IGP Mangu awatahadharisha wanasiasa Tarime, Rorya
Mkuu wa jeshi la polisi nchini IGP Ernest Mangu amewataka wagombea na viongozi wa vyama vya siasa katika wilaya ya Tarime na Rorya kuhakikisha wanalinda amani ili viashiria vya uvunjifu wa amani visitokee tena katika majimbo yaliyomo katika wilaya hizo
Kauli hiyo imekuja kufuatia matukio mawili ya vurugu za wanachama na wafuasi wa vyama kupigana na kusababsha kifo cha mtu mmoja na wengine kadha kujeruhiwa kwa siraha za jadi katika jimbo la tarime vijijini
Mangu ameyasema hayo katika...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziIGP MANGU AHIMIZA UCHAGUZI WA AMANI TARIME.
11 years ago
Mwananchi23 Jul
Waziri Chikawe, IGP Mangu na changamoto za usalama Tarime
11 years ago
Daily News13 Jun
Security improves in Tarime, Rorya districts
Daily News
THE security situation in Tarime and Rorya districts is expected to improve following a high profile security forum held in Tarime town early this week. The gathering was organised by the Tarime/Rorya Regional Special Police Zone Office, as part of fostering ...
9 years ago
Raia Mwema06 Jan
Polisi, madereva wasigana Tarime/Rorya
MVUTANO wa chini chini unafukuta kati ya Jeshi la Polisi na madereva wa magari na pikipiki katika
Christopher Gamaina
11 years ago
Tanzania Daima08 Jan
Wanasiasa wamliza mkurugenzi Rorya
HALMASHAURI ya Wilaya ya Rorya imewalalamikia baadhi ya viongozi wa kisiasa wilayani humo wanaokwamisha jitihada za kukusanya mapato. Hayo yalisemwa juzi na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Rorya, Ephraem...
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
IGP Mangu awafunda Polisi
MAOFISA na askari Polisi nchini wametakiwa kuendelea kufanya kazi kwa kufuata misingi na maadili ya kazi ili kuendelea kutoa huduma bora kwa jamii. Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP)...
10 years ago
IPPmedia18 Jul
Yes, IGP Mangu, police stations must be guarded
IPPmedia
Last Sunday entered the country's books of records, particularly those kept by the Police after unidentified armed bandits stormed Stakishari Police Station in Dar es Salaam Region, killing seven people, including four police officers. Police reports ...
10 years ago
Mtanzania23 Sep
Chadema ngangari, IGP Mangu aonya
![Dk. Wilbrod Slaa](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Willibrod-Slaa.jpg)
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbrod Slaa
NA WAANDISHI WETU, DAR NA MIKOANI
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kuwa ngangari kwa kusisitiza kuwa maandamano yake yako palepale.
Chadema kimesema kuwa watajilinda wenyewe katika mikutano yao kwa sababu wana vijana waliopata mafunzo ya ulinzi na usalama.
Chama hicho jana kilitangaza kuanza kutekeleza maazimio ya mkutano wake mkuu kwa ajili ya kufanya maandamano na migomo isiyo na ukomo nchi nzima.
Wakati Chadema wakisisitiza...
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Makamanda wa Polisi wamzungumzia IGP Mangu