Baba Levo apata ajali akiwa ndani ya basi la AM lililogongana na Coaster
Msanii wa kundi la 2mbili wa Town, Baba Levo amepata ajali baada ya basi la kampuni ya AM Coach alilokuwa amepanda kugongana na Coaster. Kwa mujibu wa Millardayo.com, ajali hiyo imetokea kwenye pori la kijiji cha Uluwila ambapo alikuwa anatokea Tabora kwenda Mpanda. Inadaiwa kuwa dereva wa Coaster alikuwa akikwepa barabara mbovu na hivyo kuhamia […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
AJALI: BASI LAGONGA COASTER TUNDUMA
10 years ago
Bongo501 Dec
David Beckham apata ajali akiwa na mwanae
11 years ago
Michuzi
RAGE APATA AJALI AKIWA NJIANI KUELEKEA DODOMA


10 years ago
GPL
MENINA,BABA LEVO LIVE
11 years ago
GPL
BABA LEVO ADAIWA KUMDUNDA SHEMEJIYE
10 years ago
Bongo528 Oct
Baba Levo apanga kufungua studio Kigoma
10 years ago
Vijimambo
9 years ago
MillardAyo03 Jan
Picha 20 Shilole, Linah, Baba Levo walivyoidondosha burudani Zanzibar
Jan 2 2016 mastaa wa Bongo Shilole, Linah, Baba Levo, Bonge la nyau, Bill Nas na wengine walijumuika Zanzibar na kutoa burudani ya kufungulia mwaka. Hapa nakukutanisha na matukio mbalimbali katika picha kwenye show hiyo. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa […]
The post Picha 20 Shilole, Linah, Baba Levo walivyoidondosha burudani Zanzibar appeared first on...
10 years ago
GPL
TASWIRA ZA AJALI YA COASTER ILIYOGONGANA NA LORI NA KUUA WATU 23 IRINGA