Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Daz Baba apanga kufungua kituo cha mafunzo ya ujasiriamali utokanao na muziki

Member wa kundi la Daz Nundaz, Daz Baba anatarajia kuanza kufanya ziara za muziki mikoani ili kukusanya pesa zitazosaidia kuanzisha kituo cha mafunzo ya ujasiriamali utokanao na muziki. Daz ameiambia Bongo5 kuwa tayari ameshapanga kuanza na mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Arusha na Mbeya. “Hii tuor ni kwaajili ya tasisi yangu Tanzania Songambele Daima Organization,” amesema. […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Baba Levo apanga kufungua studio Kigoma

Mshindi wa udiwani katika kata ya Mwanga Kigoma, Baba Levo, amesema baada ya kutangazwa kuwa mshindi anatarajia kuachia wimbo mpya uitwao ‘Baba la Hip Hop’ pamoja na kujenga studio kubwa ya muziki mkoani humo. Baba Levo ameiambia Bongo5 kuwa wananchi wa kata ya Mwanga wamempatia nafasi hiyo wakiwa na imani atasaidia vipaji vya muziki vya […]

 

9 years ago

Mwananchi

Rais Kikwete kufungua kituo cha kisasa cha michezo

Rais Jakaya  Kikwete anatarajiwa kuzindua kituo kipya na cha kisasa cha mizecho baadaye mwezi huu kitakachoitwa Jakaya M. Kikwete Youth Park (JMK Park), Kidongo Chekundu jijini Dar es Salaam. 

 

9 years ago

Bongo5

Nahreel kufungua chuo cha muziki ‘TIMS’

Producer Nahreel na msanii wa kundi la Navy Kenzo, anaanzisha chuo cha muziki chini ya studio yake ya The Industry. Nahreel amesema kuwa mafunzo yatakayotolewa katika chuo cha TIMS (The Industry Music School) ni pamoja na utengenezaji wa midundo, ufanyaji wa mixing na mastering, kutunga, kurap, kuimba,na usimamizi wa biashara ya muziki. “Classes zitaamza karibuni […]

 

9 years ago

Habarileo

Kikwete kufungua kituo cha michezo

RAIS Jakaya Kikwete Oktoba 17, atazindua rasmi Kituo cha Michezo cha Kisasa cha Jakaya M. Kikwete Youth Park (JMK Park), Kidongo Chekundu, Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana jijini Dar es Salaam, kituo hicho ni cha kwanza cha aina yake nchini, ambacho kitasaidia kulea wanamichezo tangu wakiwa watoto wadogo.

 

9 years ago

Michuzi

MODEWJI FOUNDATION YASAIDIA UJENZI WA MADARASA KITUO CHA MAFUNZO CHA FURAHINI.

Meneja uendeshaji wa Modewji Foundation ,Francesca Tettamanzi akiwa ameambata na wafanyakazo wa kampuni ya METL walipotembelea kituo cha mafunzo cha Furahini cha wilayani Mwanga.  Afisa Udhibiti wa Ubora wa elimu ya msingi wilaya ya Mwanga ,Richard Joachim akizungumza wakati wa uzinduzi rasmi wa kituo cha mafunzo cha vijana cha Furahini klichopo Kisangara wilayani Mwanga.  Meneja uendeshaji wa Modewji Foundation ,Francesca Tettamanzi akifungua mfano wa hundi kwa ajili ya kukabidhi kwa...

 

10 years ago

Mtanzania

Daz Baba amkumbuka Mwangwea

mangweaNA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, David Jacob ‘Daz Baba’, amesema video yake mpya itakayofahamika kama ‘Mzigo Viwanjani’ ni kumbukumbu tosha ya marehemu Albert Mangwea.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Daz baba alisema aliweza kumshirikisha Mangwea katika single ya wimbo huo.
“Tulifanya mambo mengi sana na Mangwea, hivyo video hii imekuwa kumbukumbu kwangu,” alisema Daz Baba.
Alisema video hiyo inafanywa chini ya mtayarishaji Lamar, inatarajiwa kukamilika muda...

 

9 years ago

Michuzi

WASHIRIKI WA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA WANAWAKE KUPITIA VIPODOZI WAHITIMU MAFUNZO

  Washiriki wa Manjano Dream-makers katika taasisi ya Manjano Foundation wamehitimu mitihani yao ya mwisho ya jinsi ya kupaka vipodozi (makeup). Kuanzia sasa, washiriki hao wanawake na wasichana 30 wanaianza safari yao ya mwaka mzima katika kujikita na ujasiriamali. Taasisi ya Manjano Foundation, ilianzisha jukwaa kwa ajili ya kuandaa programu ambayo itamuinua mwanamke wa Kitanzania kwa kumwezesha kujiongezea kipato na ambayo itakuwa ni chachu ya kubadili yale yote yaliyoyazunguka maisha...

 

10 years ago

Vijimambo

Wataalamu wa Mafunzo ya Ujasiriamali Wawapatia Mafunzo Wanakijiji wa Kitogani Zanzibar.

Kaimu Mkuu wa Taaluma wa Chuo cha Fedha Chwaka Zanzibar Dkt. Iddi Salum Haji akitoa mafunzo ya Ujasiriamali kwa Wajasiriamali wa Kijiji cha Kitogani kilichopo Wilaya ya Kusini UngujaKaimu Mkuu wa Idara ya Masomo ya Jumla na Mafunzo Mafupi Zanzibar Nd. Said Mohammed Khamis akitoa ufafanuzi juu ya mafunzo hayo kwa Wajasiriamali wa Kijiji hicho.Baadhi ya Wajasiriamali waliohudhuria katika mafunzo ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kituo cha redio cha Efm chamkumbuka mwanamuziki Juma Nature kwa mchango wake katika muziki nchini

Mkuu wa Mawasiliano wa Kituo cha Redio cha EFM, Denis Ssebo (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu tamasha lijulikalo kama Komaa Concert  litalofanyika mwishoni mwa mwezi mei  kwa ajili ya kuadhimisha miaka 16 ya muziki ya msanii Juma Nature ‘maarufu Kiroboto’ namna ya kuonesha kuthamini mchango wake katika muziki wa bongo fleva na kuwakumbusha watanzania juu ya safari ya muziki wa Tanzania kwa ujumla. Kulia ni mwanamuziki huyo, Juma Nature...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani