Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IGP Mangu awatahadharisha wanasiasa Tarime, Rorya

Mkuu wa jeshi la polisi nchini IGP Ernest Mangu amewataka wagombea na viongozi wa vyama vya siasa katika wilaya ya Tarime na Rorya kuhakikisha wanalinda amani ili viashiria  vya uvunjifu wa amani visitokee tena katika majimbo yaliyomo katika wilaya hizo

Kauli hiyo imekuja kufuatia matukio mawili  ya vurugu za wanachama na wafuasi wa vyama kupigana na kusababsha kifo cha mtu mmoja na wengine kadha kujeruhiwa kwa siraha  za jadi katika jimbo la tarime vijijini

Mangu ameyasema hayo  katika...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

IGP MANGU AHIMIZA UCHAGUZI WA AMANI TARIME.

 Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Ernest Mangu akisalimiana na Maofisa wa Polisi katika Kanda Maalumu ya Tarime na Rorya jana wakati alipokuwa katika ziara ya kikazi katika mkoa huo wa Kipolisi.Kushoto ni Kamanda wa Polis Kanda Maalumu Tarime na Rorya, Lazaro Mambosasa. Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Ernest Mangu akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Hosteli ya Polisi Kanda Maalumu ya Tarime na Rorya jana wakati alipokuwa katika ziara ya kikazi katika mkoa huo wa Kipolisi. Mkuu wa Jeshi...

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri Chikawe, IGP Mangu na changamoto za usalama Tarime

Kumekuwapo malalamiko mengi baina ya wananchi, wenye migodi wa eneo la Nyamongo wilayani Tarime na askari wa Jeshi la Polisi katika mkoani Mara.

 

11 years ago

Daily News

Security improves in Tarime, Rorya districts


Security improves in Tarime, Rorya districts
Daily News
THE security situation in Tarime and Rorya districts is expected to improve following a high profile security forum held in Tarime town early this week. The gathering was organised by the Tarime/Rorya Regional Special Police Zone Office, as part of fostering ...

 

9 years ago

Raia Mwema

Polisi, madereva wasigana Tarime/Rorya

MVUTANO wa chini chini unafukuta kati ya Jeshi la Polisi na madereva wa magari na pikipiki katika

Christopher Gamaina

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanasiasa wamliza mkurugenzi Rorya

HALMASHAURI ya Wilaya ya Rorya imewalalamikia baadhi ya viongozi wa kisiasa wilayani humo wanaokwamisha jitihada za kukusanya mapato. Hayo yalisemwa juzi na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Rorya, Ephraem...

 

11 years ago

Tanzania Daima

IGP Mangu awafunda Polisi

MAOFISA na askari Polisi nchini wametakiwa kuendelea kufanya kazi kwa kufuata misingi na maadili ya kazi ili kuendelea kutoa huduma bora kwa jamii. Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP)...

 

10 years ago

IPPmedia

Yes, IGP Mangu, police stations must be guarded


Yes, IGP Mangu, police stations must be guarded
IPPmedia
Last Sunday entered the country's books of records, particularly those kept by the Police after unidentified armed bandits stormed Stakishari Police Station in Dar es Salaam Region, killing seven people, including four police officers. Police reports ...

 

10 years ago

Mtanzania

Chadema ngangari, IGP Mangu aonya

Dk. Wilbrod Slaa

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbrod Slaa

NA WAANDISHI WETU, DAR NA MIKOANI

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kuwa ngangari kwa kusisitiza kuwa maandamano yake yako palepale.

Chadema kimesema kuwa watajilinda wenyewe katika mikutano yao kwa sababu wana vijana waliopata mafunzo ya ulinzi na usalama.

Chama hicho jana kilitangaza kuanza kutekeleza maazimio ya mkutano wake mkuu kwa ajili ya kufanya maandamano na migomo isiyo na ukomo nchi nzima.

Wakati Chadema wakisisitiza...

 

11 years ago

Mwananchi

Makamanda wa Polisi wamzungumzia IGP Mangu

Baadhi ya Makamanda wa Polisi wa mikoa mbalimbali nchini, wamepongeza uteuzi wa Mkuu wa Jeshi la Polisi, Ernest Mangu huku wakiahidi kushirikiana naye katika mapambano ya kupunguza kama si kutokomeza kabisa uhalifu nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani