Daz Baba apanga kufungua kituo cha mafunzo ya ujasiriamali utokanao na muziki
Member wa kundi la Daz Nundaz, Daz Baba anatarajia kuanza kufanya ziara za muziki mikoani ili kukusanya pesa zitazosaidia kuanzisha kituo cha mafunzo ya ujasiriamali utokanao na muziki. Daz ameiambia Bongo5 kuwa tayari ameshapanga kuanza na mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Arusha na Mbeya. “Hii tuor ni kwaajili ya tasisi yangu Tanzania Songambele Daima Organization,” amesema. […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo528 Oct
Baba Levo apanga kufungua studio Kigoma
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Rais Kikwete kufungua kituo cha kisasa cha michezo
9 years ago
Bongo520 Aug
Nahreel kufungua chuo cha muziki ‘TIMS’
9 years ago
Habarileo01 Oct
Kikwete kufungua kituo cha michezo
RAIS Jakaya Kikwete Oktoba 17, atazindua rasmi Kituo cha Michezo cha Kisasa cha Jakaya M. Kikwete Youth Park (JMK Park), Kidongo Chekundu, Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana jijini Dar es Salaam, kituo hicho ni cha kwanza cha aina yake nchini, ambacho kitasaidia kulea wanamichezo tangu wakiwa watoto wadogo.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6Gs7aJwealA/Vl5yubthM-I/AAAAAAAAXeI/sJigzz3rBfU/s72-c/IMG_9840%2B%25281024x683%2529.jpg)
MODEWJI FOUNDATION YASAIDIA UJENZI WA MADARASA KITUO CHA MAFUNZO CHA FURAHINI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-6Gs7aJwealA/Vl5yubthM-I/AAAAAAAAXeI/sJigzz3rBfU/s640/IMG_9840%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-W8H3fgERAmo/Vl5zJNjLCCI/AAAAAAAAXgI/Wqy_Hx-tlHs/s640/IMG_9901%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2Dzcjc5YBsk/Vl5zO53fpBI/AAAAAAAAXgs/os0AqcZ4z48/s640/IMG_9922%2B%25281024x683%2529.jpg)
10 years ago
Mtanzania12 Jun
Daz Baba amkumbuka Mwangwea
NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, David Jacob ‘Daz Baba’, amesema video yake mpya itakayofahamika kama ‘Mzigo Viwanjani’ ni kumbukumbu tosha ya marehemu Albert Mangwea.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Daz baba alisema aliweza kumshirikisha Mangwea katika single ya wimbo huo.
“Tulifanya mambo mengi sana na Mangwea, hivyo video hii imekuwa kumbukumbu kwangu,” alisema Daz Baba.
Alisema video hiyo inafanywa chini ya mtayarishaji Lamar, inatarajiwa kukamilika muda...
9 years ago
Michuzi17 Aug
WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA WANAWAKE KUPITIA VIPODOZI WAHITIMU MAFUNZO
![](https://mmi222.whatsapp.net/d/9WJgOE-N7YHK923-FAHKMFXPPvQ/Aiig3dhTYoKu8N-5HLx_onziXP4sVJ0cEaV3r3I1aG1B.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ky0niSST31c/VP7D0VdeCaI/AAAAAAABnu4/VhnXncfHoEo/s72-c/wat1.jpg)
Wataalamu wa Mafunzo ya Ujasiriamali Wawapatia Mafunzo Wanakijiji wa Kitogani Zanzibar.
![](http://4.bp.blogspot.com/-ky0niSST31c/VP7D0VdeCaI/AAAAAAABnu4/VhnXncfHoEo/s640/wat1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xYKgs_6dvIs/VP7D1OLW5aI/AAAAAAABnvA/8JKL_8rMZxM/s640/wat2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HjcMnEdfVqw/VP7D5xUOQ4I/AAAAAAABnvI/WnNrvKW-O6Y/s640/wat3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 May
Kituo cha redio cha Efm chamkumbuka mwanamuziki Juma Nature kwa mchango wake katika muziki nchini
![](http://1.bp.blogspot.com/-yMTInvMETOk/VUw59V-lecI/AAAAAAAAQCE/vm-0zsAz7sw/s640/DU7C5232.jpg)
Mkuu wa Mawasiliano wa Kituo cha Redio cha EFM, Denis Ssebo (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu tamasha lijulikalo kama Komaa Concert litalofanyika mwishoni mwa mwezi mei kwa ajili ya kuadhimisha miaka 16 ya muziki ya msanii Juma Nature ‘maarufu Kiroboto’ namna ya kuonesha kuthamini mchango wake katika muziki wa bongo fleva na kuwakumbusha watanzania juu ya safari ya muziki wa Tanzania kwa ujumla. Kulia ni mwanamuziki huyo, Juma Nature...