Wimbo wa Komba wamliza Kikwete
Wimbo wa John Komba aliouimba katika msiba wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere mwaka 1999, jana uliibua majonzi na kusababisha viongozi mbalimbali, akiwamo Rais Jakaya Kikwete, kutoa machozi ulipoimbwa kumuaga mbunge huyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania01 Sep
Wimbo wa Daniels wamliza Simon Cowell
MKURUGENZI wa shindano la X Factor, Simon Cowell, juzi alijikuta akidondosha chozi kutokana na wimbo ulioimbwa na mmoja wa washiriki katika shindano hilo, Josh Daniels.
Wimbo huo aliuimba kwa hisia kubwa akielezea kifo cha rafiki yake wa karibu aliyepoteza maisha yake huku akiwa na umri wa miaka 18.
Julai 5 mwaka huu, mkurugenzi huyo alimpoteza mama yake kipenzi, Julie Brett, aliyefariki akiwa na umri wa miaka 89, kutokana na kumbukumbu ya kifo cha mama yake, Cowell alijikuta akidondosha...
10 years ago
Michuzi01 Mar
10 years ago
Habarileo04 Mar
Mazishi ya Komba yamliza Kikwete
Rais Jakaya Kikwete jana alishindwa kujizuia kutoa machozi, wakati mwili wa mbunge Mbinga Magharibi wilaya ya Nyasa mkoa wa Ruvuma, Kapteni John Komba wakati ukishushwa kaburini kwenye mazishi yaliyofanyika kijijini kwake Lituhi, jana.
10 years ago
VijimamboRais Kikwete aongoza mazishi ya Kapteni Komba
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/SFZzv1I3PRI/default.jpg)
RAIS KIKWETE AIFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU JOHN KOMBA
10 years ago
MichuziRais Kikwete aongoza mazishi ya Kapteni Komba,kijijini lituhi leo
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-sBp_NkAub7s/VPNJodO9EPI/AAAAAAADbOQ/yGdIEwytG2U/s72-c/ko01.jpg)
RAIS KIKWETE AFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU KEPTENI JOHN KOMBA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-sBp_NkAub7s/VPNJodO9EPI/AAAAAAADbOQ/yGdIEwytG2U/s1600/ko01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wqpSsbr7ZUE/VPNJoSG-ZDI/AAAAAAADbOU/yuY42-jeg-c/s1600/ko2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Mar
Rais Kikwete aungana na mamia ya waombolezaji kumzika Kepteni Komba kijijini Lituhi
Askofu wa Kanisa Katoliki jimbo la Mbinga Mhashamu John Ndimbo akiongoza ibada ya mazishi ya aliyekuwa mbunge wa Mbinga Magharibi marehemu Kapteni John Damiano Komba wakati wa ibada ya mazishi yake yaliyofanyika kijijini kwake Lituhi wilayani Nyasa Mkoani Ruvuma jana.(picha na Freddy Maro).
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiweka udongo katika kaburi la aliyekuwa mbunge wa Mbinga Magharibi marehemu Kapteni John Damiano Komba wakati wa ibada ya mazishi yake...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CupcltNCSMc/VPRGBpwuwjI/AAAAAAAHG9Q/5rvQhqtSRWA/s72-c/unnamed%2B(72).jpg)
Rais Kikwete aongoza maelfu ya waombolezaji kuaga mwili wa Kapteni John Komba
![](http://2.bp.blogspot.com/-CupcltNCSMc/VPRGBpwuwjI/AAAAAAAHG9Q/5rvQhqtSRWA/s1600/unnamed%2B(72).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XbytSok9hO4/VPRGBq1EH7I/AAAAAAAHG9U/tjP3GLogk00/s1600/unnamed%2B(73).jpg)