Polisi, madereva wasigana Tarime/Rorya
MVUTANO wa chini chini unafukuta kati ya Jeshi la Polisi na madereva wa magari na pikipiki katika
Christopher Gamaina
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
11 years ago
Daily News13 Jun
Security improves in Tarime, Rorya districts
Daily News
THE security situation in Tarime and Rorya districts is expected to improve following a high profile security forum held in Tarime town early this week. The gathering was organised by the Tarime/Rorya Regional Special Police Zone Office, as part of fostering ...
10 years ago
StarTV01 Oct
IGP Mangu awatahadharisha wanasiasa Tarime, Rorya
Mkuu wa jeshi la polisi nchini IGP Ernest Mangu amewataka wagombea na viongozi wa vyama vya siasa katika wilaya ya Tarime na Rorya kuhakikisha wanalinda amani ili viashiria vya uvunjifu wa amani visitokee tena katika majimbo yaliyomo katika wilaya hizo
Kauli hiyo imekuja kufuatia matukio mawili ya vurugu za wanachama na wafuasi wa vyama kupigana na kusababsha kifo cha mtu mmoja na wengine kadha kujeruhiwa kwa siraha za jadi katika jimbo la tarime vijijini
Mangu ameyasema hayo katika...
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
Polisi Tarime yaua jambazi
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Tarime na Rorya, Mkoa wa Mara, limemuua kwa kumpiga risasi jambazi mmoja na wengine watatu kunusurika katika tukio la kurushiana risasi katika Kitongoji cha...
11 years ago
Michuzi09 Feb
Mtuhumiwa aliyesakwa na Polisi kwa mauaji ya watu wanane Tarime akamatwa Tanga
Jambazi kuu anayetuhumiwa kujihusisha na matukio ya mauaji na unyanganyi wa kutumia silaha yaliyo tokea Wilayani Tarime kuanzia 26 hadi 28.01.2014 amekamatwa na jeshi la polisi jioni ya Tarehe 06.02.2014 mkoani Tanga.
Akisimulia kukamatwa kwa jambazi huyo Kamanda wa mkoa wa kipolisi Tarime/Rorya Justus Kamugisha amesema kuwa mtuhumiwa huyo alikamatwa jioni ya Tarehe 06.02.2014 majira ya saa 1.30 na katika mahojiano ya awali ya jeshi la polisi mtuhumiwa huyo alikiri kuhusika na matukio ya...
10 years ago
Mtanzania18 Feb
Sitta, Bodi wasigana kuhusu mkurugenzi mpya ATCL
Na Michael Sarungi, Dar es Salaam
WAZIRI wa Uchukuzi, Samweli Sitta na Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) wametofautiana kauli kuhusu atakayebeba mikoba ya Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa shirika hilo, Kapteni Lazaro Militon ambaye amestaafu kwa mujibu wa sheria, Februari mosi mwaka huu.
Tofauti hizo zilibainika jana baada ya Waziri Sitta kuliambia MTANZANIA kuwa hana taarifa za uteuzi wa Kaimu Mkurugenzi mpya wa ATCL, Jonson Mfinanga, huku Bodi ya shirika hilo ikitoa...
11 years ago
Habarileo17 Jan
Makosa ya madereva yawaingizia polisi bil.1.5/-
JESHI la Polisi limefanikiwa kukusanya kiasi cha Sh 1,502,340,000 mwaka 2013, kutokana na makosa mbalimbali yakiwemo ya usalama barabarani, ukilinganisha na Sh 1,103,220,000 kwa mwaka 2012.
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Haki za Madereva, Abiria na Polisi Barabarani — 3
Katika mfululizo wa uhakiki huu wa kitabu cha Haki za Madereva, Abiria na Polisi Barabarani kilichotungwa na Al-Muswadiku Chamani, tumeangalia utangulizi, mazingira yanayokizunguka kitabu na muhtasari wa kitabu. Sasa endelea…...
11 years ago
Michuzi07 Feb
dc makete awakutanisha polisi na madereva bodaboda

11 years ago
Mwananchi28 Jan
Polisi wawahakishia ulinzi madereva, abiria Nzega