Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi, madereva wasigana Tarime/Rorya

MVUTANO wa chini chini unafukuta kati ya Jeshi la Polisi na madereva wa magari na pikipiki katika

Christopher Gamaina

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Daily News

Security improves in Tarime, Rorya districts


Security improves in Tarime, Rorya districts
Daily News
THE security situation in Tarime and Rorya districts is expected to improve following a high profile security forum held in Tarime town early this week. The gathering was organised by the Tarime/Rorya Regional Special Police Zone Office, as part of fostering ...

 

10 years ago

StarTV

IGP Mangu awatahadharisha wanasiasa Tarime, Rorya

Mkuu wa jeshi la polisi nchini IGP Ernest Mangu amewataka wagombea na viongozi wa vyama vya siasa katika wilaya ya Tarime na Rorya kuhakikisha wanalinda amani ili viashiria  vya uvunjifu wa amani visitokee tena katika majimbo yaliyomo katika wilaya hizo

Kauli hiyo imekuja kufuatia matukio mawili  ya vurugu za wanachama na wafuasi wa vyama kupigana na kusababsha kifo cha mtu mmoja na wengine kadha kujeruhiwa kwa siraha  za jadi katika jimbo la tarime vijijini

Mangu ameyasema hayo  katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi Tarime yaua jambazi

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Tarime na Rorya, Mkoa wa Mara, limemuua kwa kumpiga risasi jambazi mmoja na wengine watatu kunusurika katika tukio la kurushiana risasi katika Kitongoji cha...

 

11 years ago

Michuzi

Mtuhumiwa aliyesakwa na Polisi kwa mauaji ya watu wanane Tarime akamatwa Tanga


Jambazi kuu anayetuhumiwa kujihusisha na matukio ya mauaji na unyanganyi wa kutumia silaha yaliyo tokea Wilayani Tarime kuanzia 26 hadi 28.01.2014 amekamatwa na jeshi la polisi jioni ya Tarehe 06.02.2014 mkoani Tanga. 
Akisimulia kukamatwa kwa jambazi huyo Kamanda wa mkoa wa kipolisi Tarime/Rorya Justus Kamugisha amesema kuwa mtuhumiwa huyo alikamatwa jioni ya Tarehe 06.02.2014 majira ya saa 1.30 na katika mahojiano ya awali ya jeshi la polisi mtuhumiwa huyo alikiri kuhusika na matukio ya...

 

10 years ago

Mtanzania

Sitta, Bodi wasigana kuhusu mkurugenzi mpya ATCL

Pg 3Na Michael Sarungi, Dar es Salaam
WAZIRI wa Uchukuzi, Samweli Sitta na Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) wametofautiana kauli kuhusu atakayebeba mikoba ya Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa shirika hilo, Kapteni Lazaro Militon ambaye amestaafu kwa mujibu wa sheria, Februari mosi mwaka huu.
Tofauti hizo zilibainika jana baada ya Waziri Sitta kuliambia MTANZANIA kuwa hana taarifa za uteuzi wa Kaimu Mkurugenzi mpya wa ATCL, Jonson Mfinanga, huku Bodi ya shirika hilo ikitoa...

 

11 years ago

Habarileo

Makosa ya madereva yawaingizia polisi bil.1.5/-

JESHI la Polisi limefanikiwa kukusanya kiasi cha Sh 1,502,340,000 mwaka 2013, kutokana na makosa mbalimbali yakiwemo ya usalama barabarani, ukilinganisha na Sh 1,103,220,000 kwa mwaka 2012.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Haki za Madereva, Abiria na Polisi Barabarani — 3

Katika mfululizo wa uhakiki huu wa kitabu cha Haki za Madereva, Abiria na Polisi Barabarani kilichotungwa na Al-Muswadiku Chamani, tumeangalia utangulizi, mazingira yanayokizunguka kitabu na muhtasari wa kitabu. Sasa endelea…...

 

11 years ago

Michuzi

dc makete awakutanisha polisi na madereva bodaboda

21 Na Edwin Moshi, Makete Kutokana na ukosefu wa elimu ya sheria barabarani miongoni mwa madereva bodaboda wilayani Makete mkoani Njombe kunakopelekea madereva hao kukamatwa na askari wa usalama barabarani mara kwa mara, mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro amefanya kikao na waendesha bodaboda hao Katika kikao hicho kilichofanyika kwenye ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya Makete, waendesha bodaboda hao walipata fursa ya kutoa kero zao na kuuliza maswali ambayo yalikuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi wawahakishia ulinzi madereva, abiria Nzega

Polisi mkoani, Tabora wamewahakikishia ulinzi na usalama wa kutosha madereva na abiria wote wa magari yatakayotumia Barabara Kuu ya Dar es Salaam-Mwanza kupitia Igunga na Nzega.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani