Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wezi wamliza Kopunovic hotelini

Kocha Mkuu wa Simba, Goran Kopunovic. Daudi Julian, Morogoro na Hans Mloli, Dar
KOCHA Mkuu wa Simba, Goran Kopunovic, ameingizwa mjini baada ya kuibiwa kiasi cha dola 300 (Sh 510,000) pamoja na fedha za Kitanzania ambazo hazikufahamika ni kiasi gani akiwa katika hoteli yenye hadhi kubwa mkoani Morogoro. Kocha huyo amekumbwa na tukio hilo alipokuwa mkoani humo wakati timu yake ilipokuwa mkoani humo maalum kwa ajili ya mechi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo Movies

INASIKITISHA...!!! Wezi wamliza florah mvungi. Hichi ndicho walichomfanyia. tazama hapa

 

Mwanadada Florah Mvungi amekumbwa na dhahama ya aina yake baada ya wezi ambao hawajapatikana mpaka sasa kuvunja kioo cha gari yake na kumuibia laptop yake na flash yake iliyokuwa na wimbo mpya wa mumewe H-Baba na kisha kuamua kuuvujisha wimbo huo kama alivyoelezea mwanadada huyo akionesha picha ya gari yake hiyo ilivyunjwa kioo hapo juu.

 

‘’…My car jamani ndo kwanza ina about a month since iingie mume wangu katoka nayo wamevunja wameiba laptop yake.flash yenye nyumbo zake yaani these...

 

10 years ago

Mwananchi

Unyanyasaji wa kijinsia “Tuwatume wezi wawakamate wezi wenzao”

Kuna usemi wa wahenga usemao “mchawi mpe mwana alee”. Usemi huu una maana kwamba ili umbane na mtu unayehisi ni adui yako, kuwa naye karibu.

 

11 years ago

Dewji Blog

WAZIRI Muhongo amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo kulipwa fidia ni wezi sawa na wezi wa maofisini wa mali za Umma

DSC07688

Mbunge wa jimbo la Iramba Magharibi na Naibu Waziri wa Fedha, Mh. Mwingulu Nchemba, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kaselya wilaya ya Iramba.Wa kwanza kulia ni Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo na wa pili kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Iramba Yahaya Nawanda.

Na.Nathaniel Limu-Singida

WAZIRI  wa NIishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (MB), amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo ili waweze kulipwa fidia wakati hawastahili, ni wezi sawa na...

 

9 years ago

Mtanzania

Vibaka wamliza Harmonize

harmonizeNA MWANDISHI WETU

MSANII kutoka lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Rajabu Abdulkhali ‘Harmonize’, amewashukuru wakazi wa Tanga kwa kujitokeza kwa wingi kwenye onyesho lake la kwanza alilolifanya mkoani humo siku ya Krismasi licha ya watu wasiofahamika kumuibia vitu vya thamani.

Akizungumzia onyesho hilo, Harmonize alisema hakutarajia kupata mapokezi makubwa kama aliyoyapata, lakini anasikitika baadhi ya mashabiki wasio waaminifu waliweza kumuibia cheni na saa.

“Baada ya onyesho nilishuka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanasiasa wamliza mkurugenzi Rorya

HALMASHAURI ya Wilaya ya Rorya imewalalamikia baadhi ya viongozi wa kisiasa wilayani humo wanaokwamisha jitihada za kukusanya mapato. Hayo yalisemwa juzi na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Rorya, Ephraem...

 

10 years ago

Mwananchi

Wimbo wa Komba wamliza Kikwete

Wimbo wa John Komba aliouimba katika msiba wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere mwaka 1999, jana uliibua majonzi na kusababisha viongozi mbalimbali, akiwamo Rais Jakaya Kikwete, kutoa machozi ulipoimbwa kumuaga mbunge huyo.

 

10 years ago

GPL

VIBAKA WAMLIZA TUNDA MAN

Issa Mnally
VIBAKA ambao hawakufahamika mara moja mwishoni mwa wiki iliyopita, walivunja kioo kidogo cha gari la nyota wa Bongo Fleva, Khalid Ramadhan ‘Tunda Man’ na kumkomba vitu mbalimbali vikiwemo power window, kompyuta mpakato na fedha katika tukio lililotokea Kigamboni, jijini Dar es Salaam. Nyota wa Bongo Fleva, Khalid Ramadhan ‘Tunda Man’. Katika usiku ambao msanii huyo ilikuwa apande na...

 

10 years ago

Mwananchi

Ngassa, Samata wamliza kocha Malawi

Kocha wa timu ya Taifa ya Malawi, Chimozi Yangi amesema Tanzania ina wachezaji wawili hatari na ndiyo waliowasumbua katika pambano hilo na kutamka wazi kuwa Mbwana Samata na Mrisho Ngassa ndiyo waliofanya pambano hilo kuwa gumu kwao haswa kipindi cha pili.

 

10 years ago

GPL

BONGO MOVIE WAMLIZA MAMA LORAA!

Na Imelda Mtema
Baadhi ya mastaa wa tasnia ya sinema za Kibongo wanaounda Klabu ya Bongo Movie, wamemliza laivu mlezi wao ambaye amekuwa akiwasapoti kwa hali na mali, Catherine Ambakisye ‘Mama Loraa’ baada ya kumuangushia bonge la pati la kushtukiza (suprise) ambalo hakulitarajia. Catherine Ambakisye ‘Mama Loraa’. Wahusika hao walimfanyia Mama Loraa pati hiyo hivi karibuni kwenye Ukumbi wa Baloko...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani