Wanasiasa wamliza mkurugenzi Rorya
HALMASHAURI ya Wilaya ya Rorya imewalalamikia baadhi ya viongozi wa kisiasa wilayani humo wanaokwamisha jitihada za kukusanya mapato. Hayo yalisemwa juzi na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Rorya, Ephraem...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV01 Oct
IGP Mangu awatahadharisha wanasiasa Tarime, Rorya
Mkuu wa jeshi la polisi nchini IGP Ernest Mangu amewataka wagombea na viongozi wa vyama vya siasa katika wilaya ya Tarime na Rorya kuhakikisha wanalinda amani ili viashiria vya uvunjifu wa amani visitokee tena katika majimbo yaliyomo katika wilaya hizo
Kauli hiyo imekuja kufuatia matukio mawili ya vurugu za wanachama na wafuasi wa vyama kupigana na kusababsha kifo cha mtu mmoja na wengine kadha kujeruhiwa kwa siraha za jadi katika jimbo la tarime vijijini
Mangu ameyasema hayo katika...
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Vibaka wamliza Harmonize
NA MWANDISHI WETU
MSANII kutoka lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Rajabu Abdulkhali ‘Harmonize’, amewashukuru wakazi wa Tanga kwa kujitokeza kwa wingi kwenye onyesho lake la kwanza alilolifanya mkoani humo siku ya Krismasi licha ya watu wasiofahamika kumuibia vitu vya thamani.
Akizungumzia onyesho hilo, Harmonize alisema hakutarajia kupata mapokezi makubwa kama aliyoyapata, lakini anasikitika baadhi ya mashabiki wasio waaminifu waliweza kumuibia cheni na saa.
“Baada ya onyesho nilishuka...
10 years ago
Mwananchi03 Mar
Wimbo wa Komba wamliza Kikwete
10 years ago
GPL
VIBAKA WAMLIZA TUNDA MAN
10 years ago
GPL
Wezi wamliza Kopunovic hotelini
10 years ago
Mtanzania01 Sep
Wimbo wa Daniels wamliza Simon Cowell
MKURUGENZI wa shindano la X Factor, Simon Cowell, juzi alijikuta akidondosha chozi kutokana na wimbo ulioimbwa na mmoja wa washiriki katika shindano hilo, Josh Daniels.
Wimbo huo aliuimba kwa hisia kubwa akielezea kifo cha rafiki yake wa karibu aliyepoteza maisha yake huku akiwa na umri wa miaka 18.
Julai 5 mwaka huu, mkurugenzi huyo alimpoteza mama yake kipenzi, Julie Brett, aliyefariki akiwa na umri wa miaka 89, kutokana na kumbukumbu ya kifo cha mama yake, Cowell alijikuta akidondosha...
10 years ago
GPL
BONGO MOVIE WAMLIZA MAMA LORAA!
10 years ago
GPL
MACHANGU ‘WAMLIZA’ DC MAKONDA
10 years ago
Mwananchi31 Mar
Ngassa, Samata wamliza kocha Malawi