Baba Levo apanga kufungua studio Kigoma
Mshindi wa udiwani katika kata ya Mwanga Kigoma, Baba Levo, amesema baada ya kutangazwa kuwa mshindi anatarajia kuachia wimbo mpya uitwao ‘Baba la Hip Hop’ pamoja na kujenga studio kubwa ya muziki mkoani humo. Baba Levo ameiambia Bongo5 kuwa wananchi wa kata ya Mwanga wamempatia nafasi hiyo wakiwa na imani atasaidia vipaji vya muziki vya […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo524 Jul
Daz Baba apanga kufungua kituo cha mafunzo ya ujasiriamali utokanao na muziki
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-TLmRyEsKEAKWBARjMR-RByB9OlMczM0cAkPSk2-GKq-BbdZdpjBXRZT*ZUhuJEwUPJPkZ8FA8GWIJEwWIsQEpRGG88iIgIk/1.jpg?width=650)
MENINA,BABA LEVO LIVE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mrjGDDFzeeFajNbnD9rjV*ZSLWaja51EsV89H9gvfv1rUEVOI3T8EEvqWwiM3Suqk5-pQXbbIYvZL0bW71PRazXzZrps7rz5/babalevo.jpg)
BABA LEVO ADAIWA KUMDUNDA SHEMEJIYE
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/ezNduQlf_nA/default.jpg)
9 years ago
MillardAyo03 Jan
Picha 20 Shilole, Linah, Baba Levo walivyoidondosha burudani Zanzibar
Jan 2 2016 mastaa wa Bongo Shilole, Linah, Baba Levo, Bonge la nyau, Bill Nas na wengine walijumuika Zanzibar na kutoa burudani ya kufungulia mwaka. Hapa nakukutanisha na matukio mbalimbali katika picha kwenye show hiyo. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa […]
The post Picha 20 Shilole, Linah, Baba Levo walivyoidondosha burudani Zanzibar appeared first on...
10 years ago
Bongo510 Oct
Baba Levo apata ajali akiwa ndani ya basi la AM lililogongana na Coaster
5 years ago
MichuziMwananchi apanga kufungua shauri,Mahakama izuie uchaguzi mwaka huu,fedha zielekezwe kupambana na Corona
Na Amiri kilagalila,Njombe
Mwananchi mmoja anaefahamika kwa jina la Johnson Mgimba mkazi wa Njombe Mjini amesema kutokana na ugonjwa wa covid19 kuendelea kushika kasi nchini na duniani kote , amekusudia kufungua kesi katika mahakama kuu kanda ya Iringa ya kuomba serikali kusitisha mchakato na maandalizi ya uchaguzi mkuuu na fedha iliyotengwa kuelekezwa katika mapambano dhidi ya ugonjwa huo.
Raia huyo ambaye amejibatiza jina la kijana mzalendo amesema kuna kila sababu ya kusitisha uchaguzi...
9 years ago
MillardAyo15 Dec
Utani wa Baba levo kuhusu matatizo ya simu za wasanii Shilole, Nay wa mitego na wengine.
Kutana na Fix za mchekeshaji na msanii Baba Levo, leo kaja na hii ya kufichua matatizo ya simu za mastaa mbalimbali wa Bongo, kazungumzia ya Lanah, Shilole, Nay wa mitego na wengine, bonyeza play kwenye hii video hapa chini usikie fix zake… Baba Levo kuhusu magari ya wasanii yalivyo na tabu Baba Levo akiongelea nyumba ya […]
The post Utani wa Baba levo kuhusu matatizo ya simu za wasanii Shilole, Nay wa mitego na wengine. appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Bongo524 Sep
2mbili wa Town: Kundi jipya la Baba Levo na Peter Msechu litakalotambulishwa hivi karibuni