na siri ya kuendelea kudumu kwenye muziki kwa muda mrefu kwa mkongwe huyo anayetarajiwa kufanya...
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Tazama video ya Koffi Olomide on stage Dar es salaam akitumbuiza ‘selfie’ na nyingine
Video ya show yake ilishapanda kwenye channel ya millardayo Youtube lakini kukatokea tatizo kidogo, hii ni mpya nimeiweka saa kadhaa zilizopita kama hukuiona, full video ndio hii hapa chini. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio […]
The post Tazama video ya Koffi Olomide on stage Dar es salaam akitumbuiza ‘selfie’ na nyingine appeared first on...
9 years ago
MillardAyo20 Dec
Walichofanya kwenye stage Dar Koffi Olomide, WEUSI, Navy Kenzo, Young D, Belle 9, MwanaFA na wengine
Ni show ambazo zote zimefanyika Escape One Dar es salaam ndani ya wiki tatu zilizopita ambapo staa wa Afrika kutokea Congo DRC Koffi Olomide aliimiliki stage kwa zaidi ya dakika 60, zitazame show zenyewe hapa chini… KOFFI OLOMIDE LIVE IN DAR ES SALAAM… ON STAGE: WEUSI, MAUA, MwanaFA, BLUE, BELLE 9, DIMPOZ, MSAMI NA WENGINE […]
The post Walichofanya kwenye stage Dar Koffi Olomide, WEUSI, Navy Kenzo, Young D, Belle 9, MwanaFA na wengine appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Mwananchi24 Aug
Nilimpotezea koffi olomide
11 years ago
Dewji Blog05 Jul
Koffi Olomide kutimiza miaka 58
Koffi Olomode ni msomi mwenye Shahada aliyeamua kuweka pembeni usomi wake na kupanda jukwaani akiimba na kunengua. Mungu ni mwingi wa rehma iwapo atamfikisha Julai 13, 2014, Koffi Antonie Olomide atatimiza miaka 58 ya kuzaliwa kwake.
Olomide alizaliwa Julai 13, 1956 katika mji wa Kisangani, uliopo Kaskazini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Koffi mwenye asili ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Sierra Leone. Akiwa amezaliwa na Mama raia wa Kongo akitokea katika kabila la...
9 years ago
Bongo529 Oct
Video: Koffi Olomide — Selfie
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ldPIfFy3ff1i6t9o0uGh8wf*q7ytz9lUn1GImE9eNZJ9LI-d4l-g7BngU8gboAkSFSv2AZjO8Du3STX9MTIOkmUzvna9RwHt/Koffi_olomide_Abracadabra_album_20111200.jpg?width=650)
KOFFI OLOMIDE, NG’OMBE ASIYEZEEKA MAINI