Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ngassa, Samata wamliza kocha Malawi

Kocha wa timu ya Taifa ya Malawi, Chimozi Yangi amesema Tanzania ina wachezaji wawili hatari na ndiyo waliowasumbua katika pambano hilo na kutamka wazi kuwa Mbwana Samata na Mrisho Ngassa ndiyo waliofanya pambano hilo kuwa gumu kwao haswa kipindi cha pili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Samata, Ngassa, Uhuru wachemsha

Haikuwa wiki nzuri kwa washambuliaji kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samata, Mrisho Ngassa na Uhuru Selemani baada ya klabu zao kupoteza katika michezo yao.

 

9 years ago

Mwananchi

Samata atuma salamu Malawi

Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samata aimeitumia salamu Malawi baada ya kufunga mabao mawili na kuiongoza TP Mazembe kuichapa Al-Merreikh 3-0 na kufuzu fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

 

9 years ago

Mwananchi

Kocha Malawi akiri woga chanzo cha kipigo

Kocha msaidizi wa Malawi ‘The Flames’, Ramadhani Nsanzumo amesema uoga wa wachezaji wake ulisababisha wakapata kipigo kutoka kwa Taifa Stars, lakini wanawasubiri nyumbani kwani kuna silaha hatari waliziweka kando kwa ajili ya kuzitumia katika mchezo wa marudiano.

 

9 years ago

Mtanzania

Vibaka wamliza Harmonize

harmonizeNA MWANDISHI WETU

MSANII kutoka lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Rajabu Abdulkhali ‘Harmonize’, amewashukuru wakazi wa Tanga kwa kujitokeza kwa wingi kwenye onyesho lake la kwanza alilolifanya mkoani humo siku ya Krismasi licha ya watu wasiofahamika kumuibia vitu vya thamani.

Akizungumzia onyesho hilo, Harmonize alisema hakutarajia kupata mapokezi makubwa kama aliyoyapata, lakini anasikitika baadhi ya mashabiki wasio waaminifu waliweza kumuibia cheni na saa.

“Baada ya onyesho nilishuka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanasiasa wamliza mkurugenzi Rorya

HALMASHAURI ya Wilaya ya Rorya imewalalamikia baadhi ya viongozi wa kisiasa wilayani humo wanaokwamisha jitihada za kukusanya mapato. Hayo yalisemwa juzi na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Rorya, Ephraem...

 

10 years ago

GPL

Wezi wamliza Kopunovic hotelini

Kocha Mkuu wa Simba, Goran Kopunovic. Daudi Julian, Morogoro na Hans Mloli, Dar
KOCHA Mkuu wa Simba, Goran Kopunovic, ameingizwa mjini baada ya kuibiwa kiasi cha dola 300 (Sh 510,000) pamoja na fedha za Kitanzania ambazo hazikufahamika ni kiasi gani akiwa katika hoteli yenye hadhi kubwa mkoani Morogoro. Kocha huyo amekumbwa na tukio hilo alipokuwa mkoani humo wakati timu yake ilipokuwa mkoani humo maalum kwa ajili ya mechi...

 

10 years ago

GPL

VIBAKA WAMLIZA TUNDA MAN

Issa Mnally
VIBAKA ambao hawakufahamika mara moja mwishoni mwa wiki iliyopita, walivunja kioo kidogo cha gari la nyota wa Bongo Fleva, Khalid Ramadhan ‘Tunda Man’ na kumkomba vitu mbalimbali vikiwemo power window, kompyuta mpakato na fedha katika tukio lililotokea Kigamboni, jijini Dar es Salaam. Nyota wa Bongo Fleva, Khalid Ramadhan ‘Tunda Man’. Katika usiku ambao msanii huyo ilikuwa apande na...

 

10 years ago

Mwananchi

Wimbo wa Komba wamliza Kikwete

Wimbo wa John Komba aliouimba katika msiba wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere mwaka 1999, jana uliibua majonzi na kusababisha viongozi mbalimbali, akiwamo Rais Jakaya Kikwete, kutoa machozi ulipoimbwa kumuaga mbunge huyo.

 

11 years ago

Malawi Today

Deadlock in Malawi and Tanzania on Lake Malawi border mediation talks


Coastweek
Deadlock in Malawi and Tanzania on Lake Malawi border mediation talks
Malawi Today
Mediation talks between Malawi and neighbouring Tanzania on the border dispute over Lake Malawi ended in a deadlock last week. Head of the mediating team, former Mozambican President Joaquim Chissano is quoted by allafrica.com as having publicly ...
Tanzania: After Two Days, No Agreement Over Lake NiassaAllAfrica.com
Dar firm on border claimDaily News
Tanzania, Malawi fail to reach agreement on border...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani