Sitta, Bodi wasigana kuhusu mkurugenzi mpya ATCL
Na Michael Sarungi, Dar es Salaam
WAZIRI wa Uchukuzi, Samweli Sitta na Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) wametofautiana kauli kuhusu atakayebeba mikoba ya Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa shirika hilo, Kapteni Lazaro Militon ambaye amestaafu kwa mujibu wa sheria, Februari mosi mwaka huu.
Tofauti hizo zilibainika jana baada ya Waziri Sitta kuliambia MTANZANIA kuwa hana taarifa za uteuzi wa Kaimu Mkurugenzi mpya wa ATCL, Jonson Mfinanga, huku Bodi ya shirika hilo ikitoa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo03 Jun
Sitta avunja Bodi ya Bandari, ateua mpya
WAZIRI wa Uchukuzi, Samuel Sitta amefuta uteuzi wa wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Nchini (TPA) kuanzia jana na kuteua wajumbe wengine wapya nane wanaounda bodi hiyo.
10 years ago
Habarileo01 Feb
Sitta akiri uzembe katika deni ATCL
WAZIRI wa Uchukuzi, Samuel Sitta amesema katika kuangalia deni la Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), inaonesha kuwapo uzembe unaokaribiana na hujuma.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dpX65ETFavs/XsPZIx8j3EI/AAAAAAALqxw/sY3UHZrlbNEn6bRT7WXEO_0WIDwGcTx_wCLcBGAsYHQ/s72-c/aa7bc790-84a2-4b57-8af0-c85ba5a834f6.jpg)
MKUCHIKA AZINDUA BODI YA USHAURI YA WAKALA YA NDEGE ZA SERIKALI NA KUITAKA IHAKIKISHE ATCL INAKUWA IMARA KIUSHINDANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-dpX65ETFavs/XsPZIx8j3EI/AAAAAAALqxw/sY3UHZrlbNEn6bRT7WXEO_0WIDwGcTx_wCLcBGAsYHQ/s640/aa7bc790-84a2-4b57-8af0-c85ba5a834f6.jpg)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt. (Mst) Mhe. George H. Mkuchika (Mb) akizungumza na Wajumbe wa Bodi ya Wakala ya Ndege za Serikali (hawapo pichani) mara baada ya kuzindua Bodi hiyo mapema leo Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/f42f074f-4a99-4b76-bfcb-84f9509cdb14.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima29 Mar
Ndege ‘mpya’ ATCL majanga
SIKU chache baada ya Shirika la Ndege Air Tanzania (ATCL), kujinadi kwamba limenunua ndege mpya aina ya CRJ 200, imebainika kwamba ndege hiyo ni chakavu na ni mzigo kwa taifa...
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
ATCL yapata ndege mpya
SHIRIKA la Ndege la Tanzania (ATCL) limepata ndege nyingine aina ya CRJ-200 ya nchini Canada yenye uwezo wa kubeba abiria 50, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mkakati wake wa...
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Mkurugenzi Bodi ya Utalii nchini avuliwa madaraka
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rmXYUUaLByI/XmK6Osgf1GI/AAAAAAALhp4/PcsnuZsbCCUtykIntqWcnlyMvR4sZVRUACLcBGAsYHQ/s72-c/20ea8236-4b99-4398-b111-c7c37781d7e7.jpg)
MAJALIWA: MKURUGENZI WA BODI YA MKONGE ARUDISHWE ALIKOTOKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-rmXYUUaLByI/XmK6Osgf1GI/AAAAAAALhp4/PcsnuZsbCCUtykIntqWcnlyMvR4sZVRUACLcBGAsYHQ/s640/20ea8236-4b99-4398-b111-c7c37781d7e7.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2acf0bde-d15e-4867-92de-4581870ca5bf.jpg)
10 years ago
Mwananchi10 Mar
Kamati ya Zitto yataka ATCL mpya kuundwa
11 years ago
Tanzania Daima05 Apr
Wacheza dili wa ndege ‘mpya’ ATCL hawa hapa
VIGOGO wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), waliofanya dili la kukodisha ndege chakavu aina ya CRJ 200 na kutangaza kwamba wameinunua, wamebainika. Vigogo hao wamebainika katika mwendelezo wa uchunguzi uliofanywa...